Wanamgambo wa Kihouthi wamewahukumu Raia 9 wa Yemen Kifo kwa kujihusisha na Ngono za Jinsia moja huko Sanaa Yemen.
Swali langu wako wapi wale Wanaharakati wa QUEERS FOR HAMAS ambao huwa wanaambiwa kuwa ni sawa na kusema CHICKENS FOR KFC?
Siku ya leo Kanisa Katoliki kupitia idara ya habari ya Vatican limetoa waraka mpya unaoitwa "Dignitas Infinita" Miongoni mwa mambo yanayozungumziwa kwenye waraka huo Uliosainiwa na Papa ni pamoja na Msimamo wa Kanisa katoliki katika Kupinga Utoaji Mimba, Kubadilisha Jinsia na Upandikizaji wa...
Jf salaam.
Ukweli ni kwamba Hali ni mbaya sana uraiani sio Dar Wala mikoani Hali ni mbaya mno.
Serikali ni vyema Sasa ikatoka hadharani kama imeshaidhinisha kisiri Siri kuruhusu huu ushetani iseme ama kama imeshindwa basi jukumu hili tukabiziwe wananchi tuwashughulikie sisi wenyewe ama Kwa...
Kuna uzushi umeenea sana kwenye magroup ya WhatsApp kuhusu unga wa mahindi kama inavyoonekana kwenye picha.
Mwanzoni nilipuuzia ila kila group naikuta. Kimsingi wabongo elimu ya fortification (uongezaji virutubishi kwenye unga kwa ajili ya kupunguza utapiamlo na udumavu bado hawajaielewa.
Kuna...
Mahakama ya katiba nchini Uganda imetupilia mbali shauri lililowasilishwa Mahakamani kupinga sheria dhidi ya mapenzi kati ya Watu wa jinsia moja na kusisitiza kuwa sheria hiyo inalinda utamaduni na hadhi ya Watu wa Uganda.
DW ( @dw_kiswahili ) imeripoti kwamba Walalamikaji walitaja sababu...
Mabibi na Mabwana!
Siku za nyuma kidogo, kulikuwa na wimbi la kuona kila mtu mwenye mafanikio ni Freemason. Hii ilienda kisha ikapotea, sina uhakika ilipotelea wapi ila siku hizi sio habari tena.
Sijui ndo agenda ilishatimilika au ilishakufa!
Kwa sasa upepo umegeuka kwa kasi ya kimbunga, kila...
Katika pitapita mitandaoni nimekutana na huyu chawa wa Mtoto wa Rais Museveni, Kainerugaba Muhoozi akimtuhumu Kakwenza Rukira kuingia makubaliano ya siri na umoja wa Ulaya nchini Uganda katika kuhamasisha ushoga nchini humo.
Nakumbuka Uganda imezuia mahusiano ya jinsia moja na Rais Museveni...
Mwenyekiti wa zamani wa Nccr Mageuzi Mhe. James Mbatia, akiwa anafanya mahojiano na Edwin Odemba ameitaka Serikali iweke bayana msimamo wake kuhusu suala la ushoga na usagaji.
Mbatia amesema,
"Napinga Ushoga kwa nguvu zangu zote, Mungu alituleta hapa Duniani tuzaliane na kuijaza Dunia...
Takwimu za Human Rights Watch zinaonesha kuwa, nchi 23 katika bara la Afrika zimehalalisha ushoga. Baadhi kati ya hizo, ushoga haukuwahi kuwa kosa la jinai tokea mwanzo.
Mwaka 1998, South Africa ndiyo iliyokuwa nchi ya kwanza kuhalalisha ushoga barani Afrika kupitia Kesi ya Kikatiba Nambari 8...
Mwanzoni Kijana anapobalehe anapiga punyeto acapella yaani hata akiwa anaoga bafuni anajichua akiwa amesimama na anaridhika.Ila siku zinapozidi kwenda Kijana anapata smartphone na muda wote yuko nayo anaanza kuangalia porn regularly akiwa tu kitandan macho yake yaliyojaa uzinzi yanampeleka site...
Hii ni video inayosambaa mitandaoni inayoonyesha Mwanamke mmoja wa kizungu akiwa amekamatwa na Wananchi kwa shutuma za kusambaza vitabu vyenye kueneza tabia ya Ushoga kwa watoto.
ANGALIA VIDEO HAPA
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
Katika sherehe za kukabidhiwa kazi leo, Askofu Malasusa amesema;
"Kumekuwa na majadiliano mengi kuhusu suala la ndoa za jinsia moja na kwamba jambo la ndoa za jinsia moja tuachieni viongozi wa dini kwasababu ni letu, sisi tunajua vitabu vimesema ndoa ni mume na mke full stop. Tunahitaji...
UBAKAJI, ULAWITI, UFIRAJI NA USHOGA HAVINA UHUSIANO WOWOTE NA HORMONAL IMBALANCE
Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Angalizo: Asome mwenye umri kuanzia miaka 18.
Chini ya hapo awe chini ya uangalizi wa mzazi au mlezi
Kuna majitu ambayo yameshindwa kitabia, kimalezi na sasa yamekubuhu kwenye...
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Kilichonisukuma kuandika munakasha huu ni huyu muimba taarabu anayeimba kuhusu mapinduzi matukufu ya serikali ya Zanzibar huku yeye na waimbaji wenzake wakiwa wamevaa mavazi ya CCM na nyuma yake (background) kuna picha za marais wa Zanzibar, kuanzia muasisi wa...
Mzuka wanajamvi.
Wagalatia tusikubali kabisa mambo ya wazungu sasa hivi ya ushoga yafike hadi Africa.
Tunawashukuru wazungu kwa kutuletea injili. Mungu hawabariki mamishenari wa mwanzo kwa kutuletea nuru na habari njema ya Yesu.
Lakini sasa hivi watuache tumuabudu Yesu kwa usahihi na utashi...
Hakuna kama Yehova,
1. Nimefanya utafiti wa kina na nimebaini BBC sio chombo Cha habari tena Cha kuaminika duniani,
2. Katika utafiti wangu pia nimegundua BBC ni chombo Cha habari kinachoendeshwa na mashoga kwa 100%
3. Zaidi sana nikagundua ndio chombo kilichojipa kazi ya kupambana na Mungu...
Baba jitu zima una zaaidi ya miaka 18, unendaje bar ukiwa hauna kitu?
Unaenda bar unaanza kuombaomba bia kwa wanaume marijali wenzako, hùu ndio mwanzo wa kufanyiwa vitendo vya hovyo.
Kama huna hela baki ndani mwako, na kama unataka kulewa chukua buku mbili kununue Smart Gin Rudi nyumbani...
Kuna ile dhana ya kusema wanyama hawafanyi ushoga, leo imethibitishwa vinginevyo.
Video imewanasa simba dume wakipandana na kufanya kitendo kinachoashiria ushirika wa kingono baina yao (sexual bonding).
Wanasayansi wa Kitanganyika walichunguze hili swala, inakuwaje dume lipande dume! Mungu...
Kwa jina la misaada, Hawa ndugu zetu wanaweza kupenyeza agenda Yao huko. Ni ushauri tu. Kama kweli hatuutaki ushoga vituo hivi vichunguzwe shughuli zao Kwa ukaribu Sana. Na Aina ya misaada wanayopokea,
NB: Hasa volunteers wanaofanya kazi humo, Ni mtihan huenda wakaleta mambo Yao Kwa Hawa...
Baada ya nchi za Malawi, Cameroon, Nigeria na Zambia kupinga waraka wa Papa Francis unaoelekeza kanisa katholiki kubariki ama kuwapa baraka watu wanaojihusishwa na mapenzi ya jinsia moja ama mashoga, sasa nchi za Ulaya Mashariki kama Ukraine na Poland wameupinga huo waraka.
Nchi hizo za Ulaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.