Ommy dimpoz punguza starehe, unaboa...

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,380
Yani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo show off waachie akina Wolper na wema ,mbona wenzio akina diamond hawana huo upuuzi, wenzio wakisafiri kikazi kama bata sio kama unavyoendekeza wewe, hata kama unalipiwa bhana, unaboa sana, mxiew
13c90de0345538dc4b0d139064895cd4.jpg
 
Ni kwl inaboa ila huwez kujua pesa zake kavuja jasho gani mpaka atumie et umpangie kila MTU na maisha yake mwache ale bata mwenzako labda hatoi hata kumi.
.hapo analipiwa muache na maisha yake
 
Yani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo show off waachie akina Wolper na wema ,mbona wenzio akina diamond hawana huo upuuzi, wenzio wakisafiri kikazi kama bata sio kama unavyoendekeza wewe, hata kama unalipiwa bhana, unaboa sana, mxiew
13c90de0345538dc4b0d139064895cd4.jpg
Hahahahahaha sikufikiri km mtu anaweza kuina hilo, too much of anything....... Japo ni uhuru wake mi hua napita tu siangalii picha zake kabisa.
 
Unampangiaje mtu cha kufanya na hela ni zake?unajua hela anaipata vp?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom