Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Ha ha ha ha
Hata mm nafanya nao kazi na ninaishi nao, nimesema kutokana na experience. Muhimu ni kuja deal issue ya Makamba na sio nani anaishi wapi. Wabongo tukianza kujielewa na kuacha show off tukashikamana kupinga mafisadi na kujenga nchi tutafika mbali.

Bravoo Mange

.....kinange huyo achana naye Mkuu
 
Kikwete na Rais wa China walisaini mkataba 2008 deal la $10bil za mkopo kwa sharti la contractor atoke China na Oman, Ni mtu mjinga kiasi gani anaweza ingia mkenge kwenye hili.. Kuna kitu hakipo sawa hapa siwatetei wala simkubali January ila kuna kitu hakipo sawa kabla hata ya kuongelea ishu yenyewe.

Kwenye voice note jamaa anasema alitoa couple hundred thousand ili Mwamvita akamfanyie bid kwa mawaziri. Mwamvita anapewa pesa kama nani? Kama huyu sio mfanyabiashara wa hovyo ever I don't know who is
Mradi wa EPZ bandari ya Bagamoyo, Serikali ya Oman ni investor 20% sio mkandarasi msijisemee tu.
 
Dada mtu naona kaanza kujisafisha taratibu huko Instagram
haaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! hata hajisaafisheje kwa hili lazima wajitumbue mapema!, mimi nilijua tuuuuuuu jinsi mzee baba yao! nilivyomuona anaongoza ccm sikudhani km angeweza hacha mbegu nzuri ya kuongoza taifa ili maana ni wakati wa msure madili feki mengi yamechezwa nchiii kupiotia viongozi wa maccm, ndioi maana mimi spendi siasa bhana! mawe nganyira maana okazaramakamba chonka kambigambe!
 
Aweke more evidences na amtaje huyo aliyemwambia kuhusu uchafu wa makamba. Sio kuchafuana bali haki itendeke.
Hata wote waliosimamishwa kazi siyo kwamba haki ilitendeka mkuu bali wengine wamesombwa tu na maji
 
Mradi wa EPZ bandari ya Bagamoyo, Serikali ya Oman ni investor 20% sio mkandarasi msijisemee tu.
Naona umekurupuka. Ni wapi nimesema Ni wa China 100% zaidi nimetaja nchi zote mbili sasa sijui unapinga nini au unataka uonekane na wewe upo. Acha viroba
 
mi sishangai Makamba na sikufurahia utruzi wake maana alipiga dili sana kwenye makampuni ya simu
 
Uongo mwengine hauna hata mshiko.
Hata kama kuna voice note..watu wanateng.eneza kuchafuana
Bandari ya Bagamoyo inahusu nini Italy.
Mradi ule upo wazi ni katia ya Serikali ya TZ China na Oman funds...na contractor ni wachina wenyewe wanao fadhili....
Uongo mwengine bwana...na watu kwa chuki wanakubali kula ndoana ya uongo.
Basi hata hamutafuti historia ya kujengwa bandari ya bagamoyo?
Sasa huyo mtaliano anahusu nini ? Hata akilini haingIii.
Huyu mwanamke mange ni muongo sana na hupendda kutukana watu na kuchafua watu bure....anafanya hayo akiwa nje ya nchi....
Ni mjuba kweli kweli akianza kutukana basi utafikiri hana vocublary nyengine isipokua matusi.....namna alivo mtukana Hoyce Temu na kumdhalilisha hafai kabisa kushabikiwa...
Ulofa tuache ndio maana tunaendelea kuwa maskini. Just because main contractor is China doesnt mean all tenders are handled by the Chinese. Simenti Chuma kokoto mchanga usafirishaji nk hizi zote ni tender za mabilioni unless wachina wataleta kokoto kutoka China. Na kama ni kweli huyu Mwitaliano alitoa hongo kwa kina Makamba kupata contract thats corruption.
 
Back
Top Bottom