Kwani Huyo DOmo si ana Wasafi TV? Na Mtangazaji wao Charles William si yupo DOm kwanini wasirushe wao baada ya Clouds Kukata? Kama Mbwai Mbwai.
Kwani Huyo DOmo si ana Wasafi TV? Na Mtangazaji wao Charles William si yupo DOm kwanini wasirushe wao baada ya Clouds Kukata? Kama Mbwai Mbwai.
Basi wapenzi wa Domo wawe wanaangalia Wasafi TV ambayo haikati.Wanarusha live na haijakata ata sekunde moja
Mwaka jana mwishoni uongozi wa WCB Wasafi kupitia mwanasheria wao walipeleka barua Clouds Media kuwataka wasithubutu kupiga nyimbo au content yoyote inayomuhusu msanii wa WCB akiwepo Diamond.Yaani leo clouds tv wameonyesha chuki ya wazi wazi mara baada ya Diamond kupanda jukwaani