donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,139
Tuko pamoja
Mimi na brother ninayemfuata gap ni 10 yrs ila wote tulimpenda sana mama yetu (R.I.P mama). Yeye aliamini yeye ndiye kitinda mimba mara paaaap, mimi huyu hapa.Mimi ni wa mwisho niliyetokea kwa bahati. Mpaka kesho kaka yangu ninaemfuata ana mind nimemnyang’anya title yake.
Kuna gap ya five years kati yetu. Maana yake wote walipokuwa boarding nilikuwa home alone kama the only child.
Dada mkubwa ndiye alinifundisha taugh life kama kufua , kupiga deki, kupika. Bila yeye ningekua spoilt rotten.
Karibuni ma last born wenzangu.
Kaeni muote moto sisi tulonge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sisi wa kwanza tufanyaje sasa ?
Mimi pia ilikuwa hivyo lakini ni five years. Wazazi wote bado wapo tunsmshukuru Mungu.Mimi na brother ninayemfuata gap ni 10 yrs ila wote tulimpenda sana mama yetu (R.I.P mama). Yeye aliamini yeye ndiye kitinda mimba mara paaaap, mimi huyu hapa.
nipo hapa last born,vipi unataka mchumba nini?Mimi ni wa mwisho niliyetokea kwa bahati. Mpaka kesho kaka yangu ninaemfuata ana mind nimemnyang’anya title yake.
Kuna gap ya five years kati yetu. Maana yake wote walipokuwa boarding nilikuwa home alone kama the only child.
Dada mkubwa ndiye alinifundisha taugh life kama kufua , kupiga deki, kupika. Bila yeye ningekua spoilt rotten.
Karibuni ma last born wenzangu.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Mimi pia ilikuwa hivyo lakini ni five years. Wazazi wote bado wapo tunsmshukuru Mungu.
na ukute umeolewa halafuHuwa naona raha pale familia nzima wanavyonitreat kama mtoooto kumbe mama zima!! [emoji3][emoji3][emoji3]
good,kumbe uko ndoani...haya bhana..ndoa na iheshimiwe na kila mtu....Mume wangu ni first born what a coincidence. Hadekezi hata kidogo but he is nice
Hio nlishakoma Kwa kweli, wanavyodeka na mimi nlivyo hatuendani kabisaTafuta mke last born.
Naona ndio zetu ma first born.Mume wangu ni first born what a coincidence. Hadekezi hata kidogo but he is nice
Bilaa lake si kidogo mkikutana sijui mtaishia kuchekana au sijui itakuwaje.Halafu inatokea sasa ushamzukia PM kuomba yale mambo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]