Watanzania wamekuwa mbogo na wameanza kumtemea cheche mwanamuziki nguli nchini....Simber!
Si kitu chepesi msanii kukubali kuweka rehani kazi yake, tena inayomlipa sana just kwa kutaka kuendekeza urafiki!
...Mimi akili yangu inakataa kuwa jamaa ameridhia kuinunua vita ya wenziwe, kuna jambo tu nyuma ya pazia....!
Inawezekana na yeye naye wame-"mroma", ingawa tunamuona uraiani lakini huwezi jua saa nyingine amepewa condition kumtumikia Bashite au kupotezwa kwenye ramani kama yule wa Yanga!
Hebu tumpe muda huyu simber labda naye siku moja atakuja kutuambia yake ya moyoni na tutamuhurumia!
Si kitu chepesi msanii kukubali kuweka rehani kazi yake, tena inayomlipa sana just kwa kutaka kuendekeza urafiki!
...Mimi akili yangu inakataa kuwa jamaa ameridhia kuinunua vita ya wenziwe, kuna jambo tu nyuma ya pazia....!
Inawezekana na yeye naye wame-"mroma", ingawa tunamuona uraiani lakini huwezi jua saa nyingine amepewa condition kumtumikia Bashite au kupotezwa kwenye ramani kama yule wa Yanga!
Hebu tumpe muda huyu simber labda naye siku moja atakuja kutuambia yake ya moyoni na tutamuhurumia!