Nyimbo 3 bora za Amapiano Tanzania, na tatu mbovu zaidi

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
843
1,363
Kilingana na trend ya amapiano Bongo Land hizi ni nyimbo tatu Bora za amapiano lakini pia nimeweka na nyimbo mbovu zaidi za Amapiano,

Bora zaidi
1. Anajikosha. - Harmonize
2. Mama Amina - Marioo
3. Sadakalawe harmonize
4. Kamseleleko - Mbosso

Mbaya Zaidi
1. IYo diamond ft vocalist
2. amapiano - Baba Levo
3. Zezela nyoko - Baba Levo ft rayvanny

Ukweli unauma, nyimbo kuwa na views wachache si kwamba mbaya.
Embu sema sasa
 
Kilingana na trend ya amapiano Bongo Land hizi ni nyimbo tatu Bora za amapiano lakini pia nimeweka na nyimbo mbovu zaidi za Amapiano,

Bora zaidi
1. Anajikosha. - Harmonize
2. Mama Amina - Marioo
3. Sadakalawe harmonize
4. Kamseleleko - Mbosso

Mbaya Zaidi
1. IYo diamond ft vocalist
2. amapiano - Baba Levo
3. Zezela nyoko - Baba Levo ft rayvanny

Ukweli unauma, nyimbo kuwa na views wachache si kwamba mbaya.
Embu sema sasa
Hiyo amapiano ni nini ?
 
Back
Top Bottom