Akamwambie Bashite alete vyeti kwanza hio tbc/uhuru redio cha chama inatumia nguvu nyingi sana kutetea mtu aliyepata zeroHii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Asante95.7 FM