Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Siku ya Ijumaa Usiku ilikuwa ni siku ambayo MwanaFA alikuwa akifanya show yake ya 'The FINEST'. Huenda ikawa ni moja ya siku chungu zaidi kwa mwanamuziki huyu maishani mwake kila atakapoikumbuka...
1 Reactions
60 Replies
7K Views
Wadau, nimefuatilia threads mbalimbali humu jamvini tangu show mbili zilizo andaliwa na moja ya wakongwe wa muziki wa kizazi kipya hapa Bongo kupita. Ukweli ni kwamba, nashangazwa sana jinsi...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
eti the finest SHOW ILIHITAJI WATU 400 TU!! Acha uwongo kaka! SHOW YA MWANAFATUMA ILIKOSA WATU!! Ayo maneno yako kwenye blog yako yanadhihirisha jinsi ulivyo mtumwa wa fikra!! Tunajua ni RUGAY...
1 Reactions
57 Replies
14K Views
PICHA ZA MAZISHI YA MSANII LANGA KILEO - MPEKUZI HURU
0 Reactions
6 Replies
11K Views
Jana ulikuwa ni usiku wa jide,kwani alikuwa anasherekea miaka kumi na tatu ndani ya game apa bongo,vile vile alikuwa anazindua albamu yake ya nothing but the truth,show ki ukweli ilikuwa kubwa...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Hii ni hadhira iliyohudhuria onyesho la mwanamziki lady jay dee usiku wa kuamkia leo.. Haya ni matukio ya mwanzomwanzo kabla shughuli yenyewe haijaanza..Nyumbani Lounge
13 Reactions
123 Replies
14K Views
Hakuna kitu kibaya kama nguvu ya umma. Kuna vitu mnavyofanya kwa wasanii vinatukera sana sisi wasikilizaji wa radio yenu kama kuendeleza ugomvi na wasanii. Binafsi naacha rasmi kusikiliza radio...
10 Reactions
38 Replies
4K Views
Nimeshangaa sana eti kusikia show ya mwana fa haikufanya vizuri kutokana na kuwa eti kuna watu walitangaza kuwa ticket zimeisha ndo maana wengi hawakwenda,aliyetangaza kuwa ticket zimeisha ni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jana mwana fa na show yake haikufanya vizuri kama ilivyokuwa kwa jide,jide kafunika aiseeh,parking haikutosha watu mpaka nje wamesimama ilimradi tu wampe support anaconda,kwa kweli imeleta sana...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Miongoni mwa wanamuziki ninaowakubali ni Bushoke mwana wa Maxmillan(?)..sauti na idea zake mara nyingi huleta burudani kwa msikilizaji..Moja katika nyimbo zake nzuri ni "Msela jela",wimbo...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Steps wanatoa tuzo kwa wasanii wa movie walio kwenye kampuni yao
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Duh,aiseeh kweli huyu jamaa KARUBANDIKA,anakoishi hajulikani,kazi yake kupiga mizinga tuu,ukimuona jinsi anavyovaa huwez mdhania,jamaa ana fix nyingi,anajifanya anafanya kazi usalama wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwanamuzik chipukizi Ommy Dimpozi,ameonyesha kuwa na kiwango cha juu sana cha dharau kwa kumdhihaki na kumtusi mtu aliyetangulia mbele ya haki."SITAKI NIKIFA YATOKEE KAMA YA NGWAIR,AMEKUFA AFRIKA...
0 Reactions
65 Replies
12K Views
  • Closed
namshauri mdogo wangu Sugu akuwe sasa aachane na mambo ya starehe na uuni wa kishamba afanye kazi ya jimbo....watu wa mbeya wenyewe wanamfananisha na jiwe kwa kusema"tunachagua jiwe kuliko mtu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
  • Closed
Nimekuwa nikijiuliza sababu iliyomtoa msanii na mwanahabari mwenye kipaji cha aina yake pale radio ya watu bila kupata majibu yake. Je kuna mdau anayejua au yeye mwenyewe anawezakua humu ndani atujuze
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ama kweli hii nchi haipendi maendeleo,mzee Tido alikuja kufanya mapinduzi Tbc,but wakampindua yeye hii sirikali sijui ikoje....ONA SASA LEO TUNA KOSA MECHI ZA MABALA CUP.....
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
Tiketi za ile show kabambe ya 'The FINEST' ya mwanaFA bado zinapatikana kwa wingi maeneo mbalimbali ya jiji la Dar na zitaendelea kupatikana hadi mlangoni mwa ukumbi wa mahali ambapo show...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Nimefurahia show ya JIDE hapa Nyumbani Lounge, hakika ni mapinduzi makubwa JIDE akiwa na mama yake mzazi ameonyesha njia kwa wasanii wa kike kufanya kazi zao kwa bidii na kuwa na heshima. JIDE...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Ni jambo la kustaajabu na kusikitisha kwa wasanii JIDE NA MWANA FA ambapo wakati wenzao wakiomboleza na kulala kwenye msiba wa LANGA wao wanapiga show za nguvu. uko wapi utu waliouonesha kwenye...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Back
Top Bottom