Watoto wa mwisho tukutane hapa

Watoto wa mwisho tukutane hapa

Mimi ni wa mwisho niliyetokea kwa bahati. Mpaka kesho kaka yangu ninaemfuata ana mind nimemnyang’anya title yake.

Kuna gap ya five years kati yetu. Maana yake wote walipokuwa boarding nilikuwa home alone kama the only child.

Dada mkubwa ndiye alinifundisha taugh life kama kufua , kupiga deki, kupika. Bila yeye ningekua spoilt rotten.

Karibuni ma last born wenzangu.
Me nlipishana na Kaka yangu mwaka mmoja tu. I'm Proud to be last born.
 
Malast born lakini tunajua mzee hakosi mdogo wetu huko njee uzi huu hautuhusu hahaha
 
Mimi ni wa mwisho niliyetokea kwa bahati. Mpaka kesho kaka yangu ninaemfuata ana mind nimemnyang’anya title yake.

Kuna gap ya five years kati yetu. Maana yake wote walipokuwa boarding nilikuwa home alone kama the only child.

Dada mkubwa ndiye alinifundisha taugh life kama kufua , kupiga deki, kupika. Bila yeye ningekua spoilt rotten.

Karibuni ma last born wenzangu.
Kwa Familia nyngi sana Ma last born wengi wapendwa na kudekezwa sana. Lakn kwangu mimi nnaona ni vice versa maana nlikua nnakula mkongoto kwa wanafamilia nzima. Baba akija kosa kidogo lakn bakoro nyng, Mama yy kidogo kaz za kutosha sana. Maana watoto wa kwanza hadi wa tatu ni wakike yaan walikua wanatuma sana na makoz ya kutosha. Lakn kaka yng hakua na mikwara sana maana alikua tunepishana mwaka 1.
 
Aisee...gape kubwa sana..[emoji23][emoji23] kumaindi lazima..hawa wa mwisho wanatupotezea attention ya wazazi basi tu hatuna jinsi

Asikwambie mtu nimekaa peke yangu mpaka kero

Nikiwa chuo mwaka wa mwisho yee ndo kwanza anamaliza la saba
 
Asikwambie mtu nimekaa peke yangu mpaka kero

Nikiwa chuo mwaka wa mwisho yee ndo kwanza anamaliza la saba
Dads mkubwa mpaka leo nikienda kumsalimia ananifungashia always za kutosha. Ninamwambia hivi unajua ninarudi kwangu siendi boarding school!
 
Kaka yangu yupo humu, anaijua id yangu ila mimi siijui yake. Yaani shamuwinda niijue ila sijafanikiwa bado.
Ss kwa bahat mbaya nae haijui yako kisha akukutongoza itakuwaje hiyo cku
 
Back
Top Bottom