Kumkosoa kiongozi sio unafiki, ila kama kuna mtu alikuwa anaunga mkono hoja A halafu akaikana Hoja A huyo mnafiki lakini kuna wengi hawakukubaliana na uongozi uliopitaKasema kweli tuache unafiki
Kumkosoa kiongozi sio unafiki, ila kama kuna mtu alikuwa anaunga mkono hoja A halafu akaikana Hoja A huyo mnafiki lakini kuna wengi hawakukubaliana na uongozi uliopitaKasema kweli tuache unafiki
Jiwe alitengeneza mazezeta yakutosha sanaDuu!! Yaani kongamano kabisa kwaajili ya Hayati! Hayo ni Matumizi mabaya ya rasilimali za nchi
Damage control..baada ya ukweli kuanza kuonekana...
Kwanza waongea ukweli kama former CAG walikaripiwa.
Na sasa yameanza matamasha ya kumpamba
WapoAtakayeona Askofu wa Katoliki kwenye huu ujinga anijuze nichukue hatua sitahiki
Umeona eee!?? Legacy haitetewi, bali huwa inajitetea yenyewe.legacy huwa inautaratibu wakujinda yenyewe, legacy hailindwi....
Rais wa TEC amesoma dua kadhalika askofu Kinyaiya ameombea amani!Sijajua kwanini viongozi wa kanisa katoliki hawajazungumza
Utapata kiharusi ww....Maisha ya Magufuli ndio wanaandaa kongamano? Bora wangeitisha kongamano la kuombea wagonjwa.
Nitafurahi sana akiwatupa kama tissue paper iliyotumika. Sukuma genge tupa kule.Mama anataka kumalizana na mambo ya hayati kabla ya mei na wafuasi wake..ila kuanzia mei mtakuja nipa mrejesho
Wameishia kusoma sala tu na kuondoka hamna aliyezungumza au kupatiwa mada ya kuzungumzaRais wa TEC amesoma dua kadhalika askofu Kinyaiya ameombea amani!
Machadema siyo watanzania?Kwanini machadema yanachukia sana yakiona Hayati Magufuli anakumbukwa na watz?
Hakumbukwi na watanzania anakumbukwa na wafuasi wake mimi ni mtanzania ila sitaki hata kusikia habari zake na sipendi unafiki sasa usitusemeeKwanini machadema yanachukia sana yakiona Hayati Magufuli anakumbukwa na watz?
Mada ni ya askofu Konki tu!Wameishia kusoma sala tu na kuondoka hamna aliyezungumza au kupatiwa mada ya kuzungumza
Usipomkumbuka wewe inasaidia nini?Hakumbukwi na watanzania anakumbukwa na wafuasi wake mimi ni mtanzania ila sitaki hata kusikia habari zake na sipendi unafiki sasa usitusemee
Mbona Mkapa hatumuenzi?Hakumbukwi na watanzania anakumbukwa na wafuasi wake mimi ni mtanzania ila sitaki hata kusikia habari zake na sipendi unafiki sasa usitusemee