Wanaume watanashati wengi wabovu kitandani.

Wanaume watanashati wengi wabovu kitandani.

daah! pole bidad mana umepat wkati mgum xan. kufany iyo research yako.
 
eti Habby macho yake yanasema we ni mtanashati.......

halafu nimemsimulia yanayoelekea jamvini ndo anajiuliza.....

itakuwaje wakati wanaume watanashati perfomance ni doro

Mwambie nimekasirika eti....
 
heee makubwa haya! itabidi niwakimbie wale watanashati maana nitateseka kunako 6x6
 
Yaani ukweli ambao mie nimeuona nice looking men wana perfomance mbovu sana, tena hawa wa mjini ambao masaa yote anaonekana msafi, mzuri anavutia ni majanga. WENGI hudhan umaridadi na uzuri wao basi unatosha kumbe sio.

Mwanaume ambaye ni wa kawaida tu unaweza mdharau na kusema huyu yuko hivi lakini ukweli kwenye mechi performance iko njema zaid zaid ya hawa wa shoe rum tunaokutana nao huku maofisini.Kwanza wengi hawa wa show rum ni watoto wa mama, hawajui hata uanaume wao uko wapi. Mijianaume inadeka tu kama watoto wa kike yaani hawaeleweki.

Ayayayayaaaa! So tusijiweke smart ili tuoneshe tuko vizuri kitandani ama?
Watoto wa baba ni wapi hao?
 
me nimefanya uchunguzi
kwamba kama mtu ukiwa na demu wako au mkeo unayempenda unaweza
kustahimili muda mrefu sana hata masaa mawili ili mradi ni mtu wako na
mnajuana,lakini ukikutana na changu unapiga fasta fasta ukojoe ili
uchape lapa kwanza unaogopa usijepata michubuko ukajisababishia
maradhi,lakin pili unakuta ni jitu tu umekutana nalo unataka utoe uchafu
mwilini.sasa swala la msingi hapa ni je madhumuni ya sita kwa sita yenu
ni kufanya mapenzi au kutoa uchafu!
duuuh mzee wewe kweli mkali kumbe ile mitaa ya kimboka huwa unaenda kutoa uchafu tu sio kuperform?
 
may katika hao uliokumbana nao wote walikuwa wachovu na walijipenda sana wao wakasahau kuwa wanatakiwa kubalance mambo na sidhani kama generalization yako inakubalika kwa wote kuwa wanaume watanashati ni bomu may be kwa hao ulikokutana nao
Na sijui kama na wewe ulijipima performance yako ulipokutana na hao wanaume watanashati wachovu ilikuwaje maana na wewe unaweza ukawa chanzo au AshaDii na King'asti nafanya kosa

"Japo si miongoni mwa uliowataja,"
Ilaaa naunga mkono hoja yako.
 
Last edited by a moderator:
igugung'wa
hahaha utachekwa mkuu maana yake ni kupiga mashine kwa nguvu zako zote
na kwa akili zako zote na kwa uwezo wako wote na utaalam wako wote na
ujuzi wako wote
haki ya mama miss strong ni mkali yaani anataka tuongeze bidiii kwenye kupiga machine?... haya amesikika ngoja niongeze ile dozi viagra
 
Last edited by a moderator:
Yaani ukweli ambao mie nimeuona nice looking men wana perfomance mbovu sana, tena hawa wa mjini ambao masaa yote anaonekana msafi, mzuri anavutia ni majanga. WENGI hudhan umaridadi na uzuri wao basi unatosha kumbe sio.

Mwanaume ambaye ni wa kawaida tu unaweza mdharau na kusema huyu yuko hivi lakini ukweli kwenye mechi performance iko njema zaid zaid ya hawa wa shoe rum tunaokutana nao huku maofisini.Kwanza wengi hawa wa show rum ni watoto wa mama, hawajui hata uanaume wao uko wapi. Mijianaume inadeka tu kama watoto wa kike yaani hawaeleweki.
kuwa na adabu wewe.....mwanaume kudeka kama mtoto wa kike? Acha dharau binti
 
Mi cmo, Ila Na nyie mademu wazuri sometyms mnaboa, mnafika kunako 6*6 unakuta MSITU hta wa mabwepande afadhali, akifika anakimbilia kulala bedin, umvue, ufanze mavitu amelala tu anawaza hela, unaanza kumfirigisa anakukodolea mimacho mikavuuuu, af anataka nimhangaikieeee hadi aone raha, Nani kasema, namaliza nachapa lapa namuacha aje kulalamika jf. Ile shughuli inataka pande Mbili zishirikiane
 
haki ya mama miss strong ni mkali yaani anataka tuongeze bidiii kwenye kupiga machine?... haya amesikika ngoja niongeze ile dozi viagra

Mkuu igudung'wa usiende huko bana tumia natural power yako usitake kuongeza uwezo kutoka nje bana maana hujafika huko
Tumia ile aliyokupa Mungu kabla ya kwenda kwa hizi za wanadam naamini utapiga kazi kwa kwenda mbele na hutaonekana mchovu maana hizo za wanadam hizo zitakufanya siku moja ile kitu ilale doro aise
 
Me nimemaanisha wale watanashati,,,,,,,, nilishatendwa na hiyo dizain maana wanajiona wao ni bora,, hisia za wenzao hawajali...
Mwanaume mchafu sa ndo simtaki kabisa awe kawaida tu lakini sio kujifanya mtanashati.


Tinna unachokisema kwa kiasi flani kina ukweli ndani yake, wanaume watanashati wana some elements za kujisikia na hiyo huwapelekea kutokujali hisia za wapenzi wao ingawa si wote wako hivyo. Hii hutokana na ile kuwa wanapendwa sana na wadada na ni rahisi hata akiachana na wewe anajua tu atampata mrembo mwingine tena hata mrembo kuliko wewe.

" KIPENDE ULICHONACHO KULIKO UNACHOKITEGEMEA"
 
Mkuu igudung'wa
usiende huko bana tumia natural power yako usitake kuongeza uwezo kutoka
nje bana maana hujafika huko
Tumia ile aliyokupa Mungu kabla ya kwenda kwa hizi za wanadam naamini
utapiga kazi kwa kwenda mbele na hutaonekana mchovu maana hizo za
wanadam hizo zitakufanya siku moja ile kitu ilale doro aise

mkuu usihofu siwezi tumia vigra maana uwezo wangu najikubali kinoma na huwa wananikubali pia
 
.Kwanza wengi hawa wa show rum ni watoto wa mama, hawajui hata uanaume wao uko wapi. Mijianaume inadeka tu kama watoto wa kike yaani hawaeleweki.

Wa hivi ni janga la dunia wala sio la taifa na tatizo la hii type ni overconfidence kwa kutakwa/kukubaliwa kwao kirahisi rahisi sababu ya muonekano wao.

Yaani wavaaga zile character za kike zote,ovyo kabisa
 
me nimefanya uchunguzi kwamba kama mtu ukiwa na demu wako au mkeo unayempenda unaweza kustahimili muda mrefu sana hata masaa mawili ili mradi ni mtu wako na mnajuana,lakini ukikutana na changu unapiga fasta fasta ukojoe ili uchape lapa kwanza unaogopa usijepata michubuko ukajisababishia maradhi,lakin pili unakuta ni jitu tu umekutana nalo unataka utoe uchafu mwilini.sasa swala la msingi hapa ni je madhumuni ya sita kwa sita yenu ni kufanya mapenzi au kutoa uchafu!

Inasikitisha sana, yani mpaka kwa malaya mnaogopa michubuko!?

Vita dhidi ya ukimwi bado ngumu sana maana inaonekana kuna watu kwao matumizi ya condom ni msamiati.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom