The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,690
- 2,857
Wakuu, hasa wale tunaopenda michezo ya kubeti almaarufu kuweka mikeka.
Kuna kampuni nyingi za kubet ila M-Bet ni pasua kichwa.
Kuna mkeka nimeshinda kihalali kabisa, ila system yao inasema sijashinda.
Nimewasiliana nao kwa e-mail, wakanipa namba za simu niwatafute... Nimepiga hizo namba kwa zaidi ya masaa 12 hazipokelewi.
M-Bet mnachotakiwa kujua, kubet ni zaidi ya kubahatisha... watu tunatenga muda kufanya analysis za current form, head to head, current injury, league position, new signing, betting tips, etc. Tunapo bet tunatoa pesa zetu bila shuruti, nanyi tukishinda sharti mtoe mzigo bila shurti.
Mi kwakweli mtanipa tu changu, kama sio wizara ya michezo, basi tutakutana mahakamani.
=Mpare wa Milimani.
Kuna kampuni nyingi za kubet ila M-Bet ni pasua kichwa.
Kuna mkeka nimeshinda kihalali kabisa, ila system yao inasema sijashinda.
Nimewasiliana nao kwa e-mail, wakanipa namba za simu niwatafute... Nimepiga hizo namba kwa zaidi ya masaa 12 hazipokelewi.
M-Bet mnachotakiwa kujua, kubet ni zaidi ya kubahatisha... watu tunatenga muda kufanya analysis za current form, head to head, current injury, league position, new signing, betting tips, etc. Tunapo bet tunatoa pesa zetu bila shuruti, nanyi tukishinda sharti mtoe mzigo bila shurti.
Mi kwakweli mtanipa tu changu, kama sio wizara ya michezo, basi tutakutana mahakamani.
=Mpare wa Milimani.