makilo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 2,399
- 4,688
Wakuu majamaa kwa idadi ya muvi zao ambazo nimekucheki mpaka Sasa no.
Bongo na flava,
Giza la mchana
Chafu tatu
Fisi weusi
Mchepuko
Ishu ya simu
Siku za arosto(hii iliandaliwa kwa siku1 nazani walifeli kwa upande wangu)
Tuzo
Na hii muvi Bora Sana kutoka kwa rah c (mtunzi)na timu nzima ya bongo hoodz
KISASI KITAKATIFU.(bonge 1 la muv)
Kama watanzania tunaolilia kuthamini vya kwetu na kuungana mkono nadhani majamaa wanafanya POA Sana.wanahitaji sapot yetu Kama waTz wenzetu.baada ya kanumba naamini Hawa wanahitaji nafasi na wataitoa bongo ki masomaso kwenye kiwanda Cha filamu.
Bongo na flava,
Giza la mchana
Chafu tatu
Fisi weusi
Mchepuko
Ishu ya simu
Siku za arosto(hii iliandaliwa kwa siku1 nazani walifeli kwa upande wangu)
Tuzo
Na hii muvi Bora Sana kutoka kwa rah c (mtunzi)na timu nzima ya bongo hoodz
KISASI KITAKATIFU.(bonge 1 la muv)
Kama watanzania tunaolilia kuthamini vya kwetu na kuungana mkono nadhani majamaa wanafanya POA Sana.wanahitaji sapot yetu Kama waTz wenzetu.baada ya kanumba naamini Hawa wanahitaji nafasi na wataitoa bongo ki masomaso kwenye kiwanda Cha filamu.