Umeshikwa pabaya, kaa kwa kutulia hakuna namna. Nasubiri povu lako kwa ile ID nyingineeeeeh. HuhuhuhuhNaona team kiba mnatafuta Kiki kwa jina la Diamond kwahiyo msanii akicheza wimbo wa msanii mwenzake hiyo Ni habari?
Hii inaonesha jinsi gani Diamond Ni super star akicheza tu wimbo wa mtu tu inakuwa habari.Umeshikwa pabaya, kaa kwa kutulia hakuna namna. Nasubiri povu lako kwa ile ID nyingineeeeeh. Huhuhuhuh
Boss wenu kawaweza leo, mnabaki kulia lia, poleeeeeeeeh sanaah tulia hivyo hivyo.Hii inaonesha jinsi gani Diamond Ni super star akicheza tu wimbo wa mtu tu inakuwa habari.
Hisia kali hapo ziko wapi
Tunatofautiana namna tuvyoangaliaHisia kali hapo ziko wapi
Tofauti wapi wakati tulikuwa tunaangalia wote jana kabla hatujalala?Mi na ww nadhani tumeangalia video tofauti..
binamu kama binamu!Tofauti wapi wakati tulikuwa tunaangalia wote jana kabla hatujalala?
Tofauti wapi wakati tulikuwa tunaangalia wote jana kabla hatujalala?
Binadamu hujambo? Umepotea sanabinamu kama binamu!
Ooh kumbe, basi ngoja niangalie upyaIle haikuwa na hisia anazosema mtoa mada..