Zimbabwe Election: Progress & Results

Zimbabwe Election: Progress & Results

The New York Times reports the state run Paper in
Zimbabwe predicts a run off.

Could it be that Bob is testing the waters before tossing his hat in the second round?

This is his mouthpiece after all

www.nyt.com
 
Msione kimya kingi Mugabe amewekwa kiti moto na wakuu wa vyombo vya dola ,mkuu wa majeshi ya misituni mkuu wa Usalama na jeshi la polisi na vingunge wengine ambao wamemwambia kuwa mambo ni mazito na hawataweza kutekeleza yale aliyowafundisha akina karume na Kibaki ,kwani watakaokufa ni wengi na ni miongoni mwa ndugu na jamaa hivyo akubali matokeo kwa vyovyote vile yatakavyotokea asilazimishe kitu ,kwani zaidi ya mbinu zote za wizi bado ametupwa nyuma kwa mbali sana katika kura za uraisi.
 
Unajua it come a time wananchi wakiamua hata uibe vipi hutashinda. Mugabe alijua hili na alipanga kila mbinu ikiwa ni pamoja na kutumia vyombo vya dola kutishia Wazimbabwe lakini haijasidia kitu.

Hapa ni somo zuri kwa CCM kujua kuwa mabadiliko ni kitu live na Tanzania is no exception, ni swala la muda tu. Wananchi wa Zimbabwe wameonja joto ya jiwe kiasi cha kushindwa tena kumbeba Mugabe. Tanzania ndo tunakoelekea. Nchi zote zinazotuzunguka Wale viongozi wababe wamatolewa kwa njia ya Kura.

Nashukuru kwa post yako nzuri,naomba wapenda mabadiliko wote tushiriki kuhamasisha kitu kilichofanywa zimbabwe cha ngos kutengeneza Zimbabwe Election Support Network. Hizi jumuia zimetoa elimu kwa nguvu zote ndio maana wazimbabwe wameweza kuamua richa ya vitisho vilivyotolewa.Naomba sana taasisi zetu za dini na ngos za haki za binadamu waige kitu hicho TEMCO haiaminiki.Huo mtandao uanze sasa hivi bila kuchelewa kujenga ujasiri kwa wapiga kura wa tanzania, waache kutoa lawama kwa viongozi wa upinzani tu.
 
ZEC: 200 constituencies announced; Zanu-PF loses parliamentary majority

Sokwanele - Enough is Enough - Zimbabwe
PROMOTING NON-VIOLENT PRINCIPLES TO ACHIEVE DEMOCRACY


pvt_zec_02_1655.gif


Results for 200 constituencies have now been announced by the ZEC.
Zanu PF has lost its lead and have a total of 94 seats. MDC Tsvangirai now lead by 4 seats with a total of 98 seats. MDC Mutambara have gained an extra 2 seats, and now has a total of 7 seats. Finally, Jonothan Moyo, who stood as an Independent, has won his seat in Tsholotsho North.

Zanu PF has lost its parliamentary majority.
We are now awaiting for the ZEC announcement of results for Hwange Central, Nkayi North, Beitbridge West, Gwanda North, Insiza North, Matobo South, and Umzingwane.
In addition to the above, there will be by-elections for the following three constituencies: Pelandaba/Mpopoma, Gwanda South, and Redcliff . This is due to the deaths of three candidates prior to the March 29th elections.
The share of the vote, so far and according to ZEC announced figures, is as follows:


pie_zec_02_1726.gif

Total votes: 2352944 ZPF: 1082752 MDC MT: 1021125 MDC AM: 182084 Others: 66983


MDC MT 16335 / ZPF 2946 /

Nkayi South
MDC MT 5958 / ZPF 3198 / MDC AM 1478 /

Tsholotsho North
IND 3532 / MDC AM 3305 / ZPF 2085 /

Lupane East
MDC AM 5424 / ZPF 3368 / MDC MT 1352 /

Makoni South
MDC MT 6501 / ZPF 5230 / MDC AM 1530 / IND 791 /

Tsholotsho South
MDC AM 5651 / ZPF 3328 /

Binga South
MDC MT 9818 / MDC AM 2136 / ZPF 1766 /

Hwange East
MDC MT 5140 / ZPF 3320 / MDC AM 2387 /

Hwange West
MDC MT 6318 / MDC AM 3561 / ZPF 2840 /

Umguza
ZPF 7065 / MDC MT 2846 / MDC AM 2120 / IND 555 / UPP 226 /

Pumula
MDC MT 3443 / MDC AM 2751 / ZPF 1220 / FDU 126 / UPP 100 /

Subscribe to receive results by sending an email to elections2008@sokwanele.com.
Please, it would be very helpful to us if you could subscribe yourselves automatically via our website at the following address: www.sokwanele.com/join.html. If you can't, we will still do our best to ensure your addresses are added to the list for successive mailings.
Election results are also being posted on our website at http://www.sokwanele.com/election2008 as we get them.

Siri ya MDC kushinda ni mbinu za kisasa za kutokomeza wizi wa kura alioufanya 2000 election kwa hiyo this time around pamoja na matatizo ya kiuchumi wakati Mugabe akitegemea Wazimbabwe waandamane Ili atumie nguvu za jeshi wao wamekuwa wametulia wakimuangalia tu, AIBU KUBWA. Ameshindwa kupata sababu ya kutumia jeshi.

Sasa waliobaki ni wale makuwadi wanaoangalia matumbo yao yaliyokuwa yanalindwa na Dictactor.
 
Hivi ni nini kinachosababisha haya matokeo kutotangazwa? Afrika bana....inashangaza sana!! Mambo kama haya ndiyo yanasababisha tuonekane Ndivyo Tulivyo!!
 
Kitila Mkumbo,
Tofauti kati yangu na wewe ama pengine wengi humu ni kwamba hamtazami yajayo mbele.. na nini athari zake. Hata siku moja huwezi kukubali kuweka mazungumzo na mtu ambaye KASHINDWA uchaguzi mkuu. Ukikubali ku share Uongozi ina maana umekubaliana na matokeo ya uchaguzi na pia kuonyesha wazi kuwa demokrasia fulani ya mchoro imefanyika nje ya matakwa ya wananchi waliokuchagua. What if Mugabe ndiye angeshinda! kungekuwepo na mazungumzo ya aina yoyote?

Mkuu kama Watanzania asilimia 70 wamekuchagua wewe kutawala kisha wewe kwa woga wa maisha yako ukakubali kufanya muafaka na yule aliyeshindwa!... Hapo mkuu kwa nafasi utakayo pewa utakuwa una represent nani?..Je, kulikuwepo na haja ya wananchi kupiga kura in the first place?...

Pili, nachoshindwa kuelewa ni pale anapokana kufanya mazungumzo na Mugabe hali amefanya.. Je, hii sio kuwadanganya wananchi hao hao waliokupigia kura besides for whose interest unakana?..Kesho utadanganya nini tena pindi ukishindwa kutimiza ahadi ambazo uliwaahidi wananchi walikuchagua..
Mwisho mkuu wangu ikiwa Jeshi limeisha sema haliwezi kutambua uchaguzi huu nje ya Mugabe.. Je, sio jambo la busara kufanya mazungumzo na wakuu wa jeshi kutokana na kauli yao badala ya kufanya mazungumzo na Mugabe!. Pengine yawezekana kabisa kuwa Jeshi linasema hivyo kutokana na interest za kijeshi maanake nchi zetu za Kiafrika na hasa dunia ya Tatu.. mara nyingi Jeshi huwa linajitegemea kimawazo inapofikia swala la kiongozi, wanaweza chukua wao madaraka ya kuongoza nje kabisa ya matokeo ya uchaguzi ama matakwa ya Mugabe.
Je, nini hatma ya uchaguzi huu na kutakuwepo na faida gani ku share uongozi na Mugabe hali wananchi wameridhika na sera za chama chako sdhidi ya zile za chama kilichoshindwa!..Je, haitakuwa mnajaribu kuwahadaa wananchi na hizo kura kumbe ni pambo tu la ukutani kufurahisha nchi za western..
Kibaya kwa Wa Zimbabwe, westerners wataendelea kuweka vikwazo kwa sababu Mugabe kamwe hatakubali kurudisha ardhi na pili ataendelea kuwa rais ama kuwa na nafasi ya juu ktk maamuzi mengi ya serikali mpya.. Na kama swala ni kutopelekwa kortini, mkuu wangu hiyo korti ya dunia haihitaji baraka za rais Morgan ama mjomba wake... Hawa wakisha kuwekea wanted huna pa kujificha na wala sio jukumu la Morgan tena.. he has no say kama wanavyowatafutwa wale Ma- Nazis,Serbian ama Wahutu waliohusika na mauaji.
 
mbona matokeo yamechelewa mno....what is going on.....?
 
Bob I feel you bro. Lakini tuwekane sawa.

1. Kwanza lazima tukubalia na kuappreciate mazingira MAGUMU wapinzani wanayofanyia kazi katika bara letu la Africa. Incumbents wanatumia resources za serikali kama za Chama wakati wapinzani hawana kitu. Hata nyumbani hapa angalia CCM inavyotumia resorces za walipa kodi kufanya shughuli zake, rais au waziri mkuu akienda mkoani kwa shughuli za "maendeleo" ni kuifanyia campaign CCM wakati bill tunalipa sisi. Kifupi kuanzia kwa mtendaji wa kata mpaka raisi..wote wanakifanyia kazi Chama! Sasa jiulize mtu kama Mbowe au Mrema et al, katika mazingira kama hayo watafanya shughuli zao kivipi? bila kusahau CCM kila mwezi wanajilipa millions and millions. we all have tons of explanations lakini ukweli ni kwamba kujitoa muhanga kwenye opposition politics zetu za kiafrika lazima uwe na kichwa cha mwenda wazimu!

2. Personally namsifu sana Morgani he has shown maturity ya hali ya juu sana. Zimbabwe ilipo hata MUGABE ALIJUA "ATASHINDA" KWA KUTUMIA VYOMBO VYA DOLA, LAKINI AS KENYANS HAVE SHOWN WANANCHI HAWAKUTAKA KUPELEKWA HUKO WALIMNYIMA HIYO NAFASI MUGABE YA KUTUMIA JESHI-ATLEAST NOT YET. MPAKA WAKILAZIMISHWA!

3. Tutakuwa wanafiki tusipokubali umakini na juhudi za Morgan (as any other politician he has his own failings) lakini tumeona hata humu JF jamaa alivyopigwa na kuswekwa ndani mara kadhaa, kifupi he was truly after liberation of Zimbabwe. Mugabe kamnyanyasa sana, lakini jamaa kavumilia na wala hajawahi kuadvocate violence kama wengi tunavyotaka kuamini humu. Na wala hajaenda UHAMISHONI Sasa katika hali kama ya Zim, what kind of politician do you want?

4.Kumuita Morgan kwamba ni kibaraka I guess we miss a Point. Hivi hata ungekuwa wewe kweli kama unataka kuendelea kuwa politically relevant, how can you compete without resources? Mugabe anatumia hela za walipa kodi, kitu ambacho Morgan hana! sasa kweli hata kama anapewa hela na Britain nk, what is wrong? wanasiasa wangapi hata huko ulaya wanakuwa financed na outsiders? Kifupi hata kama ni wewe ungekuwa kwenye upinzani katika siasa zetu za kinazi na kizandiki Africa..ungefanya nini? Harafu hii ya kuitana vibaraka nadhani ni hoja MUFILISI, not that everything which comes from the west is BAD kama wanasiasa wetu wanavyopenda tuamini. No way. Kuna mengine mazuri na mengine mabaya, ni sisi kupima. Tujenge hoja. Morgan had no access to resources, Mugabe anacontrol media yote, everything! na leo unategemea kwamba Morgani apambane na Mugabe? lets stop kidding on serious issues as if tunaishi kwenye sayari ya Mars!

5. Mugabe his time is up, hata wale big wigs ambao leo wamepoteza uchaguzi wanamlaumu Mugabe kwa sababu ndiyo chanzo, na wamepoteza mkate... kifupi ni kwamba people were tired. and he can hardly manuevre kwa sababu his political base is fractured to the core. He must accept graceful exit. Swala la jeshi siyo issue kubwa, unafikiri wao wanaishi mbinguni? wale wakubwa walikuwa wanamsupport Mugabe kwa sababu in Africa lazima uonyeshe loyalty yako, otherwise you will be in trouble!

6. Mwisho, swala la kushare power katika nchi za kiafrika haliepukiki na ni la busara sana. Imagine kama Zanzibar incumbent anashinda kwa less than 1%! hata mjinga anajua kwamba waliiba kura, haya angalia Angola, Chad, nk angalia nchi nyingi za kiafrika pale ambapo incumbents wamekuwa na mawazo na msimamo mkali kama unaoonyesha hapa, wapinzani wameishia msituni ambako madhara yake yamekuwa mabaya zaidi. kWA SABABU UCHAGUZI WETU aFRICA HAUNA TRANSPARENCY WALA ACCOUNTABILITY. KIFUPI HATA WATAWALA HAWAAMINI PROCESS YENYEWE. Kifupi sharing of power promotes healing and enables the nation to move forward.

make no mistake, opposition is not a panacea of our woes especially in africa, but if we have decided to follow certain process lets have a level playing field. Sitegemei Morgan hata akipata madaraka kuwa malaika, but kama wananchi wameamua hivyo kwenye open and transparent process, why should one man for his own and selfish reasons hold hostage the whole nation? Let Zim move forward. Tanzania itafuata.

Lastly, I say, when people are tired of you, you will never impose yourself on them. Mugabe had taken for a ride his people..whetever the outcome of the election-He will have a tale to tale in his remaining days!
 
ELECTION RESULTS SO FAR
Parliamentary constituencies
MDC-Tsvangirai: 99
Zanu-PF: 97
Breakaway MDC faction: 10
Independent: 1
Undeclared: 3
Presidential results
None so far
Winner needs more than 50% to avoid run-off
Source: ZEC
 
Wananchi wa Zimbabwe wanatufundisha mengi, wameonyesha ujasiri wa hali ya juu kwa kupiga kura kwa amani na utulivu na kuchagua mtu/chama wanachokihitaji kwa wakati huu. Huu ni ukomavu wa democrasia. Afrika tujifunze kutoka kwa wananchi wa Zimbabwe. Kwa upande mwingine, suala la tume za uchaguzi ni nyeti. Ni upuuzi kwa tume ya uchaguzi kubaki kimya siku 5, hakuna matokeo wala sababu za kucheleweshwa. MDC wametoa matokeo yao, bado tume ipo kimya hata kuyakanusha basi kama si ya kweli. Bila tume huru za uchaguzi, amani yetu inakuwa imewekwa rehani.
 
Mkandara tatizo unataka kuspin mambo hapa kwa kujifanya unauma na kupilizia,tunajua msimamo wako kuhusu zimbabwe na unaamini Tvangarai ni kibaraka wa magharibi,sasa dont come here ukijidai unaplay nice huku roho inakuuma Mugabe is done and he will never come back,yaani jitu limekaa kwenye power 28 yrs na lina 86 yrs lakini bado linataka kuwa raisi...napata wasiwasi na hao wanaompigia kura maana inawezekana nao ni mapunguani tuu
 
Sasa hawa viongozi wa SADC wako wapi? Kwa nini hawamwambiii huyu jamaa his time is up? Anatutia aibu au wanasubiri Bush na Tony opssss.......Brown waseme ndio wakurupuke?

Halafu siku ya kuapishwa Morgan utaona wanaanza kujipeleka na kusema tulikuwa tunaku support what hypocrites
they are?


Wazimbabwe wametulia na Mugabe is going, there is no going back!
 
Wananchi wa Zimbabwe wanatufundisha mengi, wameonyesha ujasiri wa hali ya juu kwa kupiga kura kwa amani na utulivu na kuchagua mtu/chama wanachokihitaji kwa wakati huu. Huu ni ukomavu wa democrasia. Afrika tujifunze kutoka kwa wananchi wa Zimbabwe. Kwa upande mwingine, suala la tume za uchaguzi ni nyeti. Ni upuuzi kwa tume ya uchaguzi kubaki kimya siku 5, hakuna matokeo wala sababu za kucheleweshwa. MDC wametoa matokeo yao, bado tume ipo kimya hata kuyakanusha basi kama si ya kweli. Bila tume huru za uchaguzi, amani yetu inakuwa imewekwa rehani.
Lakini hata wangeshinda Zanu-PF bado wananchi wangekuwa wameonyesha ukomavu wa kisiasa. I strongly do not believe kuwa kukomaa kisiasa ni kuchagua wale ambao hawakuwa madarakani bali kuchagua kile kilicho bora kwa manufaa yako na ya kizazi kijacho.

Nawapongeza MDC kwa ushindi huu na kuwaombea wasije pokwa ushindi baada ya mrejeo wa uchaguzi.

Naamini upinzani wa Tanzania wanapata somo hapa; lazima mkubali kuwa ni muhimu sana kushinda nafasi za uwakilishi bungeni ili kujiimarisha. Kwa matokeo ya ODM na MDC naamini mtarudi nyuma na kuhakikisha mnaweka watu competent (wanaouzika mbele ya jamii na si losers) katika chaguzi zijazo na kuhakikisha mnapata ushindi wa kishindo. Safari ni ndefu lakini tambueni wananchi wanahitaji mabadiliko na mnakosea sana pale mnapowapelekea watu ambao tayari walishapoteza imani nao. Lengo lisiwe kuing'oa CCM tu bali kuwahudumia watanzania bila kujali itikadi zao kisiasa na kiimani ili wapunguze machungu ya maisha.

Hali ya Zimbabwe katika maisha ipo kwa asilimia kubwa ya watanzania achia mbali walio mijini. Tunahitaji kina MDC na ODM wa kutosha kuibadili sura ya siasa ya Tanzania.

Heri mimi nimesema
 
Halafu siku ya kuapishwa Morgan utaona wanaanza kujipeleka na kusema tulikuwa tunaku support what hypocrites
they are?
Hiyo ndiyo kawaida ya viongozi wetu mkuu Dua, watajifanya walikuwa wanamuunga mkono tu. Wanafiki tu. Si uliona Kibaki alipommwaga Moi? Hata siku Morgan akimmwaga Bob basi watammwagia sifa kedekede.

Zimbabwe will rejoice soon though that's not total salvation!
 
Mugabe defeated: Britain leads move for £1bn rescue package
BENEDICT BROGAN said:


Emergency aid for Zimbabwe will be tripled to £ 1billion as part of a British-led rescue operation to be launched within days if Robert Mugabe is ousted. British officials are putting the finishing touches to an ambitious package designed to pull the country back from the brink of collapse.

2903mugabe1AFP_468x351.jpg


Under pressure: Robert Mugabe is said to have won just 43 per cent in the presidential poll


Details of the scheme emerged as the 84-year-old dictator defied voters by clinging on to power, despite growing evidence that he lost Saturday's elections. The state-run Zimbabwe Electoral Commission dealt a hammer blow to his hopes of staying on by admitting that his Zanu (PF) party lost control of parliament.
And the mainstream opposition Movement for Democratic Change claimed its leader Morgan Tsvangirai secured a narrow but outright majority in the presidential poll. The long-serving dictator, who was last seen at the weekend, was holed up with his cronies as international pressure mounted on him to concede defeat.

mugabetrvangirai_468x260.jpg


Poll dispute: Robert Mugabe may have been ousted by opposition leader Morgan Tsvangirai

Zimbabwe was gripped by rumour and uncertainty as its hard-pressed people, struggling to cope with inflation at an astronomical 100,000 per cent, waited to discover their fate.
Negotiations brokered by South Africa which had raised hopes of him going quietly collapsed late on Tuesday. The despot made it clear he was determined to cling to the power he has held for 28 years, since independence from Britain. His Deputy Information Minister Bright Matonga said: "President Mugabe is going nowhere.


Zimbabwe1G_468x702.jpg


On a knife edge: A woman takes time out in Harare to catch up with the latest election news

''We are not going to be pressurised into anything.
"The army is very solidly behind our president, the police force as well. "We are not going to be rushed by anybody. "They can make statements left right and centre, but they are merely wasting their time." Mugabe allies have warned darkly that any attempt by the MDC to claim victory would be seen as a "coup d'etat" by the army and the police. Mr Tsvangirai's MDC said he had won 50.3 per cent of the presidential vote, with 43.8 per cent for Mugabe, according to its own tallies of results posted outside polling stations. But with no official result declared, it was clear Mugabe was playing for time.

For the first time, his mouthpiece, the state-owned Herald newspaper, said yesterday projections for the presidential election showed Mugabe would fail to win an outright majority.
That would mean a run-off election between him and Tsvangirai within three weeks of last Saturday's polls. It was thought he was putting all his hopes in being able to rig that election and declare himself the victor.

Zimbabwe1R_468x291.jpg


New hope: Zimbabweans desperate to withdraw cash queue
outside a bank as chaos threatens



But the signs are clear that his iron grip on the country is slipping and that even his control of powerful security forces and militias may be ebbing away. So it would be a high-stakes gamble to go for another election in which he risked humiliating defeat by such a massive margin that even he would have difficulty trying to fix. The prospect of a runoff has raised fears both inside and outside Zimbabwe that the hiatus before a new vote would spark serious violence between security forces and militia loyal to Mugabe on one side and MDC supporters on the other.

In London the Government stopped short of explicitly endorsing the MDC, but backed the widespread belief that Zimbabwe has voted decisively to end a reign marked by economic collapse and human rights abuses. Behind the scenes, officials were completing preparations for an international rescue operation that has been prepared over years in anticipation of his departure. Despite the abuse hurled at the West by Mugabe, Zimbabwe currently receives £350million a year in foreign aid, mainly food, help with clean water, and measures to fight its HIV/Aids epidemic.

Whitehall sources said three major donors, the U.S., the EU and Britain, were now ready to triple the total to more than £1bn.
Britain's current contribution of £40million will be increased to more than £100million. Zimbabwe's economy has been comprehensively wrecked by nearly 30 years of incompetence by the Mugabe regime, which has turned a country that was one of Africa's power-houses into a basket case. But economists say it could be turned around within five years in part thanks to new techniques ready to be deployed by the International Monetary Fund to control inflation and restore the currency.
Urgent talks are under way between major donors to ensure the international community moves swiftly if a legitimate government is elected.

Governments will divide up which sectors such as health, law and order, education and infrastructure they will concentrate on.
Foreign Secretary David Miliband praised Mr Tsvangirai's behaviour as "statesmanlike". He added: "The delay in announcing the outcome must be seen as a deliberate tactic."
Official figures said the combined opposition had taken 105 seats in the 210 seat parliament with one going to an independent, and 94 seats going to Mugabe's ZANU-PF.
No official figures of the presidential poll have been issued, leading to fears that Mugabe may be doctoring them. If he declares that no-one has won there would be a run-off, though few believe he would win that, either.
 
Nafikiri tofauti ipo kichwani maana pamoja na matatizo yote Mugabe ukimpa nafasi ya kuongea anaua, ila huyo wa kwetu uhuuu!

Makoni ni distractor hawezi kushinda. Isitoshe hatujui hasa anasimamia nini maana kaingia juzi kwenye kinyang'anyiro. Wengine wanasema alitumwa ili aharibu vote za MDC, lakini inasemekana baada ya kuanza kampeni akawa anaharibu zaidi za Mugabe. Sasa huyu ni spoiler tu, usitarajie atapata kura za maana. Morgan amepambana sana na kwa kweli amekuwa akishinda. The guy is so resilient and I admire him for that.
Sasa NN, hiyo nani yako ya ndivyo tulivyo, tunatakiwa tuifanyie kazi, tusikubali tu kwamba basi kwa kuwa haya majamaa ya CCM na ZANU-PF yanafanya yanavyofanya basi tubaki hivyo hivyo tu. We can decide to be part of the struggle rather than to just wait for success to fall freely from heaven, which is unlikely to happen!

Mimi kwa mtizamo wangu,naona watu wakichoka wanapiga kura za hasira.Kilichotokea kwenye zim vote ni kwamba wanachi wameamua kumpa Tsivingarai kwa sababu ndiye aliyehimili vitisho vya Bob.Hivyo basi wapiga kura wakaona kuwa kwa hali hiyo ndiye anayefaa.Tafsiri yake Morgan anafaidika na hasira dhidi ya Mugabe.Kumbukumbu zangu zimenikumbusha uchaguzi wa zambia(1991),Malawi(1994) na Cote de Voire(Gen Robert Gue Vs Bagbo).

Ukiona watu wamefikia hapo hawataki wasomi maana wanajua hawawezi kurisk,kwa hiyo wanahitaji Lech Walesa(asiye msomi) kutengeneza mazingira ya wasomi kuingia kwenye ushindani wa kisiasa.
 
Dalili zote zinaonyesha kuwa Mugabe, ameshindwa this one na ni so bad kwamba anatafuta a compromise political situation, yaaani ka mlango ka kutokea, upinzani wanapaswa kuwa makini sana, maana huyu Mugabe, anaweza akawaachia jeshi waingie,

The situation sasa hivi ni aibu tupu, lakini ndio demokrasia ya viongozi wetu wa Afrika, ujanja ujanja tu. Heshima mbele kwa wananchi wa huko Zimbabwe, tuombee Mungu tu na sisi bongo siku moja wananchi waamuke!
TUTAAMKA TU tupeni muda mana hawakutegemea zimbabwe kufikia hapo walipo leo.
 
Allafrica.com published a report citing a Harare correspondent with links to the Mugabe inner circle saying Mugabe has conceded defeat to his close people and confidants.


This is getting tired, it is Thursday already, what will it take a week? Do us a favour Bob and drop out before something nasty happens.
 
RELAXED: Mugabe made first public appearence since voting ended on Saturday

ZIMBABWEAN President Robert Mugabe made his first public appearance on Thursday since weekend polls when he met election observers from the African Union, footage on state television showed.

Mugabe did not make any comment in the brief footage in which he appeared alongside former Sierra Leone president Ahmed Tejan Kabbah.

Kabbah was the head of the African Union mission, which monitored the joint parliamentary, and presidential elections held on Saturday.

While there has still been no word on the outcome of the presidential ballot, the opposition Movement for Democratic Change (MDC) has already won control of parliament.

In an interview with the television, Kabbah said Mugabe appeared "relaxed" during their meeting.

"He looked very relaxed. He is of the view that the problems facing the country will be resolved amicably. He hopes the rest of the results will be forthcoming," he said.

Kabbah also played down criticism from Western governments and from the opposition over the delay in announcing the results.

"We discussed the fact that Zimbabwe is leading the world in terms of elections ... It's the business of the people of Zimbabwe to decide whom they want."

He also revealed that he had earlier met with MDC leader Morgan Tsvangirai who believes he has beaten Mugabe in the presidential election.

"Tsvangirai also had some good words to say about the president," said Kabbah, without giving further details.
--------------------------------------------------------

Je, hii ni clear msg kwamba Mugabe kashindwa na sasa AU wameamua kufanya kazi ya kumshawishi akubali matokeo na kuachia madaraka?
 
Back
Top Bottom