Hivi hili kongamano la viongozi wa Dini au ni kongamano la WAGOGO & WASUKUMA?
Mbona naona Mada hazieleweki na hata audience yenyewe ya hovyo muda wote kucheka na kupiga makofi tu?
Sawa wala sio jambo baya kama walikuwa na lengo zuri, ila huyu mnayempigia makofi alishaombewa Dsm, Zanzibar, Dodoma, Mwanza na Chatto ingawa mlificha sana tusione makazi ya Rais wa Wanyonge pale Chatto na hata kipindi anaingizwa Kaburini mlificha ficha!
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mbona naona Mada hazieleweki na hata audience yenyewe ya hovyo muda wote kucheka na kupiga makofi tu?
Sawa wala sio jambo baya kama walikuwa na lengo zuri, ila huyu mnayempigia makofi alishaombewa Dsm, Zanzibar, Dodoma, Mwanza na Chatto ingawa mlificha sana tusione makazi ya Rais wa Wanyonge pale Chatto na hata kipindi anaingizwa Kaburini mlificha ficha!
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app