Wewe na huo ubonge sina wasiwasi kabisaa!Kigori... Huo upepo angalia usinichukue na mimi tu.
usinitie simanzi mkuuuAhahahahahaha pole mkuu, huyu mwanamke uliyemuongelea labda ndio huyu niliye naye, kwan anaitwa nani
Mkubwa...utalipia mbavu zangu mkuuMaisha yangu yote nimewahi pata mpenzi m 1 tu ninaesema kweli YULE alikua mwanamke
Ni mwanamke tuliekua tukishindana kila mtu kumjali mwenzake
Leo nitamnunulia Kiatu,kesho atanletea vest kesho kutwa nitampa hela ya saloon
Sijakaa vizuri nimeletewa suprise ya Jeans,,ataniomba hela akaninunulie WALLET maana kaona niliyonayo imechakaa
Kesho yake nitaenda town ntamtungulia POCHI la maana
Nitamtoa out this week end,next week end ataniambia twende mahali nimealikwa na marafiki zangu
Tukifika kwakua nakua kama mgeni ataagiza everything mwisho atalipa BILL kisha ataniambia leo niliku suprise
Nilitaka nikutoe out mimi
Aseee yule mwanamke utamfanyia hiki atakulipa kwa kile With lots of love
Ila huwezi amini SISI WANAUME (hasa mimi) macho juu juu Nilimpoteza yule manzi
SASA HIVI NAKUTANA na vinguchiro Vinanikomesha hivyo Hela zinantoka na bado zinaendelea na sioni hata ahueni
Natafuta siku nikatubu MLIMANI sio kwa vi mauza uza hivi ninavyokutana navyo
Unakutana na kidada kinakupendaaa kinakuita bebe unakinunulia/kifanyia kila kitu ila kenyewe kapo TU
walai dunia hii kuna wanawake na ma washi washi



Kama mtu asipokuelewa kwa ujumbe huu,basi hatokuja kumuelewa mtu yeyote!Nimekaa na kuwaza sana baada ya kuangalia ile clip ya Rwakatare kuhusu ule upepo sijui unaitwaje nimeusahau na jina.
Sasa nikajiuliza, hawa viumbe mbona wakija humu ndani kututafuta wanaleta mavigezo mengi mpaka watu tunachanganyikiwa, kumbe Jumapili mnaenda kukumbatia upepo wa kisulisuli.
Wewe mwanamke, yani wewe peke yako unataka mwanaume awe:
1.Handsome
2 Mrefu
3. Mweupe/mweusi
4. Degree na kuendelea
5. Awe na kazi nzuri
6. Atokee mikoa fulani na fulani
7. Awe mcha mungu
8. Awe na nyumba
9. Biashara ya maana.
10. Umri fulani
11. Wa Tecno msijisumbue
12. Ajue kunibembeleza
13. Asiwe bahili
Na mavigezo mengine meeeeeeeeeeengi.
Ina maana mwanaume wa aina hiyo wanawake wengine wooooooote hawakumuona wala yeye hakuwaona akawa anakungoja wewe.
Ukifika miaka 30 and above unaanza kuangaika kwa kina lwakatare kutaka muujiza ambao kipindi cha nyuma ulikuwa unakutana nao kila unapoenda sokoni.
Acheni ujinga wanawake! Hakuna mwanaume perfect kwa zaidi ya asilimia 60% hayupo dunia nzima.
Ukipata mwanaume anakupenda na akawa muwazi kwako kwa mapungufu yeyote alionayo.....basi jitahidi kucopy with the situation.
Hatobaki hivo milele. Just trust him and trust his process then mbeleni everything will be okay.
True love ikiwepo tu kila kitu kinajiweka kwenye mstari taratibu.
La sivyo mtapata taaaaaabu sanaaaaaa, na mtachezewa saaaaanaaaaa huku ndoa mkiziskia tu kwenye mabomba.
we fanya mazoei tu mkuuMkubwa...utalipia mbavu zangu mkuu
![]()
Unamkana mtumishi wa bwana eeh




kwani sie tulikuwepo pale kanisani eti?we fanya mazoei tu mkuu
mbavu zipe nafasi ya ku twist
ila mi napitia kipindi kigumu sana kwakweli
we sawa tuUna vituko sana
Kwa hiyo huyo uliyemwacha akienda mlima wa fire kutafuta mume wa kisulisuli hushangai maana juhudi zake kwako zimegonga mwamba. Na washi washi hapo ni aliyetupa bigijii kwa karanga za kuonjeshwa au karanga zenyewe?Maisha yangu yote nimewahi pata mpenzi m 1 tu ninaesema kweli YULE alikua mwanamke
Ni mwanamke tuliekua tukishindana kila mtu kumjali mwenzake
Leo nitamnunulia Kiatu,kesho atanletea vest kesho kutwa nitampa hela ya saloon
Sijakaa vizuri nimeletewa suprise ya Jeans,,ataniomba hela akaninunulie WALLET maana kaona niliyonayo imechakaa
Kesho yake nitaenda town ntamtungulia POCHI la maana
Nitamtoa out this week end,next week end ataniambia twende mahali nimealikwa na marafiki zangu
Tukifika kwakua nakua kama mgeni ataagiza everything mwisho atalipa BILL kisha ataniambia leo niliku suprise
Nilitaka nikutoe out mimi
Aseee yule mwanamke utamfanyia hiki atakulipa kwa kile With lots of love
Ila huwezi amini SISI WANAUME (hasa mimi) macho juu juu Nilimpoteza yule manzi
SASA HIVI NAKUTANA na vinguchiro Vinanikomesha hivyo Hela zinantoka na bado zinaendelea na sioni hata ahueni
Natafuta siku nikatubu MLIMANI sio kwa vi mauza uza hivi ninavyokutana navyo
Unakutana na kidada kinakupendaaa kinakuita bebe unakinunulia/kifanyia kila kitu ila kenyewe kapo TU
walai dunia hii kuna wanawake na ma washi washi
nikimuona mlima wa moto nitaenda kumchoropoa pale hatoamini LABDA ANIKATALIE TUKwa hiyo huyo uliyemwacha akienda mlima wa fire kutafuta mume wa kisulisuli hushangai maana juhudi zake kwako zimegonga mwamba. Na washi washi hapo ni aliyetupa bigijii kwa karanga za kuonjeshwa au karanga zenyewe?
tumekusikia mkuu, na sisi kwa moyo mkunjufu kabisa, huku tukiwa na heshima tele bila kusahau nidhamu ya khali ya juu, tunasema kuanzia sasa na hata milele, tupo tayari kuolewa na mwanaume yoyote yule anayevaa suruali haijalishi ameletwa na kisulisuli ama kimbunga..!
, umetuwakilisha vema kabisa washindwe wao tu, mana kutwa kutusema tunaweka vigezo vingii haya sasa no barriers
Vinguchiro,dah!Maisha yangu yote nimewahi pata mpenzi m 1 tu ninaesema kweli YULE alikua mwanamke
Ni mwanamke tuliekua tukishindana kila mtu kumjali mwenzake
Leo nitamnunulia Kiatu,kesho atanletea vest kesho kutwa nitampa hela ya saloon
Sijakaa vizuri nimeletewa suprise ya Jeans,,ataniomba hela akaninunulie WALLET maana kaona niliyonayo imechakaa
Kesho yake nitaenda town ntamtungulia POCHI la maana
Nitamtoa out this week end,next week end ataniambia twende mahali nimealikwa na marafiki zangu
Tukifika kwakua nakua kama mgeni ataagiza everything mwisho atalipa BILL kisha ataniambia leo niliku suprise
Nilitaka nikutoe out mimi
Aseee yule mwanamke utamfanyia hiki atakulipa kwa kile With lots of love
Ila huwezi amini SISI WANAUME (hasa mimi) macho juu juu Nilimpoteza yule manzi
SASA HIVI NAKUTANA na vinguchiro Vinanikomesha hivyo Hela zinantoka na bado zinaendelea na sioni hata ahueni
Natafuta siku nikatubu MLIMANI sio kwa vi mauza uza hivi ninavyokutana navyo
Unakutana na kidada kinakupendaaa kinakuita bebe unakinunulia/kifanyia kila kitu ila kenyewe kapo TU
walai dunia hii kuna wanawake na ma washi washi
Hahahaha vijana,Vinguchiro,dah!
Mkuu story yako imenikumbusha mwanamke wangu mmoja hv,sijawahi pata mwanamke wa kunijari kama yule aiseh hata mke wangu hagusi.
Alikuwa tayari akose pocket money lakini mm niwe poa,tulikuwa shule za karibu za bweni mm niko form six yeye yupo form five.
Nilimpoteza nikiwa second year yeye first year vyuo tofauti lakini,sababu kubwa ni ufala kama wako tu.
Uko sahihi mkuu.Hahahaha vijana,
kama nilivowaambia kule juu, kwa mwanamke na mwanaume yani wote,
binadamu alieumbwa kwa ajili ya kukupenda wew mpka kuwa tayr kujinyima yeye mwenyew huwa anakuwa ni mmoja tu,
ukishampoteza basi.
Na bahati mbaya wakipotea huwa hawarudi hata kwa dawa
![]()
![]()
, umetuwakilisha vema kabisa washindwe wao tu, mana kutwa kutusema tunaweka vigezo vingii haya sasa no barriers
![]()
Uko sahihi mkuu.
Yule mwanamke baada ya kumzingua aliokoka then baadae nikawa nataka kurudi baada ya kugundua nimepotea njia huku nikiahidi kuokoka kama yeye lakini akagoma akisema 'nikiokoka ili tu turudiane nitamsumbua'.
Huwa nikitofautiana na wife basi najisemea moyoni hv -- angehandle vp hii situation.