Wanaume watanashati wengi wabovu kitandani.

Wanaume watanashati wengi wabovu kitandani.

Kumbe ndo maana wanawake wathungu huwa wanapenda vijana wachafu wachafu wenye vi-dread kichwani? Inawezekana vijana wa hivyo wanashughulika sana wakipewa kibarua cha chini ya kitovu.
 
Hili jukwaa sasa limegeuka la watoto, yani mtu swala lake binafsi anataka kuligeneralise.

Kuvaa boxer moja siku 5 na kuoga mara moja kila baada ya siku mbili ndicho anachoshauri mleta mada.

Kwamba deodorant zisinunuliwe madukani wala mwanaume usilipuke pamba.

Huu ni ujinga na hii thread ni ya kipumbavu kabisa.
mkuu Matola hapa jukwaani imekuwa kama uwanja wa mapambano siku hizi . kila siku ni mada za kukandiana na si kuelimishana. sijui ndio tumevamiwa na form two waliomaliza mitihani juzi wanasubiria matokeo ya kuingia kidato cha tatu
yaani jukwaa limekosa staha kabisa hadi inakera.
 
Last edited by a moderator:
Upo sahihi kabisa, naona umeeleza kwa kirefu pia na post yako nyingine inayofuata, usipoliangalia vizuri hili suala unaweza ukagawa lamama ambazo kimsingi ni zako ingawa saa ingine lawama huwa kweli. I concur kabisa mdogo wangu. :busu


AshaDii,

Naomba nikusalimie mamito,

Habari za masiku tele?,

Najua Mungu anakulinda.........Amen
 
Kwani unafikiria Phumbu ya kisawasawa hajai kupigwa? tatizo anagawa sana ndio maana katika kugawa kwake amekuja na hiyo tathmini yake. Sasa angejuaje kama mtanashati hapigi vizuri na ambaye sio mtanashati anapiga..........vipi wewe unataka mtanashati....

Naunga mkono hoja "One can choose if have got enough to compare" mpaka mtoa maada anatoa conclusion maana yake amefanya comparisons kwa samples si chini ya 300 je huyu bado kuna kitu kimebaki hata kama haina makombo?
 
Weee uliye tuu ucheke una mbavu????

Hope you are all good!!
Najua wengi mtakuja na matusi na kashfa kibao lakini message sent and delivered.

Men you should train yourself bhana mnaboa sana yaani unakuta mtu mtanashati, ana kila kitu kizuri lkn kitandani hovyo kabisa...,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

SITAKI MATUSI IKIKUBOA IPOTEZEE

Mshaambiwa wanawake wa kichaga hamjui mapenzi....hamsikii
 
K unaniruhusu niweke picha kuonyesha ulivyo mtanashati? Alafu hapo hapo nimwite gfsonwin, DEMBA na msiri wako mwaJ (unaye mpaga siri zooote) waje watoe marks za Performance? :smile-big:

Kwi kwii kwiii, kutokana na siri ninazopewa na msiri wangu Kaizer wala hauhitaji kuweka picha yake hapa AshaDii. Waniulize tu waone jinsi ulivyompasisha "with flying colours"!
 
Last edited by a moderator:
weee uliye tuu ucheke una mbavu????

Hope you are all good!!
Najua wengi mtakuja na matusi na kashfa kibao lakini message sent and delivered.

Men you should train yourself bhana mnaboa sana yaani unakuta mtu mtanashati, ana kila kitu kizuri lkn kitandani hovyo kabisa...,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

sitaki matusi ikikuboa ipotezee

try me!!
 
Ukweli tena mtupu, me nadhani hua wanajifahamu so what to do ni kua mtanashati ili nae asikose walau kiosha roho, kumbe ni 0+ katika game
 
Hahaha kaka mbona mgomvi? Mi sijui utanashati bwana, huwa nafall in love with the inside person. hayo ya utanashati nikishakununulia mashati nnayotaka na ukiingia tu nakukokota tukaoge wate. Wala hayanisumbui kabisa
may katika hao uliokumbana nao wote walikuwa wachovu na walijipenda sana wao wakasahau kuwa wanatakiwa kubalance mambo na sidhani kama generalization yako inakubalika kwa wote kuwa wanaume watanashati ni bomu may be kwa hao ulikokutana nao
Na sijui kama na wewe ulijipima performance yako ulipokutana na hao wanaume watanashati wachovu ilikuwaje maana na wewe unaweza ukawa chanzo au AshaDii na King'asti nafanya kosa

Ahahaha wifi hilo swali as long as halina details sio taboo bwana. Afu nilikumiss kwelo lunch time.
Mie labda kwa sababu sio mtanashati ndo maana navutika kwa crowd tanashati. Sina hakika ila na wewe nakupendea utanashati wako pia.
Muaaah!
Mwali njoo ujibu swali la aunt yako hapa lol
Wifi ilikuwa nikupigie simu ambayo ni taboo kabisa kwetu. Leo nilitaka nidiriki kuuliza iwapo kaka na utanashati wake wote ule ipo vipi?

Alafu nabaki na swali pia. Unakuta in most cases crowd you hang out with ni watanashati (wake kwa waume); hivi inaingiliana hapa? Ina maana... Still thinking. :A S 39:

Me love you more :busu
 
Last edited by a moderator:
may katika hao uliokumbana nao wote walikuwa wachovu na walijipenda sana wao wakasahau kuwa wanatakiwa kubalance mambo na sidhani kama generalization yako inakubalika kwa wote kuwa wanaume watanashati ni bomu may be kwa hao ulikokutana nao
Na sijui kama na wewe ulijipima performance yako ulipokutana na hao wanaume watanashati wachovu ilikuwaje maana na wewe unaweza ukawa chanzo au AshaDii na King'asti nafanya kosa
Mr Rocky nilichogundua hapo ni kuwa mwanamke sio mtanashati,unabahatika kukutana na mwanume mtanashati,mnapofika faragha mtanashati anaboreka na kutokuwa kwako mtanashati,yawezekana tu alivutiwa na mkorogo uliopitisha hapo usoni,hatimaye anashindwa kukumudu,kwa kujitetea una generalize kuwa wanaume watanashati perfomance yao ni poor.
 
Last edited by a moderator:
wanawake wengi wanapenda kuliwa 0713 usipowala hunza kutuponda wanaume mara wachovu, hatujui mapenzi ukila 0713 ndio utasifia sana, huu utanashati unaozungumziwa hapa ni kwamba mtu unakuwa msafi huwezi kufanyakazi ya mende. sijui mleta mada analenga wapi yy awe straight.
 
Hujakutana nao bwana weee. Ungefuta kauli fasta ukapiga saluti
 
mkuu Matola hapa jukwaani imekuwa kama uwanja wa mapambano siku hizi . kila siku ni mada za kukandiana na si kuelimishana. sijui ndio tumevamiwa na form two waliomaliza mitihani juzi wanasubiria matokeo ya kuingia kidato cha tatu
yaani jukwaa limekosa staha kabisa hadi inakera.

Appetite ya jukwaa hili imekwisha kabisa vimejaa vivulana na visichana ni shida tupu.

Good thing nimeongea na Max kuanzia kesho November kuna mabadiliko makubwa sana yanakuja.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom