Bob I feel you bro. Lakini tuwekane sawa.
1. Kwanza lazima tukubalia na kuappreciate mazingira MAGUMU wapinzani wanayofanyia kazi katika bara letu la Africa. Incumbents wanatumia resources za serikali kama za Chama wakati wapinzani hawana kitu. Hata nyumbani hapa angalia CCM inavyotumia resorces za walipa kodi kufanya shughuli zake, rais au waziri mkuu akienda mkoani kwa shughuli za "maendeleo" ni kuifanyia campaign CCM wakati bill tunalipa sisi. Kifupi kuanzia kwa mtendaji wa kata mpaka raisi..wote wanakifanyia kazi Chama! Sasa jiulize mtu kama Mbowe au Mrema et al, katika mazingira kama hayo watafanya shughuli zao kivipi? bila kusahau CCM kila mwezi wanajilipa millions and millions. we all have tons of explanations lakini ukweli ni kwamba kujitoa muhanga kwenye opposition politics zetu za kiafrika lazima uwe na kichwa cha mwenda wazimu!
2. Personally namsifu sana Morgani he has shown maturity ya hali ya juu sana. Zimbabwe ilipo hata MUGABE ALIJUA "ATASHINDA" KWA KUTUMIA VYOMBO VYA DOLA, LAKINI AS KENYANS HAVE SHOWN WANANCHI HAWAKUTAKA KUPELEKWA HUKO WALIMNYIMA HIYO NAFASI MUGABE YA KUTUMIA JESHI-ATLEAST NOT YET. MPAKA WAKILAZIMISHWA!
3. Tutakuwa wanafiki tusipokubali umakini na juhudi za Morgan (as any other politician he has his own failings) lakini tumeona hata humu JF jamaa alivyopigwa na kuswekwa ndani mara kadhaa, kifupi he was truly after liberation of Zimbabwe. Mugabe kamnyanyasa sana, lakini jamaa kavumilia na wala hajawahi kuadvocate violence kama wengi tunavyotaka kuamini humu. Na wala hajaenda UHAMISHONI Sasa katika hali kama ya Zim, what kind of politician do you want?
4.Kumuita Morgan kwamba ni kibaraka I guess we miss a Point. Hivi hata ungekuwa wewe kweli kama unataka kuendelea kuwa politically relevant, how can you compete without resources? Mugabe anatumia hela za walipa kodi, kitu ambacho Morgan hana! sasa kweli hata kama anapewa hela na Britain nk, what is wrong? wanasiasa wangapi hata huko ulaya wanakuwa financed na outsiders? Kifupi hata kama ni wewe ungekuwa kwenye upinzani katika siasa zetu za kinazi na kizandiki Africa..ungefanya nini? Harafu hii ya kuitana vibaraka nadhani ni hoja MUFILISI, not that everything which comes from the west is BAD kama wanasiasa wetu wanavyopenda tuamini. No way. Kuna mengine mazuri na mengine mabaya, ni sisi kupima. Tujenge hoja. Morgan had no access to resources, Mugabe anacontrol media yote, everything! na leo unategemea kwamba Morgani apambane na Mugabe? lets stop kidding on serious issues as if tunaishi kwenye sayari ya Mars!
5. Mugabe his time is up, hata wale big wigs ambao leo wamepoteza uchaguzi wanamlaumu Mugabe kwa sababu ndiyo chanzo, na wamepoteza mkate... kifupi ni kwamba people were tired. and he can hardly manuevre kwa sababu his political base is fractured to the core. He must accept graceful exit. Swala la jeshi siyo issue kubwa, unafikiri wao wanaishi mbinguni? wale wakubwa walikuwa wanamsupport Mugabe kwa sababu in Africa lazima uonyeshe loyalty yako, otherwise you will be in trouble!
6. Mwisho, swala la kushare power katika nchi za kiafrika haliepukiki na ni la busara sana. Imagine kama Zanzibar incumbent anashinda kwa less than 1%! hata mjinga anajua kwamba waliiba kura, haya angalia Angola, Chad, nk angalia nchi nyingi za kiafrika pale ambapo incumbents wamekuwa na mawazo na msimamo mkali kama unaoonyesha hapa, wapinzani wameishia msituni ambako madhara yake yamekuwa mabaya zaidi. kWA SABABU UCHAGUZI WETU aFRICA HAUNA TRANSPARENCY WALA ACCOUNTABILITY. KIFUPI HATA WATAWALA HAWAAMINI PROCESS YENYEWE. Kifupi sharing of power promotes healing and enables the nation to move forward.
make no mistake, opposition is not a panacea of our woes especially in africa, but if we have decided to follow certain process lets have a level playing field. Sitegemei Morgan hata akipata madaraka kuwa malaika, but kama wananchi wameamua hivyo kwenye open and transparent process, why should one man for his own and selfish reasons hold hostage the whole nation? Let Zim move forward. Tanzania itafuata.
Lastly, I say, when people are tired of you, you will never impose yourself on them. Mugabe had taken for a ride his people..whetever the outcome of the election-He will have a tale to tale in his remaining days!