Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wimbo huo unaelezea ubabaishaji na usanii unaoendelea kwenye industry ya mziki na siasa,Nash amekuwa ni msanii pekee wa hiphop mwenye itikadi kali na kusimamia misingi kwa muda mre fu sana, bila...
3 Reactions
92 Replies
12K Views
I know of the year 2002 when the six kids were born to the family of Chris and the black couple Diamond Harris in Birmingham, USA? Do you still remember? Okay, the children's ups are now very...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi mnavyotafuta Sifa na Umaarufu Mitandaoni hasa kwa Kujimwambafai katika Kurasa zenu za Mitandao kuwa Mke wa Babu Tale Marehemu Shammy Kombo aliwaomba mumlelee Watoto zake ( wake ) mnataka...
15 Reactions
93 Replies
17K Views
Baada ya kelele nyingi za mashabiki wa msanii Vanessa Mdee (V Money) kwa nini amekaa kimya kwa muda mrefu hatimaye atangaza kuachana na tasnia ya muziki akitoa sababu zifuatazo. Akizungumza...
36 Reactions
174 Replies
31K Views
Ni vijana wengi sana wanapenda kuwa wasanii, binafsi kwa huu mtaa wangu wenyevnyumba nane kuna wasanii wanne ila hawajafika popote na umri umeshaenda, labda pengine ni kwasababu hawakupata elimu...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Jamani msijisahaulishe, hivi mmesahau tukio la harmonize kugoma kushikana mikono na Ali Kiba? Sasa leo Bosi Sallam amegoma kushikana mikono na harmonize imekuwa nongwa Yeye mwenyewe ameshawahi...
4 Reactions
34 Replies
4K Views
Wiki nyingine, namba 1 ni yuleyule . Tanzania Most Streamed Artist officialikiba Tanzania Most Streamed Song #SoHot Dodo ndio ngoma ya Bongo Flava inayosikilizwa zaidi on boomplaymusic_tz Dodo...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari za hivi punde ni kuwa mwanadada Diva ( DivaDaily ) amesimamishwa kazi Clouds Media kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni “utovu wa nidhamu” ==============
12 Reactions
195 Replies
43K Views
Yule Dj anayekufanya uupende mzk kashakabidhiwa ofisi hukooo.. na jamaa amerudi na vibe yan paka anakeraaa.. Times Fm. Kpnd Zege. Mda n mchana..
4 Reactions
38 Replies
3K Views
Ugonjwa wenyewe unajulikana Upungufu wa Kinga ndani ya Mwili wa Binadamu na Mpiga Kura halisi wa Uchaguzi Mkuu ujao wa 2020 Tanzania.
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Leo katika XXL ya Clouds fm Babu Tale ambaye ni meneja wa Diamond amekubali kuwa huwa anashiriki katika masuala ya kishirikina. Hali ambayo imeleta mjadala kuwa yawezekana huwa anaenda kwa...
2 Reactions
209 Replies
28K Views
Nyie watu mnatukosea sana, mmeamua kabisa kuyachosha masikio yetu, hadhi ya Diamond na Wasafi kwasasa ni kubwa sana, kwasasa mpo kwenye wakati wa kutengeneza uniqueness yenye hadhi ya juu, kwanini...
19 Reactions
81 Replies
8K Views
Msanii Young Killer anadai Joh Makini anabebwa na kudai ni suala ambalo lipo wazi kwa kuwa watu wengi wanalizungumzia Amemtolea mfano Chid Benz kulisema hilo lakini akasema tena sio yeye anasema...
1 Reactions
134 Replies
25K Views
Jamaa anajua sana yuko fiti japokuwa ni kwa upande wangu huwenda wengine wakaona kuna wazuri zaidi japokuwa na mimi nakubali wapo wazuri ila Mpoki ni zaidi kwangu. Sent using Jamii Forums...
13 Reactions
48 Replies
10K Views
Naona P funk ameamua kutuwashia moto wa kumaliza mwaka Dah!! BONGE MOJA LA NGOMA NA KIDEO CHA KIBABE , nahisi ndio video kali mwaka mzima. flows kali,beat kali na aliye direct video na io story...
6 Reactions
24 Replies
8K Views
Yupo Super Kamanyola ya Mwanza. Nafikiri wanaimba tu nyimbo zilizotamba zamani. Nimemuona akikomalia kuiimba 'Nawashukuru wazazi wangu' ya DDC Mlimani Park najihisi kuhuzunika kiasi lakini sijui...
36 Reactions
256 Replies
52K Views
Aliyekua muimbaji wa Dansi nchini Lucas Mkenda au Mr. NICE kama anavyojulikana na wengi amempa Yesu maisha yake tangu mwezi wa nane mwaka huu. Anahudhuria ibada, maombezi na tayari amebatizwa...
1 Reactions
63 Replies
14K Views
Ukiacha ya kwangu. Inayofuata ni hii hapa naielewa sana, kwanza hujawai sikia scandals za ajabu ajabu. Baba & mama Ivan
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habarini wakuu, Natumai mu wazima wa afya njema. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada twaja. Nadhani tunamhamu bwana Kigosi ambaye wanamwita Ray. Wakuu hili halina ubishi huyu bwana ni bingwa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom