Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Msichana ambaye Aunt Ezekiel alikuwa anadai anataka kunyang'anya mume amemjia juu na kudai hana mpango huo na yupo karibu na Mose Iyobo kwa sababu wamezaa pamoja mtoto.
Msichana huyo amesema tayari nae ana bwana na kumshangaa Aunt Ezekieli kuzusha maneno anaibiwa bwana na kumuuliza kwani Mose Iyobo ana fedha kuliko wanaume wote au ni mzuri kuliko wote hadi yeye amnyang'anye??
Msichana huyo amesema tayari nae ana bwana na kumshangaa Aunt Ezekieli kuzusha maneno anaibiwa bwana na kumuuliza kwani Mose Iyobo ana fedha kuliko wanaume wote au ni mzuri kuliko wote hadi yeye amnyang'anye??