Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,236
- 675
Kuna habari za uhakika vile vile ZANU-PF wanafanya mkutano kesho utakaosimamiwa na R. Mugabe kupanga strategy ya kuwamaliza wapinzani.
Kwa kweli mambo ni magumu sana na kuna watakaopoteza maisha big time, na wanaokwamisha utangazaji wa kura ni Mugabe na wapambe wake wa karibu maana wengi walikuwa wananyanyasa wananchi na watashitakiwa kwa kuvunja haki za binadamu bila kusahau wakuu wa polisi na jeshi ambao wengi wanagwaya. Sasa ndio tuone what next - huwezi kusema re-run election wakati hutangazi matokeo - Miujiza hii!
Kwa kweli mambo ni magumu sana na kuna watakaopoteza maisha big time, na wanaokwamisha utangazaji wa kura ni Mugabe na wapambe wake wa karibu maana wengi walikuwa wananyanyasa wananchi na watashitakiwa kwa kuvunja haki za binadamu bila kusahau wakuu wa polisi na jeshi ambao wengi wanagwaya. Sasa ndio tuone what next - huwezi kusema re-run election wakati hutangazi matokeo - Miujiza hii!