Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Binafsi hawa ni ma legends ninaowakubali 1. Avenged sevenfold 2. Death punch 3. Nickeblack. Haya nawewe tupiamo hapa ngoma ya heavy metal ili tupate na experience na pia ni mwanamuziki gani unamu...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomben mnitajie list ya movie kali za kihalifu au kihuni kama hizi nlizowah kuziona mimi. -Living Pablo -Narcos season -El Mariachi...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Wakati mwengine ukweli usemwe, nilikua nadhani mziki wetu umepoteza dira kwasababu ya kiki, skendo na mambo mengine yasiokua na maana na tena yanaharibu kabisa watoto wetu huko uswahilini. Tokea...
2 Reactions
25 Replies
6K Views
Hivi mshikaji hela anazo invest kwenye videos zake zinarudigi kweli? Mfano kwenye inama, Waah!! Unaona kabisa hapa hela ilotumika si ya kitoto... Video ya IYO ndio balaa, kwanza kuna scenes...
14 Reactions
49 Replies
9K Views
Wadau Niandkie Playlist Ya nyimbo zako kali Yani zile Unaziskiliza Nonstop Usipite bila kutaja ngoma kali unazozikubali mda woteee
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Mwanadada mmoja alikuwa na tatizo flani yaani anashindwa kujicontrol kwahiyo mpaka aipige shoti yaani kuna kifaa kimeunganishws kutoka kwenye mgongo kwahiyo akihisi awezi jikontrol anabofya kitufe...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimetafuta kwenye mitandao lakini wapi nakutana na trailer hii movie ni kali Walianza seting tokea 2018 Lakin nashangaa mpaka leo sijaipata Full movie Mwenye anajua namna ya kuipata anijuze na...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya kuiangalia hii video kwa mda mrefu nimeona leo nitoe dukuduku langu moyoni, hii video hadi sasa imefikisha views millioni 750 youtube, wameishoot Uganda uswazi kabisa Yaani ukiiangalia...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Huyu sister nilimkubali sana alivyoigiza kama Harley Quinn kwenye Birds of prey. Alivaa uhusika (kujitia hamnazo) vilivyo. Juzi kati nimemcheki tena kwenye hiyo role kwenye The Suicide squad...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna watoto wako talented sana. Naikubali sana performance ya Enola kwenye movie waterworld 1995.
3 Reactions
40 Replies
4K Views
Huu mziki kiukweli unatakiwa kuangaliwa kwa jicho la pekee kwani unaenda kuharibu maadili/ utamaduni wetu. Hebu cheki haya mashairi ya wimbo wa Snura akimshirikisha MSAGA SUMU . Msaga sumu...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwa mfano muvi ya radhe ya mwaka 2021 ya salman umeona action za mule ndo vile vile mtu kapigwa ngumi moja kadunda kama kitenesi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna muda hata babaako...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Mkongwe ambaye hapewi heshima anayostahili. Jamaa ana sick unique tecniques za kuandika na kuchana, hata maneno mengi anayotumia kwenye ngoma ni ya kwake peke yake. Yeye mwenyewe ni shabiki namba...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Samahani, WanaJF! Naomba mwenye kujua jina la season moja ya kizungu anikumbushe, Ilikuwa hivi, Walitekwa wanafunzi ambao ni watoto wa mawaziri, rais, makamu wa rais na viongozi wengine ndani ya...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
UCHU By A.E Musiba SURA YA KWANZA ARUSHA Christopher Temu, ambaye Jumapili hii nyumbani kwake Arusha, alikuwa amefikiwa na ugeni mkubwa kutoka Umoja wa wanaharakati wa Afrika...
12 Reactions
685 Replies
242K Views
Habar wadau Moo ni tapel mjanja mjanja sababu Ana ack kama hariackt chochote kumbe anafatilia kwa karibu uku kila anae onesha Nia ya kuto mkubali basi atapambana nae na kama huna uwezo wowote ule...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Amapiano ni muziki mzuri na hivi karibuni umekwenda Sana kwa kiwango kizuri (umu Jf tunasema umekwenda kwa kiwango Cha dreamliner) pongezi kwa wa SA yote hii ni matokeo ya uzalendo na kuamini Cha...
5 Reactions
7 Replies
5K Views
Hii Ndio List Ya Wasanii Wenye Wafuasi (Subscribers) Wengi Zaidi Kwenye Mtandao Wa YouTube 1. #DIAMOND 5.44M 2. #RAYVANNY 3.03 3. #HARMONIZE 2.68M 4. #MBOSSO 1.71M 5. #ZUCHU 1.44M 6. #ALIKIBA...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Kwa mara ya Tatu mfululizo Star Boy wizkid kuijaza tena the o2 london Arena baada ya kutangaza kuhusiana na kuuzwa kwa tickets zote za show yake hiyo(Sold Out) ndani ya Dakika kumi na mbili tu za...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom