Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,812
218,471
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa TANESCO wa miezi 6 kwa Kassim Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .

Bado haijajulikana Mamlaka hasa ya Katibu huyo, wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .

Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei, ngoja tusubiri

 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa ccm , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa Tanesco wa miezi 6 kwa Kasimu Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .

Bado haijajulikana mamlaka hasa ya katibu huyo , wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .

Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei , ngoja tusubiri

View attachment 2800413
🤣🤣🤣🤣
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa ccm , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa Tanesco wa miezi 6 kwa Kasimu Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .

Bado haijajulikana mamlaka hasa ya katibu huyo , wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .

Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei , ngoja tusubiri

View attachment 2800413
Jua linachomoza
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa ccm , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa Tanesco wa miezi 6 kwa Kasimu Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .

Bado haijajulikana mamlaka hasa ya katibu huyo , wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .

Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei , ngoja tusubiri

View attachment 2800413
Yaani nimecheka kufa na wa ardhi naye kapewa miwili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa ccm , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa Tanesco wa miezi 6 kwa Kasimu Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .

Bado haijajulikana mamlaka hasa ya katibu huyo , wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .

Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei , ngoja tusubiri

View attachment 2800413
Ngoja Awavuruge vuruge safi kabisa and upinzani should take advantage of this maanan hawapendi kufanywa kama anavyowadhihaki
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa ccm , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa Tanesco wa miezi 6 kwa Kasimu Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .

Bado haijajulikana mamlaka hasa ya katibu huyo , wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .

Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei , ngoja tusubiri

View attachment 2800413
Anachochea moto wenye kuni mbichi tunatumia, Social inference
 
Back
Top Bottom