nsee a muro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 241
- 124
- Thread starter
- #121
Mie sipingi usafi ila napingana na u-show rum
Mwanaume laini kaa ronya,,,,,,,,,,,muda wote unadeka tuu basi onyesha uanaume kwa ushirikiano unapoewa huwezzi halafu uanfikiri eti kwasababu ni mzuri basi mademu watajigonga. sSiku hizi na madem wanataka mechi si utoto utoto.
Mwanaume laini kaa ronya,,,,,,,,,,,muda wote unadeka tuu basi onyesha uanaume kwa ushirikiano unapoewa huwezzi halafu uanfikiri eti kwasababu ni mzuri basi mademu watajigonga. sSiku hizi na madem wanataka mechi si utoto utoto.
Performance ya kitandani inachagizwa zaidi na usafi wa hao wahusika wawapo kwenye majambozi, hivyo mwanaume mtanashati ategemee zaidi kupewa ushirikiano na mwanamke kitandani tofauti na mwanaume asiyejipenda, kama umeshindwa kujipenda mwenyewe na umekosa muda wa kujiweka safi mwili sasa utaweza vipi kupata muda wa kumwandaa mwanamke ili umfikishe kileleni ?. Tusidanganye usafi ndio kila kitu kwenye suala zima la mapenzi,