Wimbo huo unaelezea ubabaishaji na usanii unaoendelea kwenye industry ya mziki na siasa,Nash amekuwa ni msanii pekee wa hiphop mwenye itikadi kali na kusimamia misingi kwa muda mre
fu sana, bila...
I know of the year 2002 when the six kids were born to the family of Chris and the black couple Diamond Harris in Birmingham, USA? Do you still remember?
Okay, the children's ups are now very...
Hivi mnavyotafuta Sifa na Umaarufu Mitandaoni hasa kwa Kujimwambafai katika Kurasa zenu za Mitandao kuwa Mke wa Babu Tale Marehemu Shammy Kombo aliwaomba mumlelee Watoto zake ( wake ) mnataka...
Baada ya kelele nyingi za mashabiki wa msanii Vanessa Mdee (V Money) kwa nini amekaa kimya kwa muda mrefu hatimaye atangaza kuachana na tasnia ya muziki akitoa sababu zifuatazo.
Akizungumza...
Ni vijana wengi sana wanapenda kuwa wasanii, binafsi kwa huu mtaa wangu wenyevnyumba nane kuna wasanii wanne ila hawajafika popote na umri umeshaenda, labda pengine ni kwasababu hawakupata elimu...
Jamani msijisahaulishe, hivi mmesahau tukio la harmonize kugoma kushikana mikono na Ali Kiba? Sasa leo Bosi Sallam amegoma kushikana mikono na harmonize imekuwa nongwa
Yeye mwenyewe ameshawahi...
Wiki nyingine, namba 1 ni yuleyule
.
Tanzania Most Streamed Artist officialikiba
Tanzania Most Streamed Song #SoHot
Dodo ndio ngoma ya Bongo Flava inayosikilizwa zaidi on boomplaymusic_tz
Dodo...
Habari za hivi punde ni kuwa mwanadada Diva ( DivaDaily ) amesimamishwa kazi Clouds Media kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni “utovu wa nidhamu”
==============
Leo katika XXL ya Clouds fm Babu Tale ambaye ni meneja wa Diamond amekubali kuwa huwa anashiriki katika masuala ya kishirikina.
Hali ambayo imeleta mjadala kuwa yawezekana huwa anaenda kwa...
Nyie watu mnatukosea sana, mmeamua kabisa kuyachosha masikio yetu, hadhi ya Diamond na Wasafi kwasasa ni kubwa sana, kwasasa mpo kwenye wakati wa kutengeneza uniqueness yenye hadhi ya juu, kwanini...
Msanii Young Killer anadai Joh Makini anabebwa na kudai ni suala ambalo lipo wazi kwa kuwa watu wengi wanalizungumzia
Amemtolea mfano Chid Benz kulisema hilo lakini akasema tena sio yeye anasema...
Jamaa anajua sana yuko fiti japokuwa ni kwa upande wangu huwenda wengine wakaona kuna wazuri zaidi japokuwa na mimi nakubali wapo wazuri ila Mpoki ni zaidi kwangu.
Sent using Jamii Forums...
Naona P funk ameamua kutuwashia moto wa kumaliza mwaka
Dah!! BONGE MOJA LA NGOMA NA KIDEO CHA KIBABE , nahisi ndio video kali mwaka mzima.
flows kali,beat kali na aliye direct video na io story...
Yupo Super Kamanyola ya Mwanza. Nafikiri wanaimba tu nyimbo zilizotamba zamani.
Nimemuona akikomalia kuiimba 'Nawashukuru wazazi wangu' ya DDC Mlimani Park najihisi kuhuzunika kiasi lakini sijui...
Aliyekua muimbaji wa Dansi nchini Lucas Mkenda au Mr. NICE kama anavyojulikana na wengi amempa Yesu maisha yake tangu mwezi wa nane mwaka huu. Anahudhuria ibada, maombezi na tayari amebatizwa...
Habarini wakuu,
Natumai mu wazima wa afya njema. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada twaja.
Nadhani tunamhamu bwana Kigosi ambaye wanamwita Ray. Wakuu hili halina ubishi huyu bwana ni bingwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.