Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,977
- 25,303
Ha ha ha ha
Hata mm nafanya nao kazi na ninaishi nao, nimesema kutokana na experience. Muhimu ni kuja deal issue ya Makamba na sio nani anaishi wapi. Wabongo tukianza kujielewa na kuacha show off tukashikamana kupinga mafisadi na kujenga nchi tutafika mbali.
Bravoo Mange
.....kinange huyo achana naye Mkuu