Robert anasubiri nini kutimua mbio nje ya nchi kama mambo hayamwendei vizuri?
Yeye aende uhamishoni akaishi asubiri kushitakiwa kama yapo aliyokosa kama yeye na hata kama Rais kama alikiuka haki za binadamu..
,kule kuapishiwa ikulu kwa siri bila hata kualika hata mataifa mageni kumegharimu maisha ya wakenya?
Tayari ameisha pewa offer na Malaysia. Hii ni dalili tosha kabisa kwamba viongozi wengi walikuwa wanajua kwamba jamaa ni dictator lakini kwa unafiki wao wakaa kimya na sasa kwa kuwa kashindwa uchaguzi ndio wanakuwa wa kwanza kumpa offer ya kwenda kuishi huko. Msishangae mkakuta huko amehamishia fedha zote za kigeni za Zimbabwe wakati nchi haina fedha za kigeni.
Malaysia would welcome Mugabe - ex-PM
WELCOME: Malaysia could provide refuge for Mugabe if he loses power
FORMER Malaysian Prime Minister Mahathir Mohamad said today his country should welcome Zimbabwean President Robert Mugabe if he goes into exile following elections in his country.
Mahathir, who is seen as a close Mugabe ally in the region, said he expected the Zimbabwean leader to accept the results of national polls in the African nation.
"If he wants to come here, the (Malaysian) government should welcome him," Mahathir told reporters. "If he has lost, he has to accept the decision of the people, that is the best thing he can do," he added.
Mahathirs comments come amid fevered speculation over the past few days that Mugabe, who has been silent and has not appeared in public since voting on Saturday, has left the country for exile in a friendly state.
A foreign ministry official told AFP they were unaware of Mugabes plans.
The former Malaysian premiers comments come as Zimbabwes ruling party geared up today for a final battle to save Mugabes 28-year presidency, saying it was ready for an election run-off with opposition leader Morgan Tsvangirai.
State media said a run-off was now the most likely outcome after no clear winner emerged from Saturdays polls. A government spokesman said Mugabes party was ready for a new battle in the second round. - AFP