Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Mhe Tundu Lissu Mkoani Mwanza

Kwenye football wenyewe wanasema point 6 yaan unashinda nyumbani na ugenini sasa jamaa anatuchanganya hatujui wapi ugenini wapi nyumbani
 
Mkuu hoja yako ni ipi , Magufuli alipokuwa mwanza shule zilifungwa unataka na sisi tufanye hivyo ?
Sio shule tu, na ofisi za serikali na mashirika zinafungwa na wafanyakazi kutakiwa kuhudhuria na roll call kuchukuliwa, malori yote mkoani yanatakiwa kipiga ripoti katika ofisi za CCM wilaya, na udikteta wa aina zote hizo. Hiyo ni juu ya kufungia vyama vya upinzani kufanya mikutano kwa kipindi cha miaka mitano ya Magufuli. Na baada ya miaka mitanao hawaamini kama wananchi wanamjua - kwa hivyo wametandaza mabango ya mgombea hadi vyooni.
 
View attachment 1580765
Wakuu natanguliza salamu , kama mjuavyo kampeni za uchaguzi mkuu bado zinaendelea , sasa basi leo tena yule mgombea urais anayeongoza kura za maoni atakuwa Mkoa wa Mwanza kunadi sera za chama chake na kuomba kura za ndio.

Endelea kufuatilia hapahapa JF kwa taarifa za uhakika

View attachment 1580142

========

Mkutano Mheshimiwaa Tundu Lissu Kwenye Viwanja vya Polisi - Misungwi, Mwanza.

Akiongea na watu Misungwi Amezungumzia yafuatayo.

1. Kuenguliwa kwa wagombea
2. Kuvunja Tume ya Uchaguzi
3. Mamlaka kwa wananchi
4. Kujitokeza Kupiga Kura kwa wingi.
5. Uchaguzi Wa huru na haki.

Halmashauri nzima haina mgombea yeyote wa Chadema.
]View attachment 1580503View attachment 1580504View attachment 1580505View attachment 1580506View attachment 1580507View attachment 1580508View attachment 1580509View attachment 1580510View attachment 1580511View attachment 1580513View attachment 1580514
View attachment 1580500

Mkutano Mhe. Tundu Lissu Kwenye Viwanja vya Sokoni G'hungumalwa- Kwimba, Mwanza.

Akiongea na watu Hungumalwa Amezungumzia yafuatayo.

1. Kuenguliwa kwa wagombea ( Mgombea Ubunge nawagombea wa Tano wa udiwani.)
2. Kurudisha mamlaka kwa wananchi
3. Mjitokeze Kupiga Kura na Kulinda kura.
4. Kilimo cha Pamba na mazao mengine.
5. Utozwaji ushuru na msururu wa kodi kwa wafanyabiashara.
6. Uchaguzi Wa huru na haki.
7. Nyongeza za mishahara na upandishwaji wa Madaraja kwa watumishi wa umma.

Ahsanteni sana watu wa G'hungumalwa.
View attachment 1580592View attachment 1580591View attachment 1580590
Mkutano Mhe. Tundu Lissu Kwenye Viwanja vya Nyambiti Sumve - Mwanza.

Akiongea na watu Sumve amezungumzia haya.

1. Gharama Za Chapa ya Ng'ombe
2. Msururu wa ushuru wa mazao.
3. Malipo kwa wakulima wa Pamba.
4. Barabara ya Nyambiti
5. Uboreshwaji wa huduma za afya na maji.
6. Uchaguzi Wa huru na haki.

Mgombea ubunge wa Jimbo la Sumve Bwana *Sangarali Shija Masanja.* Nadiwani Ni *Bi. Eunice Tabuse.*

Ahsanteni watu wa Sumve.
View attachment 1580696View attachment 1580695View attachment 1580694View attachment 1580693


Mwanza , Nyamagana
View attachment 1580764
Maelfu ya wananchi wa Mwanza kwenye Mkutano wa Kampeni wa Mhe. Tundu Lissu uliofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Mabatini, Nyamagana.

Ameongea na Wananchi wa Nyamagana...

"Ahsanteni Mwanza ahsante Nyamagana.. Imekuwa wiki yakuvunja record, leo record iko Nyamagana.

Leo Naomba mniruhusu nizungumze mambo mawili tu.

Jambo la kwanza nikuhusu wanajeshi wa Tanzania, ninapozungumza Wanajeshi wanajeshi ni Ma jeshi yaliyotajwa kwenye katiba yetu yaani Jeshi la wananchi, jeshi la polisi, jeshi la Magereza, jeshi la akiba (Mgambo) na hawa Usalama wa Taifa ambao hawajatajwa.
Rai yangu kwenu kwa wanajeshi wa Tanzania, nmeona umati huu umati huu, nmeona wananchi wanataka nini, sasa msije mkataka kutumika kuharibu uchaguzi huu. Msije mkageuza silaha kwa wananchi wanaojua wanataka nini. Ukombozi huu wa Tanzania unawahusu na nyinyi askari wetu, Chadema Ikiingia Madarakani itawalipa na kuwaongeza mishahara.

Lapili watu wa Nyamagana nawaomba tarehe 28 tukapige kura ya mafuriko kama haya ya Leo. Tukipiga kura ya mafuriko hawataweza kuiba, tukapige kura tukawatoe hawa wanaotutia umasikini wakudumu. Tukapige kura ili kira mtu nchi hii atendewe haki, sote tupate haki. Tukapige kura ili tusitishe unyanyasaji uliodumu muda mrefu. Kura za mafuriko kama haya zitaamua hatima ya maisha yetu.

Chombezoo.. Anamwambia OCD "Najua afande namalizia kuongea ila haya pia yanahusu ukombozi wenu.."

Ahsanteni sana Nyamagana na Mungu awabariki Sana Nyamagana.
View attachment 1580791View attachment 1580790View attachment 1580789View attachment 1580788View attachment 1580783
View attachment 1580781View attachment 1580588
Hizi picha za askari wakiwa makini kabisa kutekeleza majukumu yao ikiwemo kuhakikisha Mgombea Lissu ananadi Sera zake kwa amani na usalama, zitakuja kumsuta Lissu na wapambe wake hapo baadae.
 
Alisema 2020 upinzani kwishney kumbe kuwabana wapinzani ndio kuchochea moto uwake zaidi mimi naamini huko aliko haamini macho yake kama ndio yule aliyeonja mauti kafufuka na kumpeleka mbio hivi mzee baba teh teh teh teh
 
View attachment 1580765
Wakuu natanguliza salamu , kama mjuavyo kampeni za uchaguzi mkuu bado zinaendelea , sasa basi leo tena yule mgombea urais anayeongoza kura za maoni atakuwa Mkoa wa Mwanza kunadi sera za chama chake na kuomba kura za ndio.

Endelea kufuatilia hapahapa JF kwa taarifa za uhakika

View attachment 1580142

========

Mkutano Mheshimiwaa Tundu Lissu Kwenye Viwanja vya Polisi - Misungwi, Mwanza.

Akiongea na watu Misungwi Amezungumzia yafuatayo.

1. Kuenguliwa kwa wagombea
2. Kuvunja Tume ya Uchaguzi
3. Mamlaka kwa wananchi
4. Kujitokeza Kupiga Kura kwa wingi.
5. Uchaguzi Wa huru na haki.

Halmashauri nzima haina mgombea yeyote wa Chadema.
]View attachment 1580503View attachment 1580504View attachment 1580505View attachment 1580506View attachment 1580507View attachment 1580508View attachment 1580509View attachment 1580510View attachment 1580511View attachment 1580513View attachment 1580514
View attachment 1580500

Mkutano Mhe. Tundu Lissu Kwenye Viwanja vya Sokoni G'hungumalwa- Kwimba, Mwanza.

Akiongea na watu Hungumalwa Amezungumzia yafuatayo.

1. Kuenguliwa kwa wagombea ( Mgombea Ubunge nawagombea wa Tano wa udiwani.)
2. Kurudisha mamlaka kwa wananchi
3. Mjitokeze Kupiga Kura na Kulinda kura.
4. Kilimo cha Pamba na mazao mengine.
5. Utozwaji ushuru na msururu wa kodi kwa wafanyabiashara.
6. Uchaguzi Wa huru na haki.
7. Nyongeza za mishahara na upandishwaji wa Madaraja kwa watumishi wa umma.

Ahsanteni sana watu wa G'hungumalwa.
View attachment 1580592View attachment 1580591View attachment 1580590
Mkutano Mhe. Tundu Lissu Kwenye Viwanja vya Nyambiti Sumve - Mwanza.

Akiongea na watu Sumve amezungumzia haya.

1. Gharama Za Chapa ya Ng'ombe
2. Msururu wa ushuru wa mazao.
3. Malipo kwa wakulima wa Pamba.
4. Barabara ya Nyambiti
5. Uboreshwaji wa huduma za afya na maji.
6. Uchaguzi Wa huru na haki.

Mgombea ubunge wa Jimbo la Sumve Bwana *Sangarali Shija Masanja.* Nadiwani Ni *Bi. Eunice Tabuse.*

Ahsanteni watu wa Sumve.
View attachment 1580696View attachment 1580695View attachment 1580694View attachment 1580693


Mwanza , Nyamagana
View attachment 1580764
Maelfu ya wananchi wa Mwanza kwenye Mkutano wa Kampeni wa Mhe. Tundu Lissu uliofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Mabatini, Nyamagana.

Ameongea na Wananchi wa Nyamagana...

"Ahsanteni Mwanza ahsante Nyamagana.. Imekuwa wiki yakuvunja record, leo record iko Nyamagana.

Leo Naomba mniruhusu nizungumze mambo mawili tu.

Jambo la kwanza nikuhusu wanajeshi wa Tanzania, ninapozungumza Wanajeshi wanajeshi ni Ma jeshi yaliyotajwa kwenye katiba yetu yaani Jeshi la wananchi, jeshi la polisi, jeshi la Magereza, jeshi la akiba (Mgambo) na hawa Usalama wa Taifa ambao hawajatajwa.
Rai yangu kwenu kwa wanajeshi wa Tanzania, nmeona umati huu umati huu, nmeona wananchi wanataka nini, sasa msije mkataka kutumika kuharibu uchaguzi huu. Msije mkageuza silaha kwa wananchi wanaojua wanataka nini. Ukombozi huu wa Tanzania unawahusu na nyinyi askari wetu, Chadema Ikiingia Madarakani itawalipa na kuwaongeza mishahara.

Lapili watu wa Nyamagana nawaomba tarehe 28 tukapige kura ya mafuriko kama haya ya Leo. Tukipiga kura ya mafuriko hawataweza kuiba, tukapige kura tukawatoe hawa wanaotutia umasikini wakudumu. Tukapige kura ili kira mtu nchi hii atendewe haki, sote tupate haki. Tukapige kura ili tusitishe unyanyasaji uliodumu muda mrefu. Kura za mafuriko kama haya zitaamua hatima ya maisha yetu.

Chombezoo.. Anamwambia OCD "Najua afande namalizia kuongea ila haya pia yanahusu ukombozi wenu.."

Ahsanteni sana Nyamagana na Mungu awabariki Sana Nyamagana.
View attachment 1580791View attachment 1580790View attachment 1580789View attachment 1580788View attachment 1580783
View attachment 1580781View attachment 1580588
Lissu ni mteule.
 
Kuna watu mazuzu hii dunia, eti wanaamini Lisu atashinda mbele maguri.
 
Picha mjitahidi kuwaambia kitengo cha uchakuchuaji picha cha Chadema wawahishe kidogo walau saa kumi na moja hivi jioni

Tumechoka kila siku wao wanasubiri kuanzia saa moja usiku Giza limeingia na hatuoni vizuri shauri ya giza wao ndio wanarusha za Lowasa za 2015 na kuziita za leo maeneo mbalimbali aliyopita Lisu
Yaani umekaririshwa picha hadi kila kitu ni picha. Lini angalau utatumia hizo kamasi zako? Endeleeni kufurahisha genge tu.
 
Do hatari Sana hii ,mh lissu, shikamoo,chadema shikamoo ,mbowe shikamoo ,erythrocyte shikamoo mkuu ila kuanzia Leo mkuu nakupa jina linginene la POWERCEFUL iyo ni kiboko kuliko ant biotic nyingi ikiwepo inayoendana na jina lako la namanisha erythromycin hata gentamycin haioni ndani mkuu
Nimecheka hadi gari imezima ! , nimeachia krachi ghafla sana 😆😆😆
 
acheni afanye tour maana baada ya tarehe 28 itabidi aikimbie tena nchi arudi uberigiji maana kwa martusi hayo anayotukana sijui kama atakaa jpm akiapishwa
Kimsingi hajatukana tusi lolote tuwe wakweli kutokea ndani ya nafsi zetu
 
Mungu azidi kutufungua ufahamu watanzania ili 28 october tukaandike historia
 
Mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu anasema iwapo atashinda basi serikali yake haitawatambua wale walioingia bungeni kupitia dirishani badala ya mlangoni.

Yaani wale wana wa Ngurumo yaani Mnyeti, Katambi na Kunambi au wana wa Zebedayo yaani January, Nape na Kigwangalla.

Je, huu si udikteta wa kuingilia mamlaka ya Tume Huru ya uchaguzi?

Nawatakia sabato yenye baraka

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom