The bar is a metric unit of pressure, but not part of the International System of Units (SI). It is defined as exactly equal to 100,000 Pa (100 kPa), or slightly less than the current average atmospheric pressure on Earth at sea level (approximately 1.013 bar). By the barometric formula, 1 bar is roughly the atmospheric pressure on Earth at an altitude of 111 metres at 15 °C.
The bar and the millibar were introduced by the Norwegian meteorologist Vilhelm Bjerknes, who was a founder of the modern practice of weather forecasting.The International Bureau of Weights and Measures (BIPM) lists the bar as one of the "non-SI units [that authors] should have the freedom to use", but has declined to include it among the "non-SI units accepted for use with the SI". The bar has been legally recognised in countries of the European Union since 2004. The US National Institute of Standards and Technology (NIST) deprecates its use except for "limited use in meteorology" and lists it as one of several units that "must not be introduced in fields where they are not presently used". The International Astronomical Union (IAU) also lists it under "Non-SI units and symbols whose continued use is deprecated".Units derived from the bar include the megabar (symbol: Mbar), kilobar (symbol: kbar), decibar (symbol: dbar), centibar (symbol: cbar), and millibar (symbol: mbar). The notation bar(g), though deprecated by various bodies, represents gauge pressure, i.e., pressure in bars above ambient or atmospheric pressure.
Leo kidogo nitakuwa mkali
Nina mashaka kama bado ofisi za umma zinafundisha watumishi wake miiko ya kazi. Sina uhakika kama hawa watu wanakumbushwa namna ya ku behave wakiwa maeneo tofauti na ofisi zao.
Unakuta maafisa wapo bar au sehemu ya chakula au hata kwenye basi, wanaongelea masuala ya...
LIPA KWA M-PESA Ni laini ambazo zimetengenezwa kwa ajili ya wafanyabiashara wooote iwe online business, Sheri, Hotel,Guest House, makampuni mbali mbali n.k. Hiyo yote ni kwa ajili ya kuuzia bidhaa na kutunza fedha za mfanyabiashara ili ziwe salama zaidi lakini pia kuwaweka wateja wake kwenye...
Zamani nilikuwa ninawashangaa sana na kukemea tabia za baadhi ya wanaume ambao wakitoka kazini hawaendi nyumbani wanapitia Bar kupoteza muda ili masaa yasogee.
Sasahivi nimegundua kumbe wanakuwa wanaepuka domokaya na maneno ya wakezao, mtazamo wangu juu yao umebadilika.
Naomba msamaha kwa...
Unaweza usiamini ila kwenye mabanda umiza na mabar soda inauzwa 1000 sio kama madukani 700 na maji Lita 1.5 yanauzwa 1500 sasa Wakija wateja wengi ukauza ma kreti mengi ya soda aisee biashara itakuendea vizuri sana.soda moja unapiga faida Mpaka 500 hakuna bia yenye faida hiyo.
Uongozi ulisema kutakuwa na update ya kupunguza (minimize) hii bar mpya ya chini ambayo imechukua nafasi kubwa sana! Ni siku ya nne tangu nitoe malalamiko kuhusu hii bar mpya.
Bar mpya ya chini!
Matatizo makubwa kwangu binafsi ni haya:
1) Intended threads or page scrolling
2) Both...
Wakuu hivi mchakato wa kupata barcode kwa mjasiriamali mdogo ukoje...Kuna mdau alisema ni pale ofisi ya mkuu wa wilaya ya ilala ndio ofisi zilipo ni sawa.
Terms of Reference
ROLI Africa- ABA ROLI Freedom of Expression Consultant; April 2024 – June 2024
Background.
For 30 years, and through our work in more than 100 countries, ABA ROLI and our partners have sought to strengthen legal institutions, support legal professionals, foster respect for...
-Charges
-power bank
-protecter
-machine za kunyolea za kuchaji
-visu vya kujilinda
-torch
-mikanda
-simu ndogo ORIGINAL hasa za Nokia
-flash
-vifaa vya mazoezi mfano kamba
Anayejua machimbo ya bidhaa Hizo Kwa kariakoo atupe maelekezo na pia bei Zake katika maduka ya jumla na pia kama kuna...
Ni miaka mingi huyu mtu amefunga huu mtaa, ambae amepangisha watu barabarani, barabara yetu ya kupita, na kapangisha watu, mbele kajenga fremu na kajenga banda la chips, kaweka mama ntilie, na katengeneza umiliki wake.
Huu mtaa kiuhaalisia ukitokaa sinza hii barabara ya Africa sana kuja TRA...
Wakuu ikipita barabara ya external kwenda maji chumvi unapita eneo la jeshi, limejaa bar na frame.
Hali iko hivyo ukipita Lugalo, kumefunguliwa frames nyingi sana kwenye eneo la jeshi.
Swali, je, jeshi letu limeona uwekezaji pekee wanaweza kufanya kwenye maeneo yao ni kufungua bar na frame tu...
Baada ya majaribio kadhaa kushindwa kuingiza satelite kwenye orbit,leo Iran imefanikiwa kurusha satelite 3 kwa mpigo na kwa mafanikio.
Mafanikio hayo yamekuja siku chache baada ya taifa la Saudi Arabia kutangaza kufungua duka kubwa la kisasa la kuuzia ulevi.
Iran successfully launches 3...
Baba jitu zima una zaaidi ya miaka 18, unendaje bar ukiwa hauna kitu?
Unaenda bar unaanza kuombaomba bia kwa wanaume marijali wenzako, hùu ndio mwanzo wa kufanyiwa vitendo vya hovyo.
Kama huna hela baki ndani mwako, na kama unataka kulewa chukua buku mbili kununue Smart Gin Rudi nyumbani...
Hello everyone heri ya msimu wa sikukuu.
Jamani naomba majibu na mjadala wa kina kwanini sehemu za biashara ya kitimoto ni chafu na kiasi cha kupofusha macho ya kinyaa kwa wateja?
Ni hayo tu
Wadiz
Wakuu habari za boxing day.
Mojawapo ya mipango yangu ya 2024 ni kubadilisha na kupendezesha kisebule changu na vifaa vya kisasa vya kielektroniki.
Sasa nilikua naomba ushauri ama review ya sound bar taja hapo juu kutoka JBL.
Kwa sasa natumia JBL 9.1 ila nataka mwakani mapema ni upgrade...
Tujuane wadau, labda nilipokaa hapa kuna member wa jf nae ana-browse ila hatujuani.
Nimerudi Dar jioni hii ila nimetulia hapa Micassa Pub Ubungo
Uko wapi mdau?
Mshana Jr
LIKUD
The Boss
Extrovert
cocastic
Nifah
dronedrake
The only
Na wengine wengi
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dares Salaam lilipokea taarifa kuwa tarehe 29/11/2023, Saa sita usiku maeneo ya Sinza Mapambano Kinondoni askari wawili walimjeruhi kwa risasi mu mmoja aliyefahamika kwa Jina la Razaki Azan mwenye umri miaka 29 mlinzi binafsi wa Bar itwayo Board room iliyopo Sinza...
Tumeshuhudia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akivalia njuga wanawake wanaojiuza almaarufu makahaba. Zoezi lilianzia kwenye kuvamia na kuvunja vibanda maarufu vijjlikanavyo kama Vibanda vya Wahaya na kuwatia mbaroni baadhi yao.
RC Chalamila anayesifika kwa tabia za ufyatu ambapo aliwahi kusikika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.