Nishasikia story za maisha ya watu waliokuwa wapenzi, baada ya kuachana. Mengine nimeshuhudia mubashara kabisa.
Hivi mtu mnaachana, afu UNALIA, UNAMTUKANA mwenzako, UNAMCHUKIA!!!!!!?
Kwanini?
Me...
Mimi kama mdau wa jf zaidi ya miaka8 sasa ninachokiandika nina uhakika nacho na wengi wa miaka ya nyuma chukulia hata miaka4 kurudi nyuma jf hii hii haikuwa ya hivi unavyoiona wewe.
Nadhani kwa...
Ofisi inajihusisha na uuzaji wa GAS ZA KUPIKIA.
ENEO ILIPO : KIMARA
MAJUKUMU : YOTE YAHUSUYO OFISI HIYO
VIGEZO : UWE NA NIDA NA WADHAMINI (2) WENYE MAKAZI YA KUDUMU
MUDA WA KUINGIA KAZIN ...
Ambacho Kikwete hakukumbuka ni hiki, Chakwera ni Mmarekani mwenye asili ya Malawi, nimekutana naye Mara kadhaa Washington akiwa kwenye majukumu yake ya kidini
Huyu si mtu wa kupigwa porojo za...
Kuna muda mtu unakuwa na mambo mengi hadi unasahau kama upo kwenye "Age go" unaongeza miaka ila ni kama unajiona bado mdogo tu mpaka ukutane na jambo fulani ndio unastuka kumbe umri wangu ushaenda...
Mwandishi ni mtu wa karibu wa mlalamikaji
Nimesikiliza video ya Mh Kigwangwala nimecheka sana
Huyu alikua Rafiki yangu sana kabla hajawa Waziri. Hata alipokuja London mimi ndio nilikua mwenyeji...
SERIKALI YATANGAZA ELIMU YA MSINGI YA LAZIMA KUWA MIAKA 10
Dodoma — Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ametangaza kuanza kwa utekelezaji wa mfumo mpya wa elimu utakaofanya elimu ya msingi kuwa ya...
Napenda kupata uelewa zaidi kutoka kwa Wananchi na wadau husika wa sekta hii... Kwanini kipindi hiki idadi kubwa ya wamama wanajifungua kwa kisu (oparesheni) yaani katika Asilimia 100, kati yao...
Endapo Iran ataanguka ni wazi waislamu wakitaka Hijja viza na mipango yote ya safari za hijja zitapangwa na Isreal, nani aende na nani asiende.
Masjid Aqswa na ardhi yote ya Palestina ambayo ni...
Ndugu zangu Watanzania,
Huu hapa ni ujumbe wa shukurani kutoka kwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania kwenda kwa chama cha madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Ubongo, Mgongo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.