Habari wanaJukwaa,
Huku baadhi ya wanaoitwa Maselebriti wakitakiwa kwenda kuonana na Mkuu wa Mkoa leo kwa tuhuma za kuuza na kutumia Ngada, basi ni vyema tukawasindikiza kwa Kichupa kikali kutoka...
Dili la Tekno na kampuni ya Sony Music inawafanya wanaijeria wengi kuamini kwamba Tekno ameiuza nafsi yake kwa shetani kwa kusaini mkataba huo.(The deal means Tekno has sold his soul to the devil)...
Kupitia mitandao kadhaa ya kijamii na uthibitisho wa picha kupitia account ya IG ya bwana harusi Petit man wakuache imethibitika kuwa wawili wamefunga ndoa siku ya leo.
Esma Platnum ambae ni dada...
Wema Sepetu amezindua rasmi app yake, WS, kwenye jukwaa la app la simu za Android, Google Playstore.
App yake inapatikana bure kabisa. Ukishainstall, itakuomba usign-up kwa kutumia akaunti yako ya...
Hivi wasanii tanzania wana chama chao?Kama kipo kitoke na tamko juu ya tuhuma hizi za madawa.Hii ni kashifa kubwa.Mnaweza kuona ni swala la Wema na wenzake lakini swala hili linaharibu na kuchafua...
Beyoncé just made a major announcement!
Here it is: Beyoncé is pregnant … with twins!
The singer delivered the news on Instagram with a stunning photo of herself with her hands on her baby...
Dah!! this is the ray c we used to know, safi sana, umekua zaidi ya mcharo, nasikia unataka kurudi kwenye bongo fleva ila nina ushauri before hujarudi ungejisalimisha mwenyewe kituoni ukawataje...
Tangu Msanii Harmorapa ameingia kwenye muziki kwa kuanza kujifafanisha na msanii Harmonize, kila wakati rapa huyo amekuwa akiingia kwenye 'headline' mbalimbali na kuzungumziwa na wasanii wengi...
Mi najiuliza tu, kwanini Mkuu wa Mkoa wa Dar hajawataja Wasafi katika orodha ya wasanii wanaotumia na kusafirisha madawa ya kulevya? Au tusubirie hadi Jumatatu pengine atawaunganisha kama...
If you know what i mean..... Fuatilia hizo dots then plus safari za China na South lazima uta doubt tu its the matter of time utasikia na yeye anaitwa central katika hii vita fake ya madawa ya...
Kwanza kabisa naomba mnisamehe kwa wale nitakaowakera ...
Mimi ní mfuatiliaji mzuri wa celebrities forum ila kuna jambo najiuliza alafu sipati Jibu.Kuna baadhi ya watu hatuwajui hata majina...
Harmo Rapper yule msanii anayejifananisha na Harmonize yadaiwa alimnyanganya Demu presenta na DJ aitwae Msabato na jamaa huyo ameenda studio za EA radio kulalamika na kusema alimnunulia kila kitu...
Kaandika kupitia ukurasa wake wa facebook
[emoji116] [emoji116] [emoji116]
"Katika hili sakata la MAPAPA na MAPUNDA ya Unga kama kweli braza Paul yupo serious na sio 'Matango Pori'kama...
Lahaulaaaaa!!!!....Namkubali sana Babu yangu Ze King of all social network,Le Mutuz Nation,yeye hana shida na mtu...iwe mmeonana uso kwa uso au umemuona just mtandaoni tu...mtu Wa amani...
VIOJA VYA DADA YETU VINAENDELEA
WEMA AMZABA MAKOFI MENEJA WA HOTELI
DIVA wa filamu za Bongo ambaye pia ni Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu anasakwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Kawe,Dar es Salaam...
Wema Sepetu anataka kuweka jambo moja ‘very clear’ kuwa yeye si mtumiaji wa madawa ya kulevya.
Staa huyo ametoa kauli hiyo baada ya kuwepo kwenye orodha ya mastaa wanaotuhumiwa kubwia unga na...
Kama alivyomriwa na Mkuu wa Mkoa jana kuhusu kuhudhuria kituo cha polisi na kujibu tuhuma zinazomkabili staa huyo za kutumia madawa ya kulevya, mrembo huyo mwenye nyota na mvuto wa aina yake...
Nimeshangaa sana,kumbe leo ni siku ya kuzaliwa Kalapina, nabii Koko, Kikosi cha mizinga, mwanaharakati, hiphop bila madawa, 'mbunge' wa Kinondoni, asiyehusika na shoo ashuke, block 41, mbabe n.k...
Muigizaji machachali wa sinema za kihindi za mapigano pamoja na mapenzi John Abraham atangaza kuwa anatarajia kuja nchini mwakani kwa ajili ya kucheza baadhi ya vipande katika movie mpya...
Kumbee! nilikua nashangaa ujue, kila siku bata yeye, mahotel yote kamaliza , kila aina ya misosi bei mbaya mtoto yumo, nikasema hao ma sponsor wanamuona tunda tu kwani tunda analo peke yake au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.