Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 8,407
- 28,838
Ahsante kwa maombi mumie, na hii nimepokea kama ilivyo!!Uonyeshe tuu dadiii dear, tupate muda wa kushona sare!
Nakuombea mnoo hun sema wako yupo tayari!
Ahsante kwa maombi mumie, na hii nimepokea kama ilivyo!!Uonyeshe tuu dadiii dear, tupate muda wa kushona sare!
Nakuombea mnoo hun sema wako yupo tayari!
Kama ndye huyu mwambie sina chura hivo simfai khaaAnatafuta mke, rafiki changamkia fursa View attachment 1236399

naanzaje eti mkuurudi ulipotoka
![]()
Hahahahaa mwishoni huwa mnabaki na ile ya "" yeyote nitakae letewa na Mungu"
jua linazama inabidi yeyote aokoe jahazi mkuu,vigezo vingi Vya nini binadamu wote sawa tu(sizitaki mbichi hizii
)Hahaaaa ,Aya ngoja nije huko pm tuyajengeChungu ila ndyo dawa hamna jinsi ,nakumbuka nilikua na vigezo flani hivi si vingi sana ila siku zinavozidi kwenda najikuta napunguza tuu aiseesasa nasema hivi...nimepunguza vigezo to zero nahitaji yeyote ili mradi awe jinsia me(joke)
Hahaaaa ,Aya ngoja nije huko pm tuyajenge
umeziona hizo brackets mkuuu (joke)NitakuwepoTuache mkuu na jumapili mkuje kwa wingi basi mlima wa moto mtuchague
Km hatatoa Mahari yetu apite tuu na huo upepo wake. Haiwezekani akubebe km mwewe




Mkuu wengine humu tumeoa wachagaSHIDA WAIKISHA OLEWA, WANAKUA NA JEURI SUGU, DHARAU ZA HOVYO HOVYO, NA KIBURI CHENYE KUTU. !!! WALIACHIKA AU KUWA NA NDOA NGUMU WANAKIMBILIA KUFANYA ZIARA ZA KUSHITUKIZA KWENYE MAKANISA YA MITUME NA MANABIII. WE UNAFIKIRI WOTE HAWAKUWAHI KUOLEWA PALE??? HALAFU WACHAGA WENGI KWELI
Ukiniona usiniache basi nikabebwa na wengineNitakuwepo
naanzaje eti mkuu
narudi naanza kusema semaje
akiniuliza nimesahau nini (ntakosa jibu)


