Nini Dhambi
X-Plastaz
All my people
East Africa
Tanzania, Uganda and Kenya
Dar es Salaam, A town
Wherever you are
Piga magoti, tuombe Mungu
Hii ni siasa, dini, vita, ubwana, utwana, au kiama...
Msanii mkongwe wa Hip Hop Karama Maosud a.k.a Kala Pina amerudi na wimbo uitwao 'Watu wasiojulikana' ni nyimbo moja kali ila katoa teaser kiaia tu, official hajaitoa bado
Sasa sijui kamaitapigwa...
Wasau msaada kwenye tuta naombeni msaada wa nyimbo zifuatazi kwa ataekua nazo
1. Sheyla-Esther Wassira
2. Mashuhuda-Big Dog Posse (BDP)
3. Gozigozi- Mr. Paul
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Wale Team Diamond Platinum karibuni katika uzi huu, kwanzia alipoanza gemu ya mziki wa Kizazi kipya na single ya " Nenda Kamwambie " mpaka sasa ana hit song ya " Je Utanipenda " ni nyimbo zipi 3...
NI UBAGUZI, UBAGUZI WA KUTISHA !
- Hawa Fiesta kila mkoa wanakoenda huwa wanachukua baadhi ya wasanii wa mkoa husika lakini kwa Mara imekuwa tofauti kabisa, licha ya Musoma kuwa na wasanii wazuri...
Hivi jamani mnaofatilia Show mbalimbali za muziki sanasana za Fiesta. Kwa nini Show za wasanii wa kibongo lazima kupigishana makelele, utasikia ooh tuimbe Wote mara sema woyoooooooooo.
Hivi na...
Hii bendi ilianzishwa huko US mwaka 2005. inaimba indie rock na folk rock (mziki wa asili). walitoa album yao ya kwanza mwaka 2012 inaitwa the lumineers hii ilishika no 2 kwenye billboard 200...
Kiba apagawisha arusha....sauti yake ya jukwaani haina tofauti na ya kwenye CD, mziki mzuri tuliburudika sana....hapa na mausingizi baaadae ntatupia zingine...pata starter kwanza.
Habarini wadau,
Hivi kuna mtangazaji gani unayemfahamu (wa zamani au wa sasa) aliye mkali katika habari ya vionjo mbalimbali vya music anayemzidi Masoud Masoud?
Kidogo anafuatiwa na Charles...
AYA: Wimbo wa Gaidi
MTUNZI: Hussein Tuwa
UTANGULIZI
Ni miaka mitatu tangu kuuawa kwa Osama bin Laden nchini Pakistan. Wanamgambo wa Al-Qaida wamesambaratika. Wengi miongoni mwao wameuawa...
Nafikiri sio mbaya kwa mchezaji wa Yanga SC kuacha soksi za jezi zao mbele ya ofisi za Simba SC. Eeewaaah si hata mechi zikiisha huwa wanapeana jezi.
Me nipo Tabata hapa kwa Kiba nakula Diamond...
Hawa jamaa wamenishangaza kwa kipaji chao cha kuweza kuimba kwa pamoja na kupiga vyombo bila kupishana. Walichokifanya humu ndicho wasanii wengi wa siku hizi hawana (HARMONY)
CC: Red Giant ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.