Nimeusikiliza wimbo wa Mondi na naheshimu maoni yake! Kuna waliopenda na kuna wasioupenda ila ni maoni yake na tuyaheshimu. Linalonishangaza kidogo ni kwa jinsi Mondi alivyomjibu Gwajima kwamba chonde chonde j2 isije ikawa chungu mwaka mzima. Swali kwani Mondi anaogopa nini? Kuna lolote lipo nyuma ya pazia juu ya mafanikio yake ambayo watu wakiyajua yatashusha mafanikio yake?