historia

Canal História, currently branded as História, is a Portuguese basic cable and satellite television channel that features history documentaries most of which are produced by History USA and Portuguese and Spanish historic productions, owned by the joint venture known as The History Channel Iberia, between A&E Networks and AMC Networks International Iberia. More recently, it started broadcast some reality television series. Initially it was a single Iberian channel founded by Multicanal (currently AMC Networks International Iberia) with feeds in Portuguese and Spanish. It was created in March 1999 and it split into different channels on 21 March 2012.Some Portuguese historic productions airing in Canal História include Foz Côa about Coa Valley Prehistoric Rock Art, O Tratado de Tordesilhas about the Treaty of Tordesillas, Marquês de Pombal concerning Marquis of Pombal, Portugal e a NATO (Portugal and NATO) and A História Do Azulejo (History of Azulejo).

View More On Wikipedia.org
  1. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Yaya Toure aandika historia, kocha wa kwanza mwafrika kuipeleka timu Ligi ya Mabingwa Ulaya

    Nyota wa Zamani wa Soka Africa, Yaya Toure ameweka rekodi ya kipekee baada ya kuwa kocha wa kwanza Mwafrika kuifikisha timu katika hatua ya ligi ya UEFA Champions League, bila kufungwa hata mchezo mmoja katika safari hiyo ya kufuzu. Timu yake ya Slovan Bratislava imepita kwenye michezo kadhaa...
  2. KAWETELE

    JamiiForums Tanzania Historia ya Makamu wa Rais wa Tanzania: Kuanzia Karume hadi Ndejembi

    Historia ya nafasi ya Makamu wa Rais nchini Tanzania imebadilika sana tangu Muungano wa mwaka 1964. Tanzania ilianza ikiwa na Makamu wa Kwanza na Makamu wa Pili, mfumo ambao ulihusisha kwa karibu nafasi ya Rais wa Zanzibar na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano. Mwaka 1995 mfumo huo ukabadilika...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Dk Nchimbi aingia kwenye historia ya vigogo waliotimuliwa CCM kisa kutofautiana na Rais, chama

    Siku mbili baada ya Dk Emmanuel Nchimbi kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais, hatimaye CCM imemfukuza uanachama. Taarifa ya kufukuzwa kwa Dk Nchimbi ilitolewa saa 4:30 usiku wa Agosti 26, 2026 na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Asha-Rose Migioro katika ofisi ndogo za makao makuu Lumuumba Dar es...
  4. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Afrika Inatishwa na Historia Yake Yenyewe

    Mzungumzaji anaeleza kuwa viongozi waliopo madarakani wanataka kuandika historia inayowatukuza wao pekee badala ya mashujaa wa kweli: "Afrika inaogopa historia yake yenyewe Hili limekuwa tatizo kubwa sana." "...viongozi wa leo hawa waliokuja kuchukua madaraka baada ya uhuru wao wanataka...
  5. NkomaBakhosi

    JamiiForums Tanzania Siri ya Kuanguka kwa Sayansi ya Misri ya Kale: Je, Ni Sababu za Kidini, Kisiasa, au Wazungu Walituibia Historia Yetu?

    Wakuu salamu, Kuna ukweli mchungu sana kuhusu Ustaarabu wa Misri ya Kale (Ancient Egypt) ambao mara nyingi haufundishwi mashuleni. Misri haikupotea kwa sababu majengo au mahruba (pyramids) yalibomolewa. Kilichopotea ni kitu chepesi lakini cha thamani zaidi: Mnyororo ulio hai wa watu waliokuwa...
  6. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Tupate historia leo katika soka! Ipi imekukosha zaidi?

    Tarehe 24 Agosti imeacha alama kubwa katika historia ya soka, kuanzia rekodi za Arsenal, hat-trick ya Thierry Henry hadi mafanikio makubwa ya Bayern Munich. Haya ni baadhi ya matukio muhimu yaliyotokea siku hii: 1997: THIERRY HENRY AWEKA ALAMA LIGUE 1 Akiwa na miaka 20 tu na akiichezea AS...
  7. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Historia ya CHADEMA: Ilipotoka ilipo na iendako

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ndicho chama kikuu na chenye nguvu zaidi cha upinzani nchini Tanzania. Kikiwa kimeanza kama kikundi kidogo cha wasomi, kimekua na kuwa tishio kubwa zaidi la kitaasisi dhidi ya utawala wa miongo mingi wa chama tawala, Chama Cha Mapinduzi (CCM). Chama...
  8. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Maelfu ya wananchi wafika Julius Nyerere Hydro Power Plant kushuhudia uzinduzi wa kituo hiko

    Hapa ni Julius Nyerere Hydro Power Plant, yaani Kilipo Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere MW 2,115 ambapo uzinduzi wa kituo hiki utafanywa rasmi leo Agosti 22, 2026 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Maelfu ya Wananchi wameshafika tayari kuwa...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Watu Wenye Ushawishi mkubwa katika Historia

    Nimetoa Facebook kama ilivyo, je nilikuwa nauliza 21 Isaac Newton na 93 Nikola Tesla walivumbua vitu Gani
  10. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Kwaheri John Iliffe (1939 - 2026) Muokozi wa Historia ya Tanganyika

    https://youtu.be/JUp3UJpK4U8?si=T5QSIKAgYlmQXyT0
  11. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania SEKIONE KITOJO:- SAUTI ILIYOACHA ALAMA KATIKA HISTORIA YA UTANGAZAJI TANZANIA

    Kuna baadhi ya watangazaji ambao hawakuwa wanatangaza tu habari au mpira; walikuwa wanaifanya redio iwe picha inayotembea kichwani mwa msikilizaji. Miongoni mwao ni Sekione Kitojo, jina ambalo kwa wasikilizaji wa zamani wa Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na baadaye Deutsche Welle (DW)...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Usijiweke kwenye kundi moja na Imelda Marcos. Bado unaweza kujinasua na historia kama ya Imelda

    Kundi la madikiteita waliowahi kutokea duniani.... As first lady of the Philippines, Imelda Marcos shared power in a "conjugal dictatorship" with her husband, Ferdinand Marcos, marked by severe human rights abuses, martial law, and the theft of an estimated $10 billion. While Ferdinand oversaw...
  13. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Hivi dunia ina historia ya kuwa na Rais kichaa kama Trump? Sasa anajificha na kuzungukwa na silaha akihofia kuuliwa na muajemi halafu domokaya

    Wakati wa kampeni alipanga kupigwa shaba (kukunwa na shaba) akatamba si muoga, sasa anajificha... Ila kwa kweli huyu jamaa kama si mwehu basi uzee unamvamia vibaya mno na hastahili kubaki ofisini. Nilidhani ni sisi tu Afrika tuna maraisi wazee wang'ang'anizi wa madaraka hata akili...
  14. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto, Uhuru na Walinzi: Je, Historia Inajirudia?

    Rais William Ruto jana, Agosti 6, 2026, aliwakutana na maafisa wa usalama binafsi zaidi ya 5,000 State House, ambapo aliahidi kubadilisha matumizi ya majina “watchman” na “guard” na kuwatambua rasmi kama Private Security Officers (PSOs). Ruto pia alizungumzia kuboresha mishahara, heshima na...
  15. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Historia ya watu wengi ipo machoni mwao

    Macho hayafichi, tabasamu linaweza kufanya kazi ya kuku-brand ila macho yanabaki vile vile. Combination ya hurka yako na historia ya maisha yako ya nyuma hubebwa na macho yako. Makusudi yako yatafichwa na kukenua kwako ila sio macho yako. Machungu yako yatafichwa na kuchangamka kwako ila sio...
  16. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Historia ya Uhuru wa Tanganyika

    Mwaka 1933, kutokana na hofu kuwa African Association ilionekana kuwa na sura ya Kiislamu pekee, waasisi waliamua kutenganisha dini na siasa ili kuwavutia Wakristo. Mzee Bin Sudi na Kleist Sykes walisema: "tuanzishe taasisi nyingine ili tuiondoe Uislamu ndani ya African Association". Jambo hili...
  17. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Huwezi Kukwepa Historia Hii na Ukabakia na Historia ya TANU

    Wajenzi Halisi" wa Tanganyika "Harakati hizi za kudai uhuru zimeanza Dar es Salaam Kariakoo Gerezani... na walioanzisha hizi harakati ni wazee wangu." "Mbona hizi historia zimepishana hivi?" (Swali la kijana aliyesoma historia shuleni dhidi ya maelezo ya Mohammed Said). "Mbona mnaweka historia...
  18. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Historia ya Rajani Marijabu a.k.a Jabali la Muziki na kumbukumbu ya nyimbo zake.

    Marijani Rajabu alikuwa mmoja wa wanamuziki wakubwa na wenye ushawishi mkubwa katika historia ya muziki wa dansi nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 3 Machi 1955, Kariakoo, Dar es Salaam, katika familia ya kawaida. Baba yake alikuwa akifanya kazi ya uchapishaji, huku mama yake akiwa mama wa...
  19. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Tukisahau historia, inajirudia Wakoloni na walotupeleka utumwani hata leo hawatutakii mema

    Tusisahau historia yetu, na tuwafundishe watoto na vijana ili wasije ingia mkenge tena https://youtu.be/iGPUtwa9LkQ?si=ks4MVUocwBUSyS2G
  20. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Historia ya Mapinduzi ya Zanzibar na Muungano usilolijua usiku wa kiza

    Baadhi ya vitabu vya historia ya Zanzibar vilivyopo Maktaba Huwa nasoma nyuzi hapa JF mtu anaandika kuwa John Okello ni Baba wa Taifa la Zanzibar. Anaishia hapo. Ukimuuliiza kama anajua historia ya mapinduzi ni ubishi tu na mjadala kurefuka bila ya sababu. Ukimuuliza kama anaijua kambi ya...
Back
Top Bottom