Watoto wa mwisho tukutane hapa

Watoto wa mwisho tukutane hapa

Am the last born in my family lkn sijui kudekezwa wala hayo maisha ya raha aisee
 
Du kuna uzuri wake na ubaya kwa upande wa uzuri nilikuwa bigboss baba akiwa mgumu kutoa hela basi natumwa mimi kwa baba zinatoka . ubaya sasa wote tumezaliwa madume ila wakati wa kupika mie nilikuwa nanyimwa kaka zangu ndio wanapika matokeo yake najua vyakula vichache tena bibi ndie alinifundisha
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hakuna rangi utaacha kuona
Utajuta wengi wao hawakui na mama'z boy, kidogo utasikia mama kasema hivi, mama kasema tusifanye hivi! Mama hapendi nifanye hivi! Kwenye maamuzi mpk mama atoe neno. Mke mtu haaminiki asilimia mia mpk mama atie neno.
 
Kuwa last born kuna raha yake ila huwa natamani ningekuwa na mdogo wangu. Yaani angekuwa mwanangu kwakweli.
Nimejikuta hadi wakubwa zangu nawaita "dogo" lol.
Mi ulast born wangu hauna tofauti na first born maana niliyoyapitia wakati mwingine hata firstborn hawezi
 
Lakini bado nimekua kwa kupambana na maisha zaidi ya first born.

Na mke nikaoa first born which came automatically.

Ila kudeka sijui, na mtoto ukideka kwangu utatembezewa fimbo akili ikukae sawa!
Gonga hapa
Mke firstborn wanadeka sana nimemfundisha kutodeka mpaka amekaa kwenye laini sipendi nyanyanyanya
 
Du kuna uzuri wake na ubaya kwa upande wa uzuri nilikuwa bigboss baba akiwa mgumu kutoa hela basi natumwa mimi kwa baba zinatoka . ubaya sasa wote tumezaliwa madume ila wakati wa kupika mie nilikuwa nanyimwa kaka zangu ndio wanapika matokeo yake najua vyakula vichache tena bibi ndie alinifundisha
Hii tumemtumia sana kipenzi cha dingi last born wake.mkitaka kula wali basi tulikiwa tunatuma last born mzee hachomoi
 
Mimi pia nisingechomoka aisee, miaka 7 gap na bro ninaemfata.
Ila sema wazazi huwa hawasemi tu. Gap kubwa wakati mwingine inatokana na uzazi kusumbua (hasa kwa mama). Unaweza kuta mimba nyingi hazikuwa ridhiki halafu bahati inatokea yako inatulia hadi unazaliwa. Ni issue ya kushukuru Mungu tu!
 
Back
Top Bottom