"Yanga ya baridiiiii"
sisi Kama serikali tumeona ni bora Professor Tibaijuka atupishe kidogo
“Chochote ambacho akili ya binadamu inaweza kuumba na kufikiri, inaweza kukikamilisha pia.”
Napoleon Hill
“Njia ya kuanza ni kuacha kuzungumza na kuanza kutenda.”
Walt Disney
“Usiruhusu jana itawale sana leo.”
Will Rogers
“Kama unafanyia kazi kitu kinachokusisimua na unachokijali kweli, hauhitaji kusukumwa. Maono yako yatakusukuma.”
Steve Jobs
“Kufahamu haitoshi, ni lazima tuweke kwenye matendo, Kutamani haitoshi, ni lazima tufanye.”
Johann Wolfgang
“Tunatengeneza hofu tunapokaa bila kufanya kitu. Tunaishinda hofu kwa matendo.”
Dr. Henry Link
“Ikiwa unafikiri unaweza au huwezi, uko sahihi.”
Henry Ford
“Mtu mwenye kujiamini ndani yake, anapata kujiamini kwa wengine.”
Hasidic Proverb
“Fanya kile unachoweza kwa vyote ulivyonavyo, popote ulipo.”
Theodore Roosevelt
“Akili ni kila kitu. Unavyofikiri ndivyo unavyokuwa.”
Buddha
“Muda mzuri wa kupanda mti ni miaka 20 iliyopita. Lakini muda mwingine mzuri wa pili ni sasa.”
Chinese Proverb
“Muda wako ni mdogo, usiupoteze kuishi maisha ya mtu mwingine.”
Steven Jobs
“Kushinda siyo kila kitu, lakini kutaka kushinda ni kila kitu.”
Vince Lombardi
“Huwezi kuvuka bahari kama huna ujasiri wa kuacha kuona ufukwe.”
Christopher Columbus
“Kisasi kizuri ni mafanikio makubwa.”
Frank Sinatra
“Kuna njia moja tu ya kuepuka kukosolewa: usifanye kitu, usiseme kitu na usiwe chochote.”
Aristotle
“Anzia ulipo. Tumia kile ulichonacho. Fanya kile unachokiweza.”
Arthur Ashe
“Anguka mara saba simama mara ya nane.”
Japanese Proverb
“Mlango mmoja wa furaha ukifungwa, mwingine unafunguliwa, lakini mara nyingi tunautazama sana ule uliofungwa na kushindwa kuona ule uliofunguliwa kwa ajili yetu.”
Helen Keller
“Kila kitu kina uzuri wake, lakini siyo kila mtu anaweza kuuona.”
Confucius
“Changamoto zinafanya maisha yavutie na kuzishinda ni kufanya maisha kuwa na maana.”
Joshua J. Marine
“Kama unataka kujiinua mwenyewe juu, mwinue mwingine juu kwanza.”
Booker T. Washington
“Ili kufanikiwa, shauku yako ya mafanikio ni lazima iwe kubwa kuliko hofu yako ya kushindwa.”
Bill Cosby
“Kila siku ninajitahidi kufanya vizuri zaidi kuliko nilivyo fanya jana.”
Reginald Mengi
“Mtu ambaye hajawahi kufanya kosa hajawahi kujaribu kitu chochote.”
Albert Einstein
“Mtu anayesema hawezi kufanya hatakiwi kumwingilia mtu anayesema ninaweza kufanya.”
Chinese Proverb
“Haujachelewa kuwa ambaye ungeweza kuwa.”
George Eliot
“Unakuwa kile unachoamini.”
Oprah Winfrey
“Jenga ndoto zako wewe mwenyewe, la sivyo mtu mwingine atakuajiri kujenga zake.”
Farrah Gray
“Ota ndoto kubwa na dhubutu kushindwa”
Norman Vaughan
“Badili kufikiri kwako na utakuwa umebadili ulimwengu.”
Norman Vincent Peale
“Andika kitu chenye manufaa kusomwa au fanya kitu chenye manufaa kuandikwa.”
Benjamin Franklin
“Njia pekee ya kufanya kazi nzuri ni kupenda kile unachokifanya.”
Steve Jobs
“Ikiwa unaweza kuliota, unaweza kulifanikisha.”
Zig Ziglar
“Ndoto zetu zote zinaweza kutokea ikiwa tuna ujasiri wa kuzifuata.”
Wale Disney
“Usilie juu ya kile ambacho huna; tumia vizuri kile ulichonacho.”
Reginald Mengi
“Mambo mazuri huja kwa watu wanaosubiri, lakini mambo bora huja kwa wale wanaoondoka na kwenda kuayachukua.”
Hajulikani
“Fursa hazitatokea, unatakiwa kuziunda.”
Chris Grosser
“Usijaribu kuwa mtu wa mafanikio, bali jaribu kuwa mtu wa thamani.”
Albert Einstein
“Akili kubwa hujadili mawazo, akili ya wastani hujadili matukio, akili ndogo huzungumzia watu.”
Eleanor Roosevelt
“Ikiwa hauthamini muda wako, hata wengine hawatauthamini. Acha kupoteza muda na vipaji vyako sasa – anza kuvifanyia kazi”
Kim Garst
“Mtu mwenye mafanikio ni yule anayeweza kujenga msingi imara kwa kutumia matofali yaliyotupwa na wengine.”
David Brinkley
“Usiinue sauti yako, boresha hoja yako.”
Hajulikani
“Ninaamini kwamba ujasiri pekee mtu yeyote anaouhitaji ni ujasiri wa kufuata ndoto zako mwenyewe.”
Orarah Winfrey
“Fursa zina aibu, zinakusubiri uzikimbilie.”
Reginald Mengi
“Ubunifu unatofautisha kati ya kiongozi na mfuasi.”
Steve Jobs
“Hofu ni mojawapo ya adui mkubwa kwa mafanikio.”
Reginald Mengi
“Wengi wetu hatuishi ndoto zetu kwa sababu tunaishi hofu zetu.”
Less Brown
“Hatua ya mwanzo ya mafanikio yoyote ni matamanio.”
Napoleon Hill
“Baadaye inamilikiwa na wale wote wanaoamini kwenye uzuri wa ndoto zao.”
Eleanor Roosevelt
“Ni bora kushindwa kwenye kitu halisi kuliko kufanikiwa kwenye kitu cha kuiga.”
Herman Melville
“Njia ya kufanikiwa na barabara ya kushindwa ni sawa kabisa.”
Colin R. Davis
“Mafanikio huja kwa wale ambao wanafanya bidii kubwa kuyatafuta.”
Henry David Thoreau
“Usijaribu kuwa mtu wa mafanikio. Bali jaribu kuwa mtu wa thamani.”
Albert Einstein
“Acha kukimbilia pesa bali anza kukimbilia shauku yako.”
Tony Hsieh
“Mafanikio ni kupita kutoka aina moja ya kushindwa hadi nyingine bila kukata tamaa.”
Winston Churchill
“Fanya kitu kimoja kila siku kinachokutisha.”
Hajulikani
“Ukitazama kwa karibu, mafanikio ya usiku mmoja huchukua muda mrefu.”
Steve Jobs
“Hakuna siri ya mafanikio, ni matokeo ya maandalizi, kufanya kazi kwa bidii, na kujifunza kutokana na kushindwa.”
Colin Powell
“Inaonekana mafanikio yameungwa na matendo. Watu waliofanikiwa wanaendelea mbele. Wanafanya makosa lakini hawaachi.”
Conrad Hilton
“Kama unataka kufanya kitu, utatafuta njia. Kama hutafanya hivyo, utatafuta kisingizio.”
Jim Rohn
“Siwezi kukupa kanuni ya mafanikio, lakini ninaweza kukupa kanuni ya kushindwa – nayo ni: Jaribu kumridhisha kila mtu.”
Herbert Bayard Swope
“Mafanikio siyo ufunguo wa furaha. Furaha ni ufunguo wa mafanikio. Kama unapenda unachokifanya, utafanikiwa.”
Albert Schweitzer
“Mafanikio siyo vitu ulivyokamilisha kwenye maisha yako, bali ni nini ulichowahamasisha wengine kufanya.”
Hajulikani
“Baadhi ya watu wengine wanaota mafanikio wakati wengine wanaamka na kufanya kazi.”
Hajulikani
“Mtu mwenye mafanikio ni yule anayeweza kujenga msingi imara kwa kutumia matofali yaliyotupwa na wengine.”
David Brinkley
“Ili kufanikiwa ni lazima tuamini kuwa tunaweza.”
Nikos Kazantzakis
“Kushindwa kwingi kwenye maisha ni watu wanaoshindwa kufahamu jinsi walivyo karibu na mafanikio wanapokata tamaa.”
Thomas Edison
“Mafanikio ni kupata unachotaka, furaha ni kutaka unachopata.”
Dale Carnegie
“Eneo baya la mafanikio ni kujaribu kutafuta mtu ambaye ana furaha kwa ajili yako.”
Bette Midler
“Usipoteze muda kupiga ukuta, ukitumaini kuubadili kuwa mlango.”
Coco Chanel
“Nimefanikiwa leo kwa sababu nilikuwa na rafiki aliyeniamini na sina moyo wa kumwangusha.”
Abraham Lincoln
“Yote unayohitaji kwenye maisha yako ni ujinga na ujasiri; kisha mafanikio ni hakika.”
Mark Twain
“Ili kufanikiwa, shauku yako ya mafanikio ni lazima iwe kubwa kuliko hofu yako ya kushindwa.”
Bill Cosby
“Changamoto kubwa baada ya kufanikiwa ni kunyamaza kuhusu mafanikio hayo.”
Criss Jami
“Mafanikio hayahusishi kutokufanya kosa bali kutokurudia kosa hilo mara ya pili.”
George Bernard Shaw
“Mafanikio ni pale ambapo maandalizi na fikra vinakutana.”
Bobby Unser
“Kila mara kujiamini na bidii kutakupa mafanikio.”
Virat Kohli
“Mafanikio siyo mwalimu mzuri, kushindwa hukufanya kuwa mnyenyekevu.”
Shah Rukh Khan
“Kabla ya kitu kingine chochote, maandalizi ni ufunguo wa kufanikiwa.”
Alexander Graham Bell
Kama hukusoma Kiinglish kosa sio la mwanzisha mada.Ambao hatukusoma kiingilishi tapataje tabuí ½í¸í ½í¸í ½í¸
“It would be nice to spend billions on schools and roads, but right now that money is desperately needed for political ads.”