funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,620
- 21,349
Hakuna kitu kibaya kama nguvu ya umma. Kuna vitu mnavyofanya kwa wasanii vinatukera sana sisi wasikilizaji wa radio yenu kama kuendeleza ugomvi na wasanii.
Binafsi naacha rasmi kusikiliza radio yenu leo tarehe 15/06/2013 ma kama kuna watu mnaniunga mkono gonga like hapa
Binafsi naacha rasmi kusikiliza radio yenu leo tarehe 15/06/2013 ma kama kuna watu mnaniunga mkono gonga like hapa