Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jaman hbr zenu mm nina changamoto ya presha na nimegundua kutokana na number zangu zinavyojieleza mara inapanda mara inashuka naitaji kuicontroll kabla haijaniletea shida kubwa zaidi iwe kwa dawa...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Mshkaji alisherehekea bao la kwanza kwa mbwembwe nyingi akimbia uwanja mzima wakati demu anadai "VAR" iangaliwe kwa sababu bao lilikuwa la "offside" maana kwa lilidumu sekunde chache tu.. au...
3 Reactions
13 Replies
20 Views
Hawa ma rc na ma dc, Nyerere aliamua kuwarithi kutoka katika mifumo ya kikoloni. Hawa wananguvu kuliko mbunge, hawa ni ma puppet wa raisi hawana kazi nyingine.
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wanaukumbi. Marekani imekubali kuachilia mali za Iran zilizozuiliwa zilizoshikiliwa Qatar na benki zingine za kigeni, chanzo kikuu cha Iran kiliambia Reuters Jumamosi, kikielezea hatua hiyo kama...
2 Reactions
31 Replies
127 Views
Mara tu baada ya kushika madaraka mwaka 2021 haikuchukua muda ukamtumbua aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya kwa kumsimamisha kazi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zilizokuwa...
12 Reactions
34 Replies
442 Views
  • Sticky
Full name: Arsenal Football Club Nickname(s): The Gunners Founded: 1 December 1886 League: Premier League Website: arsenal.com Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch...
145 Reactions
171K Replies
10M Views
Huwa nikikaa na vijana hasa , ambao wapo early twenties na ambao wapo early thirties Ni kama wanaishi katika Dunia FAKE ambayo sio genuine. O.G Utakuta ana miaka 20+ ila anakuambia mpaka...
1 Reactions
1 Replies
16 Views
Jiulize Kuna uhusiano Gani kati ya mtu kuguswa bega na kupoteza mbor. o 😂 Yaani watu wanaiamin katika technology, uvumbuzi na science, Sisi tunauana ati mtu alikugusa bega ukapoteza nyeti...
3 Reactions
19 Replies
221 Views
Kwako mh Rais wangu na IGP wetu na DC Magoti je ujambazi umeanza tena kwa mfumo wa ndani ya jeshi la polisi? Jana saa nne na nusu za usiku hapa makurunge kiluvya kisarawe kumetokea tukio la...
0 Reactions
11 Replies
72 Views
Shabiki maarufu wa Klabu ya Simba, K-Mziwanda amesema hakuna tukio lililomuumiza kama la Oktoba 29, 2025 kwani alipoteza marafiki (washkaji) wengi anaowafahamu "Kuna tukio jingine... sasa hili ni...
7 Reactions
16 Replies
313 Views

FORUM STATS

Threads
2,050,967
Posts
55,219,752
Back
Top Bottom