Wanaume watanashati wengi wabovu kitandani.

Wanaume watanashati wengi wabovu kitandani.

Hivi kuna uhusiano gani kati ya utanashati na kupukunyua ile kitu?
 
Me nimemaanisha wale watanashati,,,,,,,, nilishatendwa na hiyo dizain maana wanajiona wao ni bora,, hisia za wenzao hawajali...
Mwanaume mchafu sa ndo simtaki
kabisa awe kawaida tu lakini sio kujifanya mtanashati.
hakika tena leo hii umepata baraka, karibu sana kwa kijana, utakuja kutoa ushuhuda kwa rafikiyo ashadii. utazaliwa upya
 
Namaanisha wale ambao ni wazuri wa sura, wanavaa kuendana na katalogy, hawa ni majanga matupu yaani hovyo kabisa.

Ni kweli...hapo hata mimi naweza kukulelewa......nina jamaa yangu anakaa kinondoni ......msafi sana na anavaa nguo kuendana na fashion.......kuanzia viatu mpaka saa lazima viendane. Lakini hagaagi na wasichana......huwa wanamkimbia. Jamaa ni mrefu mweusi very handsome. Nahisi itakua ni aina hiyo ya wanaume.
 
Ni kweli...hapo hata mimi naweza kukulelewa......nina jamaa yangu anakaa kinondoni ......msafi sana na anavaa nguo kuendana na fashion.......kuanzia viatu mpaka saa lazima viendane. Lakini hagaagi na wasichana......huwa wanamkimbia. Jamaa ni mrefu mweusi very handsome. Nahisi itakua ni aina hiyo ya wanaume.


hivi ulikuwa unajua kabla , kuwa mpo wengi ama?
 
utanashati na kupafomu kwa bedi ni vitu viwili tofauti sana, hii imekaa kama vile baadhi ya wanaume wanalalamikia kwa baadhi ya mabinti walivyo warembo lakini ndani hamna kitu....
 
Mie sipingi usafi ila napingana na u-show rum
Mwanaume laini kaa ronya,,,,,,,,,,,muda wote unadeka tuu basi onyesha uanaume kwa ushirikiano unapoewa huwezzi halafu uanfikiri eti kwasababu ni mzuri basi mademu watajigonga. sSiku hizi na madem wanataka mechi si utoto utoto.

Sasa hapo ni tofauti mkuu, unaweza kuwa mchafu pia ukawa ronya, usmart tunaozungumzia hapa ni kwamba unakuwa msafi kila idara ya mwili wako, kiujumla unavaa smart, kumbuka kutofautisha kati ya mwanaume smart na mwanaume sharobalo. Unatakiwa kwenye macho ya mwanamke uonekane hivi, nywele safi zilizopakwa mafuta vizuri, meno na kinywa kilicho safi kabisa ili kuepuka halfu mbaya ya mdomoni, uso wenye tabasamu la nguvu, shati au t-shirt iliyo safi kabisa na ikiwa imepigwa pasi, suruali safi na mkanda mzuri, kiatu kizuri hata kama sio kipya ila kilicho safi, kucha fupi na safi mkononi na miguuni, soksi safi, chupi safi, unashave nywele sehemu za siri, unaongea kwa ustaarabu wa hali ya juu sana. Huu ndio usmart ninao uzungumzia mimi kulingana na upeo wangu wa kufikiria
 
Mie nimefanya utafiti wangu wanaume wengi ambao ni wazuri wa sura wale watoto wa show rum yaani hawajui kazi tena wa ni wakudeka usipime. Unakuta mtu ana mvuto mzuri, msafi lakini nenda nae chumban utajuta yaani unaanza kumfundisha kila kitu kibaya zaid hata kustahimili basi hawawez.

Kubalini tu ukweli kwamba wanaume wa siku hizi mmelemaa rudini jandoni upya.

sasa ndio nimekuelewa unatembea na wanaume wa aina gani......
 
me nimefanya uchunguzi kwamba kama mtu ukiwa na demu wako au mkeo unayempenda unaweza kustahimili muda mrefu sana hata masaa mawili ili mradi ni mtu wako na mnajuana,lakini ukikutana na changu unapiga fasta fasta ukojoe ili uchape lapa kwanza unaogopa usijepata michubuko ukajisababishia maradhi,lakin pili unakuta ni jitu tu umekutana nalo unataka utoe uchafu mwilini.sasa swala la msingi hapa ni je madhumuni ya sita kwa sita yenu ni kufanya mapenzi au kutoa uchafu!
 
Appetite ya jukwaa hili imekwisha kabisa vimejaa vivulana na visichana ni shida tupu.

Good thing nimeongea na Max kuanzia kesho November kuna mabadiliko makubwa sana yanakuja.

I cant wait kwa hayo mabadiliko for sure........

siku hizi kumekuwa kunaboa sana huku MMU
 
Ni kweli...hapo hata mimi naweza kukulelewa......nina jamaa yangu anakaa kinondoni ......msafi sana na anavaa nguo kuendana na fashion.......kuanzia viatu mpaka saa lazima viendane. Lakini hagaagi na wasichana......huwa wanamkimbia. Jamaa ni mrefu mweusi very handsome. Nahisi itakua ni aina hiyo ya wanaume.

Huyo anakimbiwa kwa ubahili, mwanaume kama Ben Kinyaiya hawezi kumuonga demu pesa nzuri au kumgharamia ns kumfanyia mashoping ya nguvu.

Hiyo ndio siri usiyoijuwa. Simply utanashati ndio gea ya Wakongo kuishi mjini na utanashati unaficha ulofa.

Wanawake wengi huwa wanafal in love kwa watashati ila siku zinavyokwenda wanaona buzi lina ngozi ya chuma ndio msingi wa kelele zote hizi.
 
hahaaa sa hapo nawaza eti perfomance ni 0.......
grafani11 yuko huko umewasiliana nae

Heaven on earth performance iko juu mbaya sana na tunaweza kusema ni asilimia mia kabisa na haiendani na sijui utanashati wala nini na sio ya kutafutia jeki grafani11 tuliwasiliana jana ila yuko busy kupita maelezo yake ila tutatafutana
 
Last edited by a moderator:
Appetite ya jukwaa hili imekwisha kabisa vimejaa vivulana na visichana ni shida tupu.

Good thing nimeongea na Max kuanzia kesho November kuna mabadiliko makubwa sana yanakuja.

kama kutakuwa na mabadiliko itakuwa vizuri, nadhani hata member wenye staha zao waliokimbia jukwaa watarudi.
 
me nimefanya uchunguzi kwamba kama mtu ukiwa na demu wako au mkeo unayempenda unaweza kustahimili muda mrefu sana hata masaa mawili ili mradi ni mtu wako na mnajuana,lakini ukikutana na changu unapiga fasta fasta ukojoe ili uchape lapa kwanza unaogopa usijepata michubuko ukajisababishia maradhi,lakin pili unakuta ni jitu tu umekutana nalo unataka utoe uchafu mwilini.sasa swala la msingi hapa ni je madhumuni ya sita kwa sita yenu ni kufanya mapenzi au kutoa uchafu!
you are so right,yani demu wa mapozeo tu naye ategemee perfomance gani wakati analipwa kukata kiu ya anaemlipa,mambo ya perfomance ni kwa mkeo,yule ambae unagonga bila hofu kwamba sijui napata michubuko or whatever.
 
Mie nimefanya utafiti
wangu wanaume wengi ambao ni wazuri wa sura wale watoto wa show rum
yaani hawajui kazi tena wa ni wakudeka usipime. Unakuta mtu ana mvuto
mzuri, msafi lakini nenda nae chumban utajuta yaani unaanza kumfundisha
kila kitu kibaya zaid hata kustahimili basi hawawez.

Kubalini tu ukweli kwamba wanaume wa siku hizi mmelemaa rudini jandoni
upya.
duuuh wewe mkali... umegawa uroda kwa wanaume wangapi watanashati na wangapi wasafi mpka ukakamilisha risachi yako... inaonekana huo utamu umeugawa sana kama pipi eeh?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom