Wale jamaa wanaojichukulia sheria mkononi, wanaopenda kucheza Pool. wanaopiga punyeto. kuna dawa eti inazuia mtu asifanye hilo jambo. maswali yangu
1. Punyeto ni ugonjwa gani?
2. Nini kinasababisha mtu aoige punyeto?
3. Inaenda kutibu nini hiyo dawa?
Kuna wauzaji wa dawa hizi za supplement wana...
📣📣📣📣📣📣📣📣📣📣
HASARA ZA KUPIGA PUNYETO KIROHO
🗣️Amani kwenu wakuu. Leo tutaongelea hatari inayomkabili mpiga punyeto kiroho. Ni ukweli usiopingika kwamba asilimia kubwa ya vijana na wazazi wa kileo wamejiingiza kwa nguvu kwenye utamaduni huu mchafu na hatari. Kwa nini nasema ni hatari...
Miaka ya 2000 mwanzoni mimi Babu Njunju mzee wa kunjunja na kunjunjumila niliteseka sana mpaka nikafikia kujipa cheo cha master nyeto. cha ajabu ili nigairi kunyetoka hiyo siku husika basi niwahi kuoga nipande kitandani niendelee na shughuli hapo kitandani. hapo sitanyetuka. lakini la haula...
Habari Wadau,
Tangu nipo Shule nimekuwa nikisikia hoja ya wadau wakisema kuwa, unapiga punyeto mara kwa mara utakumbwa na shida ya kusahau kusiko kwa kawaida.
Upi ukweli wa madai haya?
Mwanzoni Kijana anapobalehe anapiga punyeto acapella yaani hata akiwa anaoga bafuni anajichua akiwa amesimama na anaridhika.Ila siku zinapozidi kwenda Kijana anapata smartphone na muda wote yuko nayo anaanza kuangalia porn regularly akiwa tu kitandan macho yake yaliyojaa uzinzi yanampeleka site...
Wadau,
Kwamimi ninavyoona, kufanya punyeto ni sawa tu kusema unafanya mapenzi ya jinsia moja lakini pia ni sawa tu kusema unafanya mapenzi kinyume cha maumbile. Nyie mnaonaje?
PUNYETO ni janga la vijana wengi na pengine hadi watu wakubwa kabisa.
PUNYETO inaweza ikakutesa mwili, akili, roho na nafsi.
Hata mimi nilikua huko, ila nimeweza kuacha na kuwa huru.
Japo unaweza kujipa moyo kwa kuungana au kusoma post zingine za wapiga punyeto,
Lakini, ukweli unabaki kwako...
PUNYETO ni janga la vijana wengi na pengine hadi watu wakubwa kabisa.
PUNYETO inaweza ikakutesa mwili, akili, roho na nafsi.
Hata mimi nilikua huko, ila nimeweza kuacha na kuwa huru.
Japo unaweza kujipa moyo kwa kuungana au kusoma post zingine za wapiga punyeto,
Lakini, ukweli unabaki kwako...
PUNYETO ni janga la vijana wengi na pengine hadi watu wakubwa kabisa.
PUNYETO inaweza ikakutesa mwili, akili, roho na nafsi.
Hata mimi nilikua huko, ila nimeweza kuacha na kuwa huru.
Japo unaweza kujipa moyo kwa kuungana au kusoma post zingine za wapiga punyeto,
Lakini, ukweli unabaki kwako...
Nilibaatika kusoma shule ya vipaji maalumu tu punde baada ya kumaliza darasa la saba,, uko nilibaatika kukutana na marafiki wa aina mbalimbali,
Shule yetu ilikua ni ya bweni. Ambapo ilikua ni jinsia moja tuu, kama mnavyojua kwamba, "kwenye msafara wa kenge MAMBA naye huwa akosekani...
Sitakuwa na muda wa salamu kwa majitu ambayo kutwa kucha yanapiga punyeto,shame on you!.
Hivi unawezaje kuwa na mwanamke kitandani usiku kucha unaishia kumkung'uta kabao kamoja au viwili tena kwa taabu?
Yaani dume zima unakuta ile saa 3 usiku linaparamia mwanamke utadhani kuna ugomvi kisha...
Mimi sio muumini wa punyeto ila toka nimemtimua shemeji yenu wikiendi iliyopita kwasababu kadha wa kadha.
Leo jumatatu saa tatu za usiku huu baada ya kurudi job nikavutwa na hisia kali za kufanya mapenzi nikajikuta napiga punyeto sasa naona muda unavyozidi kwenda najiskia fatigue (mwili...
Wakuu kwema?
Nakumbuka ilikuwa 2010 nikiwa kidato cha tatu baada ya kutoka prepo tulikuwa tunaenda saa nne kulala. Bwenini tulikuwa tunakaa watu nane wanne chini na juu watu wanne pia.
Basi bhana mida ya saa sita nilibanwa kwenda kukojoa nilivyosituka nikasikia jamaa tuliekuwa tunakaa karibu...
Jana mke wangu alitoka tangu asubuhi na mtoto walienda kwa mama yangu kusalimia, I mean wameenda ukweni.
Nilibaki home peke yangu kwakuwa wikiendi huwa sipendi kutoka napenda kukaa ndani familia yangu japo wao waliondoka nilikaa mwenyewe sikuona sababu ya kutoka kwenda kuzurura.
Nilichek...
Bado naendelea na mtihani wa kutoka kwenye hiki kifungo Cha kujichua kinatesa Sana kwa kweli nimejipa saikolijia moja kila likija wazo la kujichua najichekea mwenyewe moyon na kujiambia hv unakili kweli yanI unataka ufanye ujinga huo Basi wazo linatoka
Hatua ya kubalehe ni mbaya kama usipokuwa na mshauri au uangalizi wa mzazi na kupitia ndoto nyevu na zile nyege za kubalehe wengi wamezama humo kwenye NYETO na mpk leo hii wengine wameshindwa kuoa wanajiridhisha wenyewe mwingine hana habari na madem yeye na sabuni.
Wapo pia madem ndo kitulizo...
Habar ndugu zangu,
Nimepiga punyeto kwa muda mrefu Sana nilianza 2009 Kama utani ilipofka2013 ndio nikaaza kuona madhara makubwa mwili ukadhoofu sana halafu nikawa mzito kuelewa yaani nakuwa kama zoba fulani mwili masaa yote umechoka ni nikawa napenda kulala tu.
Mpaka sasa hivi hali ni...
Thread......Jinsi nlivyoanza punyeto ( kujichua)
Nlianza mchezo huu 24 dec 2012, kuna jamaa angu kipind hicho kwao kulikuwa na mpangaji akamfundisha kupiga nyeto, na unaambiwa huyo jamaa alikuwa anapiga nyeto mpaka sperm zinaisha unaanza kutoka upepo😀😀, back to story jamaa alivyonielekez maswala...
Tendo la kupiga punyeto ni tendo ambalo nimepingwa vikali na jamii na linaonekana kama ukosefu wa maadili katika mwanadamu. Ili kufanya watu waache kufanya tendo hili kuna watu walioleta hoja kadhaa kuwa tendo hili lina madhara kwa yeyote anayefanya hivi bila kufanya utafiti wowote.
Kuna...
Ukipiga asubuhi, ukaunganisha mabao mawili tayari unakuwa umeua watu wawili.
Ukipiga mchana moja, na usiku Raunds tatu, tayari ndani ya siku moja unakuwa umeua watoto sita.
Fanya idadi hiyo mara wiki, vipi ukipiga mwezi mzima utakuwa umeua wangapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.