Jana ulikuwa ni usiku wa jide,kwani alikuwa anasherekea miaka kumi na tatu ndani ya game apa bongo,vile vile alikuwa anazindua albamu yake ya nothing but the truth,show ki ukweli ilikuwa kubwa sana,watu walijaa ndani mpaka wengine ikabidi wasimame parking ya nje,kitu ambacho watu wengi walikuwa wanalalamika ni ufinyu wa eneo hilo,kwani mashabiki walikuwa wengi sana,pengine jide hakutegemea kupata watu wengi kiasi kile,ila ilimpasa kutambua yeye ni mwanamuziki mkubwa sana apa bongo,na wadau wanatambua mchango wake,ndo maana jana walijitokeza wengi kumsuport,ila mda mwingine ajipange,kama akifanya show kubwa kama ile ya jana,basi atafute eneo la kutosha ili mashabiki tujimwagr vizuri,ila all in all show ilikuwa kali sana,na ujio wa watu wengi ni ishara ya kukubarika kwa mwanadada huyo,pongezi kwa kutimiza miaka 13