Habari zenu wadau wapenda movies hasa zile za kutisha.
Hivi juzi Kati hapa nilicheki movie inayoitwa 'the conjuring', nilicheki sehemu ya Kwanza na ya pili.
Hii ni baada ya kupata habari zake...
HADITHI: .. JOTO LA MAPENZI
SEHEMU: 01
MTUNZI: Ally Mbetu ‘DrAmbe’
SIMU: 0713 646500
UTANGULIZI
Kutokana na wingi wa watu kuwaorodhesha kabla ya kuwaingiza kwenye kundi la Whatsapp...
Wakuu kwema?
Niende kwenye mada husika,nauliza hivi ni movie gani ulishawahi kuiangalia lakini baada ya kuisha ukajuta kwanini umeingalia kutokana na mambo ambayo umeyaona humo yanaweza kua...
Wakuu habari,
Kwa wale wapenzi wa movies za kiafrica tukutane hapa. Binafsi ni mdau wa Nigerian movies kidogo na za Ghana. This week nimeangalia My wife for Ritual ni movie nzuri sana na...
Wajumbe heshima kwenu, nina shida na biti ya waah ya nyimbo ya dangote x kofi,yeyote mwenye nayo please ashare na mimi au anipe link ila nahitaj orignal sihitaj remake,naona mtandaon nying zipo...
MWANDISHI;Moringe Jonasy
Sehemu ya Kwanza
Hali ya hewa ya jiji la Arusha jioni hii ilikuwa ya ubaridi kama kawaida yake huku upepo ukisogeza wingu dogo la mvua kuelekea upande wa kasikazini...
Wakuu kwema?
Twende kwenye mada. Mimi ni mpenzi wa horror movies tatizo za movie ni kwamba unaangalia dakika 90 mzigo umekata, sasa nataka series zile za kukesha nazo ambazo zinatisha.
Nahitaji...
Kwa uwezo alionao Olympic Lyon haikuwa hadhi yake. Kwa kuwepo kwake Barca dunia itaushuhudia uwezo wake mkubwa katika soka. Msimu umeanza tu kawaficha kina Griezmann na wenzake anaonekana ndio...
Na Smartdunia.
‘’FURAHA NILIYOKUA NAYO TANGU NIKIWA MDOGO,ILIANZA KUFIFIA’’,Jessica alisema huku akifuta machozi kisha akaendelea.
Nakumbuka siku ile, tarehe za mwanzoni mwa mwezi wa saba miaka...
Habarini wana jamvini?
Nilikuwa msomaji mzuri sana wa majarida ya mwezi kama Bongo, Sani na Tabasamu. Ndani ya haya majarida kulikuwa na riwaya nzuri sana za kusisimua kama MUSAKO WA HAYAWANI...
HII BEEF NI KAMA BEEF YA " THE GAME vs JADAKISS" beef ya the game na Jada ilisuburiwa kwa hamu sana lakini haikuwahi kutokea. Jada na Game wote ni lyricists wazuri...
Hii filamu ya F9 waliyoitoa naona ndiyo wameboronga zaidi kuliko, bora wangeishia 7 hizi kuendelea ni mbovu mno. Tunaelekea kuona action za wahindi ndani ya Hollywood, haiwezekani filamu gari...
Habari zenu wakubwa na wadogo zangu.
Naomba niende moja kwa moja kwenye swali/maswali..
Kisheria: Je mwanamke anaweza kuingia hatiani kwa kosa la kutoa mimba bila ya sababu ya...
Sasa BASATA mnafanya kazi nzuri kuzuia au kupunguza unyonyaji wa wasanii, Sasa Kuna inshu kubwa ya hao mnaowatetea pia hao ni wanyonyaji wakubwa Sana wa Maproducer, yaani producer wamebaki chawa...
Nimeona Ibra ametoa video ya wimbo Jipinde, YouTube masaa 16 yaliyopita views Mil 1 hadi sasa (Saa 5 mchana tar 19-08).
Hizo views Mil 1 vijana wa WCB Mbosso na Rayvanny wametumia week nzima...
NGUVU YA MUZIKI
Kila mikimtazama binti yangu Darina akijaribu kumumunya maneno na kucheza kwa hisia kila akiskia nyimbo anayoipenda ama kuifahamu kuipitia simu ya mama yake au radio au hata...
Habari wana burudani wa zilipendwa,
Kuna nyimbo mbili natafuta Audio zake au jina la wimbo
1. Hii nyimbo siijui "title" yake lakini inaimba:
" Kama wanipeenda, twende kwa baaba,
Akishakuonaa...
Nakwea Bila ngazi
Maskini huchechemea Bila vazi
Nchi wanaichezea kila dansi
Huku tukitizama wanavyojimegea ardhi
Wamezindikwa na mganga
Hii Siri Ni Kali nagubikwa na utata
Mtanza kajibanza chocho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.