Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ipo wazi kwa sasa muziki wa bongofleva ni wa Diamond Platinumz. Uku kukiwa na Kiba pembeni anayesimama kwa nguvu ya Diamond anae survive kwa ushindani aliotengeneza unaofanya watu wanamkumbuka...
3 Reactions
56 Replies
14K Views
Nilisikia huu utaratibu kwamba watakuwa wanalipwa pindi nyimbo zikipigwa redioni. Hivi ni pesa ngap? Inafika elfu hamsini kwa siku ? Ama kuna utaratibu gani unatumika? Mi naona hamna realistic...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
G nako na huu wimbo wake mpya sijamuelewa, ni aina gani ya Music?? Kwa hali hii siamini kama ataweza toboa, atabaki kuwa bora kwenye kushirikishwa tu.. ======= Mawingu na manyunyu ya hapa na...
2 Reactions
50 Replies
11K Views
Wimbo mpya wa kaka mkubwa kwenye gemu AY zigo remix iliotoka jana video yake, nimeona mabadiliko kwa Diamond amerap kidogo na nyimbo ameinogesha. Kazi nzuri kwa vijana wetu.
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Naangalia FNL hapa anafanya show nyimbo zake..huyu jamaa bado yuko na kipaji Sana!!!
3 Reactions
148 Replies
21K Views
Nataka kujua baba tifa, analipwa bei gani kwa show za ndani na nje kwa sasa, ukizingatia anatembea na team kubwa kwa ss, wapiga picha, DJ, dancers na pia ana mameneja watatu, tafadhal
1 Reactions
30 Replies
18K Views
Hivi huu mfumo wa kuwalipa wasanii ukianza kila wimbo unapopigwa msanii analipwa ni wasanii wangapi watasurvive? Mi naona tutawapoteza wasanii wengi sana, sioni mtu kama 'Ruge Mutahaba' akubali...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Msechu ambaye ametoa video ya ‘Malava’ hivi karibuni inayoonekana kuwavutia wengi kutokana na jinsi alivyoutumia unene wake kufanya video ifurahishe, amesema kuwa watu inabidi wafahamu kwamba...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari wakuu, Mi mgeni humu naomba niseme jambo.. Of coz nna maana yangu kupost hii kitu muda huu huenda mtaa wa pili washaenda katika kazi zao za kumroga mzee mzima King Zamunda.. Ni jambo...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Sijamsikia muda mrefu hewani
0 Reactions
51 Replies
11K Views
Na Yeye Afurahiye Matunda Ya Muziki Wake.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
MARA nyingi kibinadamu ukiwa maarufu unajisahau kuwa unaweza kurudi na kuwa mtu wa kawaida. Hakuna garantii na Mungu kuwa utakuwa maarufu mpaka kufa. Ukikumbuka hili, utaanza kutayarisha maisha ya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mtayarishaji wa muziki mkongwe Allan Mapigo anadai muimbaji nguli wa taarabu Mzee Yusufu alikua na mpango wa kufanya hip hop, lakini yeye akambadilisha mawazo kutokana na kuona anafaa zaidi kuimba...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Miss Tanzania 2006 na aliyekuwa ex wa Mr Blue,Kanumba,Diamond,model wa Namibia,Jose Maraa,Kigogo wa ikulu na watu kadhaa wasio na majina makubwa hapa town amewekwa katika list ya wateja wa...
8 Reactions
68 Replies
8K Views
Leo jioni Gadna kachemka kwenye kipindi cha 'kubwakubwa'! Akiwa Na mwenzake redio EFM wamedai vita ya kwanza ya dunia ilikuwa Kati ya Mwaka 1905 hadi 1907! Ukweli ni vita hiyo ilikuwa Mwaka...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nataka tujue kwa kiasi fulani sababu ya Mkapa wakati ule akiwa Rais siku alipoenda kuzindua Maonyesho ya Biashara katika uwanja wa Mwalimu Nyerere zamani Saba Saba, siku hiyo hiyo akaonekana...
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Leo hii ndani ya XXL ya Clouds FM msanii MB Dogg amethibitisha kwamba mpango wa kuwashirikisha wanamuziki mashuhuri kutoka Marekani Lil Wayne na Chris Brown ktk wimbo wake upo na wanatarajia...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Do you want to read a book about the lives of famous Hollywood couple Beyonce and Jay Z, or are the numerous tabloid stories enough to give you an insight into their lives? A Tanzanian author...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nyota njema uonekana asubuhi,mtoto wa rais mwenye Ikulu yake Madale pembeni kidogo ya jiji la Dar es salaam Tiffah au mtoto Tee amepata dili la kusoma bure kutoka shule ya ushuani wanakokula...
5 Reactions
107 Replies
23K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…