Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mimi kama mdau wa jamii forum nimeona hoja na kero nyingi zikipatiwa ufumbuzi mbali mbali hivyo naomba kuwasilisha hoja yangu ya msingi hapa! Ni kuhusu wizara ya elimu hapa nchini ninaomba...
1 Reactions
10 Replies
70 Views
Sakata la mchele wenye virutubisho kutoka Marekani limeendelea kuchukua sura mpya baada ya waislamu kuukataa bila kumumunya maneno. Wakiongea kupitia redio ya kiislamu ya Imaan FM inayounguruma...
4 Reactions
51 Replies
558 Views
Swalama ndugu zanguni? Huyu mwamba anapika sana pilau, sijui kwa sasa yuko wapi? Mwanzo alikuwa soko la Kibasila Kariakoo. Soko lilipovunjwa kupisha mradi wa Reli ya SGR akahamia Suwata. Sasa...
2 Reactions
12 Replies
510 Views
Wafanyabiashara nawaomba tembeeni kifua mbele kwanini ninyi ni matajiri. Ninyi ndio walipa mishahara ya serikali, mnawanunulia viongozi mafuta ya magari, mnawapandisha ndege na kulipa ada za...
1 Reactions
6 Replies
79 Views
Habarini Waungwana! Leo nimeona nitoe mchongo wa biashara ambayo binafsi nimewahifanya kabla sijapata ajira na natarajia kuendelea kufanya baada ya ajira kuisha. Uzuri wa biashara hii, pamoja na...
207 Reactions
534 Replies
119K Views
Hivi hili taifa lina usalama au serikali kweli? Hili shirika linasambaza ushoga kupitia kugawa vilainishi, Spray na dawa za ajabu ajabu. Imekua ni clinic ya mashoga na wasagaji wakifundishwa njia...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
“MAGUFULI ALICHELEWA KUWA RAIS WETU.” Tulitakiwa kuwa na JPM kabla ya miaka 20 iliyopita. Magufuli alichelewa kuwa Rais wetu kwa katiba ya kifalme/kisultan tuliyonayo. Miaka 5 na miezi 5...
15 Reactions
129 Replies
2K Views
Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa Makame Mbarawa amesema majaribio treni ya SGR yamekuwa yakizingatia usalama unaofanya treni kutembea kwa mwendokasi wa chini tofauti na itakavyokuwa baada...
3 Reactions
72 Replies
2K Views
Wanagu ni wapenzi wakubwa sana wa channel za Katuni kama vile FIXFOXY, BABY TV, CBEEBIES, CARTOON NETWORK, TOONAMS, NICKELODEON, , Hadi na mimi nimejikuta kuwa mpenzi wa hivi vicatoon, Sasa...
2 Reactions
12 Replies
179 Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
40 Reactions
49K Replies
3M Views

FORUM STATS

Threads
1,837,671
Posts
49,110,705
Members
662,965
Latest member
Unju5
Back
Top Bottom