mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
Nitakurudishia mlangoniUkiniona usiniache basi nikabebwa na wengine
Nitakurudishia mlangoniUkiniona usiniache basi nikabebwa na wengine
Malipo ni hapa hapa dunianiMaisha yangu yote nimewahi pata mpenzi m 1 tu ninaesema kweli YULE alikua mwanamke
Ni mwanamke tuliekua tukishindana kila mtu kumjali mwenzake
Leo nitamnunulia Kiatu,kesho atanletea vest kesho kutwa nitampa hela ya saloon
Sijakaa vizuri nimeletewa suprise ya Jeans,,ataniomba hela akaninunulie WALLET maana kaona niliyonayo imechakaa
Kesho yake nitaenda town ntamtungulia POCHI la maana
Nitamtoa out this week end,next week end ataniambia twende mahali nimealikwa na marafiki zangu
Tukifika kwakua nakua kama mgeni ataagiza everything mwisho atalipa BILL kisha ataniambia leo niliku suprise
Nilitaka nikutoe out mimi
Aseee yule mwanamke utamfanyia hiki atakulipa kwa kile With lots of love
Ila huwezi amini SISI WANAUME (hasa mimi) macho juu juu Nilimpoteza yule manzi
SASA HIVI NAKUTANA na vinguchiro Vinanikomesha hivyo Hela zinantoka na bado zinaendelea na sioni hata ahueni
Natafuta siku nikatubu MLIMANI sio kwa vi mauza uza hivi ninavyokutana navyo
Unakutana na kidada kinakupendaaa kinakuita bebe unakinunua/kifanyia kila kitu ila kenyewe kapo TU
walai dunia hii kuna wanawake na ma washi washi
Mbele mlienda kufanyaje, si mngechill tuRwakatare hatujamtuma kiherehere chake
😂😂😂😂tumekusikia mkuu, na sisi kwa moyo mkunjufu kabisa, huku tukiwa na heshima tele bila kusahau nidhamu ya khali ya juu, tunasema kuanzia sasa na hata milele, tupo tayari kuolewa na mwanaume yoyote yule anayevaa suruali haijalishi ameletwa na kisulisuli ama kimbunga..!
tumekusikia mkuu, na sisi kwa moyo mkunjufu kabisa, huku tukiwa na heshima tele bila kusahau nidhamu ya khali ya juu, tunasema kuanzia sasa na hata milele, tupo tayari kuolewa na mwanaume yoyote yule anayevaa suruali haijalishi ameletwa na kisulisuli ama kimbunga..!





SHIDA WAIKISHA OLEWA, WANAKUA NA JEURI SUGU, DHARAU ZA HOVYO HOVYO, NA KIBURI CHENYE KUTU. !!! WALIACHIKA AU KUWA NA NDOA NGUMU WANAKIMBILIA KUFANYA ZIARA ZA KUSHITUKIZA KWENYE MAKANISA YA MITUME NA MANABIII. WE UNAFIKIRI WOTE HAWAKUWAHI KUOLEWA PALE??? HALAFU WACHAGA WENGI KWELI





Amna hawaoni jipyaBasi vijana wazembe sasa

Nimekaa na kuwaza sana baada ya kuangalia ile clip ya lwakatare kuhusu ule upepo sjui unaitwaje nimeusahau na jina.....!!!!!???
Sasa nikajiuliza,,,, hawa viumbe mbona wakija humu ndani kututafuta wanaleta mavigezo meeeeeeeeeeeengiiiii mpka watu tunachanganyikiwa kumbe juma pili mnaenda kukumbatia upepo wa kisuli suliii,...
We mwanamke yani wew peke ako unataka mwanaume awe....
1.Handsome
2 Mrefu
3. Mweupe/mweusi.
4. Degree na kuendelea.
5. Awe na kazi nzuri
6. Atokee mikoa flan na flan.
7. Awe mcha mungu
8. Awe na nyumba.
9. Biashara ya maana.
10. Umri flan.
11. Wa tecno msijisumbue.
12. Ajue kunibembeleza.
13. Asiwe bahiri.
Na mavigezo mengine meeeeeeeeeeengi....
Inamana mwanaume wa aina hyo wanawake wengine wooooooote hawakumuona wala yeye hakuwaona akawa anakungoja wewe.......
Ukifika miaka 30 and above unaanza kuangaika kwa kina lwakatare kutaka muujiza ambao kipindi cha nyuma ulikua unakutana nao kila unapoenda sokoni..
Acheni ujinga wanawake.......!!! Hakuna mwanaume perfect kwa zaidi ya asilimia 60% hayupo dunia nzima.....
..ukipata mwanaume anakupenda na akawa muwazi kwako kwa mapungufu yeyote alionayo.....basi jitahidi kucopy with the situation.....
Hatobaki hivo milele......just trust him and trust his process then mbelen everythng will be ok.....
True love ikiwepo tu kila kitu kinajiweka kwnye mstar taratibu.
La sivyo mtapata taaaaaabu sanaaaaaa.....na mtachezewa saaaaanaaaaa huku ndoa mkiziskia tu kwnye mabomba.
Rwakatare hatujamtuma kiherehere chake





Long time no see you
Khaah wee kiboko, ulijuaje kama wachaga ni wengi?
Wale sijui kama wapo humu Mkuu!!
Upepo wa kisuli suli uwafikishe salama mlima wa moto!
Maisha yangu yote nimewahi pata mpenzi m 1 tu ninaesema kweli YULE alikua mwanamke
Ni mwanamke tuliekua tukishindana kila mtu kumjali mwenzake
Leo nitamnunulia Kiatu,kesho atanletea vest kesho kutwa nitampa hela ya saloon
Sijakaa vizuri nimeletewa suprise ya Jeans,,ataniomba hela akaninunulie WALLET maana kaona niliyonayo imechakaa
Kesho yake nitaenda town ntamtungulia POCHI la maana
Nitamtoa out this week end,next week end ataniambia twende mahali nimealikwa na marafiki zangu
Tukifika kwakua nakua kama mgeni ataagiza everything mwisho atalipa BILL kisha ataniambia leo niliku suprise
Nilitaka nikutoe out mimi
Aseee yule mwanamke utamfanyia hiki atakulipa kwa kile With lots of love
Ila huwezi amini SISI WANAUME (hasa mimi) macho juu juu Nilimpoteza yule manzi
SASA HIVI NAKUTANA na vinguchiro Vinanikomesha hivyo Hela zinantoka na bado zinaendelea na sioni hata ahueni
Natafuta siku nikatubu MLIMANI sio kwa vi mauza uza hivi ninavyokutana navyo
Unakutana na kidada kinakupendaaa kinakuita bebe unakinunua/kifanyia kila kitu ila kenyewe kapo TU
walai dunia hii kuna wanawake na ma washi washi







Mwanaume akinipenda/akanijali/akaniheshimu
Huo ndio mvuto wangu/Degree/masters/urefu/uzuri/biashara ya maana ndio hio yani everything.
Mwanaume anaekupenda akakupa Attention zote hata akiwa John mad dog ni sawasasa awe mrefu ili umchongee jeneza au
Haki umejua kunichekesha leo![]()
jua linazama inabidi yeyote aokoe jahazi mkuu,vigezo vingi Vya nini binadamu wote sawa tu(sizitaki mbichi hizii
)





Chungu ila ndyo dawa hamna jinsi ,nakumbuka nilikua na vigezo flani hivi si vingi sana ila siku zinavozidi kwenda najikuta napunguza tuu aiseesasa nasema hivi...nimepunguza vigezo to zero nahitaji yeyote ili mradi awe jinsia me(joke)