Picha za mazishi ya msanii langa kileo

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,863
34,330


langa41.jpg

ll6.jpg







ll7.jpg

ll8.jpg


ll10.jpg


langa3.jpg




PICHA ZA MAZISHI YA MSANII LANGA KILEO - MPEKUZI HURU
 
Nikiwaona watoto hao Kikwete roho yangu inachefuka, tena hafadhali huyo Miraji kuliko huyu Prince Ridhiwani anayeligharimu Taifa zima kwa kudekezwa na Baba yake.
 
Duh!R.I.P LANGA!

Hiyo picha ya chini kabisa naona ukutani kuna picha ya familia ya Mr KILEO sijui naona vibaya lakini naona kama LANGA alikuwa ni mtoto pekee wa kiume kwenye picha hiyo, i can imagine how painfull the family is feeling to loose the only son.

NB: Nisieleweke vibaya kuwa nawanyanyapaa akina dada lakini kwa wazazi uwepo wa mtoto wa kiume huwa wanahisi fahari sana,wanasema ataendeleza jina la ukoo tofauti na binti ambaye akiolewa anachukua jina la ukoo wa kwa mumewe mara nyingi.
 
Duh!R.I.P LANGA!

Hiyo picha ya chini kabisa naona ukutani kuna picha ya familia ya Mr KILEO sijui naona vibaya lakini naona kama LANGA alikuwa ni mtoto pekee wa kiume kwenye picha hiyo, i can imagine how painfull the family is feeling to loose the only son.

NB: Nisieleweke vibaya kuwa nawanyanyapaa akina dada lakini kwa wazazi uwepo wa mtoto wa kiume huwa wanahisi fahari sana,wanasema ataendeleza jina la ukoo tofauti na binti ambaye akiolewa anachukua jina la ukoo wa kwa mumewe mara nyingi.

Langa ana kaka
 
Nikiwaona watoto hao Kikwete roho yangu inachefuka, tena hafadhali huyo Miraji kuliko huyu Prince Ridhiwani anayeligharimu Taifa zima kwa kudekezwa na Baba yake.[/Q
Ile familia ni miongoni mwa mikosi mikubwa kabisa ambayo Tanzania imewahi kukumbana nayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom