Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 334
- 657
Binti Christina ni afisa wa Benki
bibi Ganush nyumba yake inatakiwa kuuzwa ameshindwa kulipa mkopo na ameshaongezwa muda mara mbili, Chritine ana uwezo wa kumuongeza muda bibi lakini hii ni nafasi yake ya kuonesha kwamba ana uwezo wa kufanya maamuzi magumu ili aweze kupanda cheo. Hivyo anaamua "kumkazia" bibi wa watu bibi analia na kulia lakini wapi, Bibi anamuachia laana na kuanzia hapo anaanza kuona mauza uza mpaka anapelekwa kwa mganga aambaye ni mtu anayetumiwa na mapepo wazungu wanaita medium waswahili tunaita kiti, nisimalize uhondo wote inaitwa DRAG ME TO HELL ya 2009
bibi Ganush nyumba yake inatakiwa kuuzwa ameshindwa kulipa mkopo na ameshaongezwa muda mara mbili, Chritine ana uwezo wa kumuongeza muda bibi lakini hii ni nafasi yake ya kuonesha kwamba ana uwezo wa kufanya maamuzi magumu ili aweze kupanda cheo. Hivyo anaamua "kumkazia" bibi wa watu bibi analia na kulia lakini wapi, Bibi anamuachia laana na kuanzia hapo anaanza kuona mauza uza mpaka anapelekwa kwa mganga aambaye ni mtu anayetumiwa na mapepo wazungu wanaita medium waswahili tunaita kiti, nisimalize uhondo wote inaitwa DRAG ME TO HELL ya 2009