Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

UTANGULIZI Hadithi hii ilipigwa chapa kwa lugha ya Kiingereza katika mwaka 1885. Katika mwaka 1905 Bwana H. Rider Haggard aliandika maneno haya: 'Sasa katika mwaka 1905 naweza kuzidisha maneno...
7 Reactions
80 Replies
21K Views
Samahani mwenye kufahamu jina la wimbo na mwimbaji wa huu wimbo anifahamishe, nilikusudia kupost jukwaa la dini ila silioni.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tayari movie ya FF9 imeachiwa clean version, wazee wa kudownload kazi kwenu! Kama ushaoiona njoo utupe maoni yako, tumepigwa au laa?
7 Reactions
75 Replies
8K Views
Kama wewe ni mpenzi wa animation basi hii series ya Marvel ya What If si yakukosa episode ya kwanza mambo yanabadilika Kwenye mashine ya kutengenezea superpower badala aingie steve anaingia agent...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani natafuta huu wimbo muda mrefu Bila mafanikio sijui jina lake staili ya uimbaji ni kama ya magic system au papa Wemba ile nyimbo kama sio mkongo aliyeimba Basi ni watu kutokana West Africa...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Jamaa nilimkubali kwenye ile Filamu ya train to bunsan Lakini nilikumbali kwenye out of laws 2017 Alivyocheza kama Polisi asiyeogopa chochote huyu mwamba anakono zito mzee kofi Alimpiga muuni...
3 Reactions
2 Replies
807 Views
Movie inaaction za kutosha wale wapenzi wa action Muje Huku kuna watalaam wakina Iko uwaisi Andre Koji Yule Alicheza character ya bruce lee kwenye series ya warrior Ah sahm na wengineo Story...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari nyote Ninaomba kufahamishwa uzi makini unaojadili tabia za wanyama na maumbile ya dunia na vilivyomo hapa JF. Mimi ninapenda hizi mambo. Hunitoi National Geographic TV, Discovery...
0 Reactions
0 Replies
747 Views
Movies zao karibia zote lazima ziwe na characters ambao ni gays. Nlikuwa nangalia Bridgerton, nmeangalia mpk episode ya 3 sijaona scenes zenye hyo mambo mpk nkajisemea wamejtahidi kweli 😂 Hee...
4 Reactions
58 Replies
7K Views
Wanajamvi Habari,unaweza usiungane na mimi ila ukweli utabaki kua ukweni,nia,lengo,utekelezaji na manufaa/faida ya shughuli ya Young Africans SC "Yanga" kuanzia kwenye wiki ya wananchi mpaka...
0 Reactions
1 Replies
598 Views
Katika dunia hii vyuo vya makocha specific vipo? Tanzania tunavyo? Napenda kufahamu hili maana mfumo wa kutrain coaches ninaoushuhudia unatunyima fursa wengi. Utasikia kozi Iko Mbeya mara Dar mara...
0 Reactions
0 Replies
671 Views
Its a very nice Series ipo based kwenye vitabu vya A Song of Ice and Fire; ni nzuri na dialogue yake ni bomba sana; inahusu mapambano ya familia (clans tofauti tofauti) wanagombania kuongoza Seven...
6 Reactions
1K Replies
117K Views
I shot the sheriff, but I did not shoot the deputy I shot the sheriff, but I did not shoot the deputy All around in my home town They're trying to track me down They say they want to bring me in...
0 Reactions
0 Replies
760 Views
Huu mchezo unaoitwa Crate Challenge ambao video zake zimeshika kasi katika mitandao ya kijamii hususan Tik Tok na Instagram huenda, kabla haujapoteza umaarufu wake, ukawaacha watu wengi na...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
*Nimejifunza kuwa wachina wanazichukia nchi za Magharibi na washirika wake kama Japani Mfano movie za JET LEE *Nimejifunza kuwa waafrika tunakumbatia unyonyaji mfano filamu ya blood diamond...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
ANAITWA LIDOX MNYAMA (#karagweboy), AMETOA WIMBO MPYA WA UNANIFAA. PLEASE FOLLOW ME ON LINK IS ON MY BIO ENJOY GOOD MUSIC FROM YOUR BOY #karagweboy https://instagram.com/p/CTCzov-K1Ya/...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Fast and Furious 9 'F 9' imetangazwa kuwa filamu iliyoingiza pesa nyingi zaidi kutoka kwenye majumba ya sinema toka kuanza kwa janga la Corona Virus duniani. Mpaka sasa F9 Imetengeneza dola...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
MOVIE YA BECKETT Wakiwa matembezini Ugiriki becket na Mpenzi wake april Usiku mmoja wakati becket na girlfriebd wapo ndani ya gari wakielekea sehemu ya kupumzika Ulikuwa ni umbali mrefu hivyo...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwenye season ya Sinia na Huba naomba anisaidie kuzipata ,shukran.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamvi, Nimeamua kuwaza tu nmje ya box kuhusu hili tukio la leo pale daraja la Salender. Nimeleta huku kwenye uzi wa entertainment maana huku wengi watakua na ufahamu mkubwa wa hii game...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom