kirikou1
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 4,816
- 6,531
Onja uone ya kuwa yu mwema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] [emoji3] , yaache hivo hivo mabaharia siyo husband material nyiee
Onja uone ya kuwa yu mwema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] [emoji3] , yaache hivo hivo mabaharia siyo husband material nyiee
Nakusalimu jirani maana sio kwa kingereza hiki [emoji41]
Naomba nikuonje wewe bila dalili![emoji12]Onja uone ya kuwa yu mwema[emoji23][emoji23][emoji23]
Ruhusu Mapenzi ya Mungu zaidi kuliko vigezo zaidi ili upate furaha ya kweli(ya kidumu) ya Maisha yako siku zoteVigezo vyangu ni vilevile tangu nna miaka 18 hata nikifikisha 50
Sawa mkuu, lakini hujajua hata ni vigezo gani...Ruhusu Mapenzi ya Mungu zaidi kuliko vigezo zaidi ilo upate furaha ya Maiaha yako siku zote
😀😀😀😀,naomba basi unitajie kama utajaliSawa mkuu, lakini hujajua hata ni vigezo gani...
Nina uhakika viko ndani ya mapenzi ya Mungu, kwa mfano nikasema mwanaume wa kunioa ni lazima awe mkristo kosa liko wapi?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],naomba basi unitajie kama utajali
😀😀😀😀hapo hamna kosa kwa kweli,afu Avator ya kipindi kile nimeikumbuka sana,unaweza irudisha ya kipindi kile eti, KhantweNina uhakika viko ndani ya mapenzi ya Mungu, kwa mfano nikasema mwanaume wa kunioa ni lazima awe mkristo kosa liko wapi?
Nipoo, morning bigmind!, mgahawa gani tena?
Hapana sijawahi kuzugia suala hilo mkuu [emoji3] [emoji3] ,mambo lakini!Kwahiyo ulikuwaga unanizuga[emoji125][emoji125][emoji125]
hivi hamna maisha bila ndoa Tanzania hii?Nimekaa na kuwaza sana baada ya kuangalia ile clip ya Rwakatare kuhusu ule upepo sijui unaitwaje nimeusahau na jina.
Sasa nikajiuliza, hawa viumbe mbona wakija humu ndani kututafuta wanaleta mavigezo mengi mpaka watu tunachanganyikiwa, kumbe Jumapili mnaenda kukumbatia upepo wa kisulisuli.
Wewe mwanamke, yani wewe peke yako unataka mwanaume awe:
1.Handsome
2 Mrefu
3. Mweupe/mweusi
4. Degree na kuendelea
5. Awe na kazi nzuri
6. Atokee mikoa fulani na fulani
7. Awe mcha mungu
8. Awe na nyumba
9. Biashara ya maana.
10. Umri fulani
11. Wa Tecno msijisumbue
12. Ajue kunibembeleza
13. Asiwe bahili
Na mavigezo mengine meeeeeeeeeeengi.
Ina maana mwanaume wa aina hiyo wanawake wengine wooooooote hawakumuona wala yeye hakuwaona akawa anakungoja wewe.
Ukifika miaka 30 and above unaanza kuangaika kwa kina lwakatare kutaka muujiza ambao kipindi cha nyuma ulikuwa unakutana nao kila unapoenda sokoni.
Acheni ujinga wanawake! Hakuna mwanaume perfect kwa zaidi ya asilimia 60% hayupo dunia nzima.
Ukipata mwanaume anakupenda na akawa muwazi kwako kwa mapungufu yeyote alionayo.....basi jitahidi kucopy with the situation.
Hatobaki hivo milele. Just trust him and trust his process then mbeleni everything will be okay.
True love ikiwepo tu kila kitu kinajiweka kwenye mstari taratibu.
La sivyo mtapata taaaaaabu sanaaaaaa, na mtachezewa saaaaanaaaaa huku ndoa mkiziskia tu kwenye mabomba.