Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Mhe Tundu Lissu Mkoani Mwanza

lissu anasema mfumo wa stakabadhi ghalani ni rubbish!!
Hu uchaguzi ufanyike hata leo,tumeshajua wa kumpa kura,huko kulikobaki ni kuharibu pesa tu,watuletee tu hivyo vichwa
 
Yuko sawa asilimia 1000 ,yaani niongozwe na mtu ambaye sijamchagua? Ndio democrasia ya aina gani hiyo.
Kwa ujinga wa mboga mboga diwani wetu kashafanya na sherehe ya ushindi wa mezani, ni aibu kubwa
 
Mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu anasema iwapo atashinda basi serikali yake haitawatambua wale walioingia bungeni kupitia dirishani badala ya mlangoni.

Yaani wale wana wa Ngurumo yaani Mnyeti, Katambi na Kunambi au wana wa Zebedayo yaani January, Nape na Kigwangalla.

Je, huu si udikteta wa kuingilia mamlaka ya Tume Huru ya uchaguzi?

Nawatakia sabato yenye baraka

Maendeleo hayana vyama!
Waliopita kimagumashi hatofanya nao kazi,wewe huoni kuwa si sahihi kufanya biashara na mtu mshirikina?
 
EiyQqA5X0AE6Cba.png
 
View attachment 1580765
Wakuu natanguliza salamu , kama mjuavyo kampeni za uchaguzi mkuu bado zinaendelea , sasa basi leo tena yule mgombea urais anayeongoza kura za maoni atakuwa Mkoa wa Mwanza kunadi sera za chama chake na kuomba kura za ndio.

Endelea kufuatilia hapahapa JF kwa taarifa za uhakika

View attachment 1580142

========

Mkutano Mheshimiwaa Tundu Lissu Kwenye Viwanja vya Polisi - Misungwi, Mwanza.

Akiongea na watu Misungwi Amezungumzia yafuatayo.

1. Kuenguliwa kwa wagombea
2. Kuvunja Tume ya Uchaguzi
3. Mamlaka kwa wananchi
4. Kujitokeza Kupiga Kura kwa wingi.
5. Uchaguzi Wa huru na haki.

Halmashauri nzima haina mgombea yeyote wa Chadema.
]View attachment 1580503View attachment 1580504View attachment 1580505View attachment 1580506View attachment 1580507View attachment 1580508View attachment 1580509View attachment 1580510View attachment 1580511View attachment 1580513View attachment 1580514
View attachment 1580500

Mkutano Mhe. Tundu Lissu Kwenye Viwanja vya Sokoni G'hungumalwa- Kwimba, Mwanza.

Akiongea na watu Hungumalwa Amezungumzia yafuatayo.

1. Kuenguliwa kwa wagombea ( Mgombea Ubunge nawagombea wa Tano wa udiwani.)
2. Kurudisha mamlaka kwa wananchi
3. Mjitokeze Kupiga Kura na Kulinda kura.
4. Kilimo cha Pamba na mazao mengine.
5. Utozwaji ushuru na msururu wa kodi kwa wafanyabiashara.
6. Uchaguzi Wa huru na haki.
7. Nyongeza za mishahara na upandishwaji wa Madaraja kwa watumishi wa umma.

Ahsanteni sana watu wa G'hungumalwa.
View attachment 1580592View attachment 1580591View attachment 1580590
Mkutano Mhe. Tundu Lissu Kwenye Viwanja vya Nyambiti Sumve - Mwanza.

Akiongea na watu Sumve amezungumzia haya.

1. Gharama Za Chapa ya Ng'ombe
2. Msururu wa ushuru wa mazao.
3. Malipo kwa wakulima wa Pamba.
4. Barabara ya Nyambiti
5. Uboreshwaji wa huduma za afya na maji.
6. Uchaguzi Wa huru na haki.

Mgombea ubunge wa Jimbo la Sumve Bwana *Sangarali Shija Masanja.* Nadiwani Ni *Bi. Eunice Tabuse.*

Ahsanteni watu wa Sumve.
View attachment 1580696View attachment 1580695View attachment 1580694View attachment 1580693


Mwanza , Nyamagana
View attachment 1580764
Maelfu ya wananchi wa Mwanza kwenye Mkutano wa Kampeni wa Mhe. Tundu Lissu uliofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Mabatini, Nyamagana.

Ameongea na Wananchi wa Nyamagana...

"Ahsanteni Mwanza ahsante Nyamagana.. Imekuwa wiki yakuvunja record, leo record iko Nyamagana.

Leo Naomba mniruhusu nizungumze mambo mawili tu.

Jambo la kwanza nikuhusu wanajeshi wa Tanzania, ninapozungumza Wanajeshi wanajeshi ni Ma jeshi yaliyotajwa kwenye katiba yetu yaani Jeshi la wananchi, jeshi la polisi, jeshi la Magereza, jeshi la akiba (Mgambo) na hawa Usalama wa Taifa ambao hawajatajwa.
Rai yangu kwenu kwa wanajeshi wa Tanzania, nmeona umati huu umati huu, nmeona wananchi wanataka nini, sasa msije mkataka kutumika kuharibu uchaguzi huu. Msije mkageuza silaha kwa wananchi wanaojua wanataka nini. Ukombozi huu wa Tanzania unawahusu na nyinyi askari wetu, Chadema Ikiingia Madarakani itawalipa na kuwaongeza mishahara.

Lapili watu wa Nyamagana nawaomba tarehe 28 tukapige kura ya mafuriko kama haya ya Leo. Tukipiga kura ya mafuriko hawataweza kuiba, tukapige kura tukawatoe hawa wanaotutia umasikini wakudumu. Tukapige kura ili kira mtu nchi hii atendewe haki, sote tupate haki. Tukapige kura ili tusitishe unyanyasaji uliodumu muda mrefu. Kura za mafuriko kama haya zitaamua hatima ya maisha yetu.

Chombezoo.. Anamwambia OCD "Najua afande namalizia kuongea ila haya pia yanahusu ukombozi wenu.."

Ahsanteni sana Nyamagana na Mungu awabariki Sana Nyamagana.
View attachment 1580791View attachment 1580790View attachment 1580789View attachment 1580788View attachment 1580783
View attachment 1580781View attachment 1580588
Wengine kuelewa kwenu sijui shuleni ilikuaje kisha sema anataka wananchi ndio waamue naniawaongoze wao wenyewe hataki watu wawamlie wananchi huondiounaita udkiteta
 
View attachment 1580765
Wakuu natanguliza salamu , kama mjuavyo kampeni za uchaguzi mkuu bado zinaendelea , sasa basi leo tena yule mgombea urais anayeongoza kura za maoni atakuwa Mkoa wa Mwanza kunadi sera za chama chake na kuomba kura za ndio.

Endelea kufuatilia hapahapa JF kwa taarifa za uhakika

View attachment 1580142

========

Mkutano Mheshimiwaa Tundu Lissu Kwenye Viwanja vya Polisi - Misungwi, Mwanza.

Akiongea na watu Misungwi Amezungumzia yafuatayo.

1. Kuenguliwa kwa wagombea
2. Kuvunja Tume ya Uchaguzi
3. Mamlaka kwa wananchi
4. Kujitokeza Kupiga Kura kwa wingi.
5. Uchaguzi Wa huru na haki.

Halmashauri nzima haina mgombea yeyote wa Chadema.
]View attachment 1580503View attachment 1580504View attachment 1580505View attachment 1580506View attachment 1580507View attachment 1580508View attachment 1580509View attachment 1580510View attachment 1580511View attachment 1580513View attachment 1580514
View attachment 1580500

Mkutano Mhe. Tundu Lissu Kwenye Viwanja vya Sokoni G'hungumalwa- Kwimba, Mwanza.

Akiongea na watu Hungumalwa Amezungumzia yafuatayo.

1. Kuenguliwa kwa wagombea ( Mgombea Ubunge nawagombea wa Tano wa udiwani.)
2. Kurudisha mamlaka kwa wananchi
3. Mjitokeze Kupiga Kura na Kulinda kura.
4. Kilimo cha Pamba na mazao mengine.
5. Utozwaji ushuru na msururu wa kodi kwa wafanyabiashara.
6. Uchaguzi Wa huru na haki.
7. Nyongeza za mishahara na upandishwaji wa Madaraja kwa watumishi wa umma.

Ahsanteni sana watu wa G'hungumalwa.
View attachment 1580592View attachment 1580591View attachment 1580590
Mkutano Mhe. Tundu Lissu Kwenye Viwanja vya Nyambiti Sumve - Mwanza.

Akiongea na watu Sumve amezungumzia haya.

1. Gharama Za Chapa ya Ng'ombe
2. Msururu wa ushuru wa mazao.
3. Malipo kwa wakulima wa Pamba.
4. Barabara ya Nyambiti
5. Uboreshwaji wa huduma za afya na maji.
6. Uchaguzi Wa huru na haki.

Mgombea ubunge wa Jimbo la Sumve Bwana *Sangarali Shija Masanja.* Nadiwani Ni *Bi. Eunice Tabuse.*

Ahsanteni watu wa Sumve.
View attachment 1580696View attachment 1580695View attachment 1580694View attachment 1580693


Mwanza , Nyamagana
View attachment 1580764
Maelfu ya wananchi wa Mwanza kwenye Mkutano wa Kampeni wa Mhe. Tundu Lissu uliofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Mabatini, Nyamagana.

Ameongea na Wananchi wa Nyamagana...

"Ahsanteni Mwanza ahsante Nyamagana.. Imekuwa wiki yakuvunja record, leo record iko Nyamagana.

Leo Naomba mniruhusu nizungumze mambo mawili tu.

Jambo la kwanza nikuhusu wanajeshi wa Tanzania, ninapozungumza Wanajeshi wanajeshi ni Ma jeshi yaliyotajwa kwenye katiba yetu yaani Jeshi la wananchi, jeshi la polisi, jeshi la Magereza, jeshi la akiba (Mgambo) na hawa Usalama wa Taifa ambao hawajatajwa.
Rai yangu kwenu kwa wanajeshi wa Tanzania, nmeona umati huu umati huu, nmeona wananchi wanataka nini, sasa msije mkataka kutumika kuharibu uchaguzi huu. Msije mkageuza silaha kwa wananchi wanaojua wanataka nini. Ukombozi huu wa Tanzania unawahusu na nyinyi askari wetu, Chadema Ikiingia Madarakani itawalipa na kuwaongeza mishahara.

Lapili watu wa Nyamagana nawaomba tarehe 28 tukapige kura ya mafuriko kama haya ya Leo. Tukipiga kura ya mafuriko hawataweza kuiba, tukapige kura tukawatoe hawa wanaotutia umasikini wakudumu. Tukapige kura ili kira mtu nchi hii atendewe haki, sote tupate haki. Tukapige kura ili tusitishe unyanyasaji uliodumu muda mrefu. Kura za mafuriko kama haya zitaamua hatima ya maisha yetu.

Chombezoo.. Anamwambia OCD "Najua afande namalizia kuongea ila haya pia yanahusu ukombozi wenu.."

Ahsanteni sana Nyamagana na Mungu awabariki Sana Nyamagana.
View attachment 1580791View attachment 1580790View attachment 1580789View attachment 1580788View attachment 1580783
View attachment 1580781View attachment 1580588
Takbirr
Allah
View attachment 1580765
Wakuu natanguliza salamu , kama mjuavyo kampeni za uchaguzi mkuu bado zinaendelea , sasa basi leo tena yule mgombea urais anayeongoza kura za maoni atakuwa Mkoa wa Mwanza kunadi sera za chama chake na kuomba kura za ndio.

Endelea kufuatilia hapahapa JF kwa taarifa za uhakika

View attachment 1580142

========

Mkutano Mheshimiwaa Tundu Lissu Kwenye Viwanja vya Polisi - Misungwi, Mwanza.

Akiongea na watu Misungwi Amezungumzia yafuatayo.

1. Kuenguliwa kwa wagombea
2. Kuvunja Tume ya Uchaguzi
3. Mamlaka kwa wananchi
4. Kujitokeza Kupiga Kura kwa wingi.
5. Uchaguzi Wa huru na haki.

Halmashauri nzima haina mgombea yeyote wa Chadema.
]View attachment 1580503View attachment 1580504View attachment 1580505View attachment 1580506View attachment 1580507View attachment 1580508View attachment 1580509View attachment 1580510View attachment 1580511View attachment 1580513View attachment 1580514
View attachment 1580500

Mkutano Mhe. Tundu Lissu Kwenye Viwanja vya Sokoni G'hungumalwa- Kwimba, Mwanza.

Akiongea na watu Hungumalwa Amezungumzia yafuatayo.

1. Kuenguliwa kwa wagombea ( Mgombea Ubunge nawagombea wa Tano wa udiwani.)
2. Kurudisha mamlaka kwa wananchi
3. Mjitokeze Kupiga Kura na Kulinda kura.
4. Kilimo cha Pamba na mazao mengine.
5. Utozwaji ushuru na msururu wa kodi kwa wafanyabiashara.
6. Uchaguzi Wa huru na haki.
7. Nyongeza za mishahara na upandishwaji wa Madaraja kwa watumishi wa umma.

Ahsanteni sana watu wa G'hungumalwa.
View attachment 1580592View attachment 1580591View attachment 1580590
Mkutano Mhe. Tundu Lissu Kwenye Viwanja vya Nyambiti Sumve - Mwanza.

Akiongea na watu Sumve amezungumzia haya.

1. Gharama Za Chapa ya Ng'ombe
2. Msururu wa ushuru wa mazao.
3. Malipo kwa wakulima wa Pamba.
4. Barabara ya Nyambiti
5. Uboreshwaji wa huduma za afya na maji.
6. Uchaguzi Wa huru na haki.

Mgombea ubunge wa Jimbo la Sumve Bwana *Sangarali Shija Masanja.* Nadiwani Ni *Bi. Eunice Tabuse.*

Ahsanteni watu wa Sumve.
View attachment 1580696View attachment 1580695View attachment 1580694View attachment 1580693


Mwanza , Nyamagana
View attachment 1580764
Maelfu ya wananchi wa Mwanza kwenye Mkutano wa Kampeni wa Mhe. Tundu Lissu uliofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Mabatini, Nyamagana.

Ameongea na Wananchi wa Nyamagana...

"Ahsanteni Mwanza ahsante Nyamagana.. Imekuwa wiki yakuvunja record, leo record iko Nyamagana.

Leo Naomba mniruhusu nizungumze mambo mawili tu.

Jambo la kwanza nikuhusu wanajeshi wa Tanzania, ninapozungumza Wanajeshi wanajeshi ni Ma jeshi yaliyotajwa kwenye katiba yetu yaani Jeshi la wananchi, jeshi la polisi, jeshi la Magereza, jeshi la akiba (Mgambo) na hawa Usalama wa Taifa ambao hawajatajwa.
Rai yangu kwenu kwa wanajeshi wa Tanzania, nmeona umati huu umati huu, nmeona wananchi wanataka nini, sasa msije mkataka kutumika kuharibu uchaguzi huu. Msije mkageuza silaha kwa wananchi wanaojua wanataka nini. Ukombozi huu wa Tanzania unawahusu na nyinyi askari wetu, Chadema Ikiingia Madarakani itawalipa na kuwaongeza mishahara.

Lapili watu wa Nyamagana nawaomba tarehe 28 tukapige kura ya mafuriko kama haya ya Leo. Tukipiga kura ya mafuriko hawataweza kuiba, tukapige kura tukawatoe hawa wanaotutia umasikini wakudumu. Tukapige kura ili kira mtu nchi hii atendewe haki, sote tupate haki. Tukapige kura ili tusitishe unyanyasaji uliodumu muda mrefu. Kura za mafuriko kama haya zitaamua hatima ya maisha yetu.

Chombezoo.. Anamwambia OCD "Najua afande namalizia kuongea ila haya pia yanahusu ukombozi wenu.."

Ahsanteni sana Nyamagana na Mungu awabariki Sana Nyamagana.
View attachment 1580791View attachment 1580790View attachment 1580789View attachment 1580788View attachment 1580783
View attachment 1580781View attachment 1580588
Takbirr
Allah Akbar
Inn shaa Alladh Mara hii tunakwenda kupata rais muadilifu ambae hata watesa mashekh wetu na watanzania kwa ujumla
Ewe Mola wa haki tunakuomba umlinde huyu kiongozi wetu muadilifu dhidi ya yule katili Pombe na genge lake
Ewe Mola wa maajabu onyesha maajabu safari hii lissu ashinde dhidi ya yule katili Pombe
Amiin yarabi Amiin
Tumechoka kutawaliwa na dikteta anaeongea nchi ki Familia
We can't breathe
 
Tulikuwa naye Hungumalwa muda si mrefu. Ukilinganisha kampeni za hawa wawili Tundu Lisu ni very humble kwa wananchi.

Upande wa pili naona ubabe na vitisho tu.
Ila nasikia wana hungumalwa mmeniangusha sana this time
 
Ameshaishiwa hoja na kukosa pesa za kuendelea na kampeni anajikaza tu wananchi washachoka kumchangia
Kama hutambui hatawakati wakumuondoa mkoloni mweupe wazee wetu walichangia na alitoka hatahuyu mkoloni mweusi mwenzetu tunamtoa kwamichango yetu
 
Back
Top Bottom