Wanawake wanaumwa au wamerogwa?

Wanawake wanaumwa au wamerogwa?

Chungu ila ndyo dawa hamna jinsi ,nakumbuka nilikua na vigezo flani hivi si vingi sana ila siku zinavozidi kwenda najikuta napunguza tuu aisee sasa nasema hivi...nimepunguza vigezo to zero nahitaji yeyote ili mradi awe jinsia me(joke)
Hahaaaa ,Aya ngoja nije huko pm tuyajenge
 
Cha kuzingati ni kimoja tu
usikose mlima wa moto jpl!
naona kabisa upepo ushaanza kukuperusha adi ikifika jumapili basi utakua ushakufikisha mlimani
 
SHIDA WAIKISHA OLEWA, WANAKUA NA JEURI SUGU, DHARAU ZA HOVYO HOVYO, NA KIBURI CHENYE KUTU. !!! WALIACHIKA AU KUWA NA NDOA NGUMU WANAKIMBILIA KUFANYA ZIARA ZA KUSHITUKIZA KWENYE MAKANISA YA MITUME NA MANABIII. WE UNAFIKIRI WOTE HAWAKUWAHI KUOLEWA PALE??? HALAFU WACHAGA WENGI KWELI
Mkuu wengine humu tumeoa wachaga
 
There are Any Virgin Woman At mlima wa Moto...


Maana mimi naomba kila diku nipate mke mchamungu ambaye bado kigoli na Mpya...yani hajui chochote zaidi ya mikono yake kujichamba...


Naota
Na kweli...unaota
 
Back
Top Bottom