Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,565
Niko poa.. basi hua sikuoni.Nipo banah,
Vipi wewe unaendeleaje?
Niko poa.. basi hua sikuoni.Nipo banah,
Vipi wewe unaendeleaje?
Tatzo nyie n wengi kulko cc hlf mna expire date...heheheeeKweli nyani haoni kundule!! Ninyi mbona huwa ndiyo vinara wa kutaka wanawake wakamilifu utasikia oohh sisi ndiyo tunaoa hivyo sisi ndiyo tunachagua haya tangu mmeanza kuoa na kuchagua kuna mwanaume dunia hii amewahi kupata mwanamke mkamilifu??
Huu mchezo jamani hauhitaji hasira,, tuendelee kuchezeana tu..
Rangi na muonekano wa Mwili
Khaah wee kiboko, ulijuaje kama wachaga ni wengi?
Nipoo, morning bigmind!, mgahawa gani tena?Bado upo tu, vipi mgahawa unaendeleaje?
Mkuu wengine humu tumeoa wachaga
Thank you troublesNime "like"![]()

Ahahahahahaha pole mkuu, huyu mwanamke uliyemuongelea labda ndio huyu niliye naye, kwan anaitwa naniMaisha yangu yote nimewahi pata mpenzi m 1 tu ninaesema kweli YULE alikua mwanamke
Ni mwanamke tuliekua tukishindana kila mtu kumjali mwenzake
Leo nitamnunulia Kiatu,kesho atanletea vest kesho kutwa nitampa hela ya saloon
Sijakaa vizuri nimeletewa suprise ya Jeans,,ataniomba hela akaninunulie WALLET maana kaona niliyonayo imechakaa
Kesho yake nitaenda town ntamtungulia POCHI la maana
Nitamtoa out this week end,next week end ataniambia twende mahali nimealikwa na marafiki zangu
Tukifika kwakua nakua kama mgeni ataagiza everything mwisho atalipa BILL kisha ataniambia leo niliku suprise
Nilitaka nikutoe out mimi
Aseee yule mwanamke utamfanyia hiki atakulipa kwa kile With lots of love
Ila huwezi amini SISI WANAUME (hasa mimi) macho juu juu Nilimpoteza yule manzi
SASA HIVI NAKUTANA na vinguchiro Vinanikomesha hivyo Hela zinantoka na bado zinaendelea na sioni hata ahueni
Natafuta siku nikatubu MLIMANI sio kwa vi mauza uza hivi ninavyokutana navyo
Unakutana na kidada kinakupendaaa kinakuita bebe unakinunua/kifanyia kila kitu ila kenyewe kapo TU
walai dunia hii kuna wanawake na ma washi washi
Tutafika kwa wingiTuache mkuu na jumapili mkuje kwa wingi basi mlima wa moto mtuchague
Yan shunie huyu fundi ananikwaza mpk sasa ajamaliza nguo yangu j2 ndo hiyoo nimejipanga balaa kumpokea mume wng 😛😀Tuache mkuu na jumapili mkuje kwa wingi basi mlima wa moto mtuchague
Hahahahahaaa na hapo ndo wanapo feliHawa wa upepo wa kisuli suli wana dharau sana. Ukiwakuta wanasubiri gari lile la kanisani kwao ukiwasalimia hata wanaweza wasikujibu.
Hao wanaume wanaowataka inabidi wanunue bando wa download mwenye vigezo atakavyo.
Ni vya kwangu binafsi, sidhani kama mtu mwingine vinamhusuAmbavyo ni ..........
Tiririka hapo juu....wanaume tukuskie