Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

na hiki ndicho alicho kiandika Ommy Dimpoz Samahani tena sana na sitawacha kuomba msamaha,nimekubali makosa na hivi sasa naelekea nyumbani kwao kuomba msamaha kwa familia na nitue kwa vituo vya...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Msanii wa bongo fleva Feruzi aliyetamba miaka-ya nyuma kuna na mwana jamii anayejua habari zake?
0 Reactions
17 Replies
13K Views
Jeremy Stoppelman Company: Yelp Age: 34 Hometown: Arlington, VA Fun fact: Stoppelman has a dog named Darwin. David Karp Flickr/edans Company: Tumblr Age: 26 Hometown: New York City Fun fact: He...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Mandojo Na Domokaya acheni uchoko, kama hamkutoka na ulbum yenu ya 2004. Basi tena coz sioni umuhimu wa FA kua meneja wenu wakati ni mtu mlianza nae muziki back in days. What went wrong with...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Na Herieth Makwetta Mwanamuziki Hamis Mwinyijuma, maarufu Mwana FA amepata wakati mgumu kwa kulazimishwa na mashabiki kutaja jina la Lady Jay Dee baada ya kuliruka jina hilo alipokuwa akiimba...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mda kidogo umepita sijasikia taarifa yeyote kuhusu ile kesi hewa aliyofunguliwa lady jaydee,naiita kesi hewa kwa kuwa mshtakiwa mwenye bado hajasomewa shtaka lake mpaka leo kama sikosei,ila...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Afande Sele The'King Ukisoma historia yangu kupitia WIKIPEDIA kamusi elezo huru, kuna sehemu wameandika kuwa nilishawahi kushinda tuzo za kili wakati si kweli zaidi katika historia yangu yote ya...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Katika makala hiyo Saleh ameliangalia vuguvugu la Joto Hasira linaloendeshwa sasa na Lady Jaydee dhidi ya kituo kimoja cha radio nchini na kuliita ni la kinafiki. Hivi ndivyo alivyoandika na chini...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
  • Closed
Hili jina sio geni kwa wale waliozaliwa miaka ya themanini huko,ni mkasa wa ukweli na wa kutisha,kufundisha,kuelimisha na kusisimua,mkasa huu ulikuwa unamuhusu mwanamama aliyekuwa anaitwa ASHA...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Through mahojiano ktk Star TV, Diamond kaahidi kumfunika Prezzo ktk Tamasha la Matumaini 2013. All right, it's ur time kid, Go.
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Ule ushoga wa mastaa wa kike bongo,wema sepetu na kajala masanja umefikia pabaya kisa kikidaiwa ni maneno ya wapambe wa wema.hivi karibuni wema alimlalamikia wazi wazi shosti wake huyo kuwa...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
  • Closed
Matumizi mabaya ya vipodozi yameanza kumuathiri wema Sepetu ambaye ni miss Tanzania 2006.. Wema ambaye umri wake bado haujamtupa , hivi sasa anakabiriwa na tatizo la ngozi...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Wimbo mzuri,wimbo mzuri kama huu sidhani kama hata wafu FM wanaweza kuzuia usihit,kitu kizuri lazima ikubalike tu hata kama wenye maslahi watapinga. Huu wimbo Proffesor kaonyesha anajua,level za...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Omary Faraji Nyembo ‏@ommydimpoz 3h Nilipigiwa simu Ya kibiashara kwa ajili ya kufanya show na global publishers kwasababu Hatukuhafikiana...
0 Reactions
50 Replies
8K Views
  • Closed
Habari zilizopo mujini ni kwamba mastaa wawili,lulu na wema sepetu,wanashiriki tendo la ndoa na bwana mmoja anaedaiwa kutumia pesa nyingi ili kuwarubuni,jamaa huyo ambaye ni kigogo wa serikalini...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Alianza ruge miaka ya 2000 bifu mpaka leo,gadner kuna kipindi amamwandikia wanaume kama mabinti usiumee moyo na siri yangu,jamaa akajirudi,credo mwaipopo,mzee kimei baada ya kumtosa alipompa dili...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mabondia hao ni Case Ramadhani Fills, Nathanael Elia Charles, Ally Rajabu Msengwa na Petro Charles Mtagwa. Wakati kesi hiyo ilipoanza kusikilizwa, wote walikiri makosa ya kuingiza mihadarati...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Siku kadhaa sasa zimepita na hakuna update yoyote kuhusu msiba wa msanii Langa Kileo kutoka Clouds (Vimbelembele) wala media yoyote hapa nchini! Je, hakuwa msanii kama wakina marehemu Steven...
0 Reactions
55 Replies
7K Views
Kijana masanja mkandamizaji as known as Pastor to be akijituma uko ubaruku, inasemekana anazalisha 200 bags per year kwenye hii investment tu, sa soon tu huyu si mwingine kabsa, huu ni model kwa...
12 Reactions
119 Replies
68K Views
Dia Mwn FA natumai u mzima,dhumuni la barua hii ni kutaka kujua lin utaweka waz mapato ya show yako "the finest"uliyofanya ijumaa ya tar 14.6.2013 na kuwaeleza waTZ 15% ya show ni kiasi...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom